Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,262
- 1,956
mimi nimesikitika kuwa hawa wabunge wetu kina mnyika,msigwa,sugu,lema hawawezi kuwa mawaziri tena hata kama cdm watakamata madaraka.
usihofu mkuu!
Ni bora tukawa na mawaziri wasiofungana na chama chochote kuliko ilivyo sasa!