Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Sasa hivi kuna Serikali 2, Uraia ushajiuliza, acheni Upoyoyo na Ubweg.e Mtonzeni
Mkuu, kwa muda mrefu wazanzibari walikuwa wanadai passport ya zanzibar, uraia wa zanzibar na sarafu ya zanzibar. Tatizo bado halijaisha
 
Mbona sijaona hii rasmu ikitoa mchanganuo juu ya namna ya mgawanyo wa raslimali za taifa na muungano, kama vle gas, madini, mafuta, nk.

rasimu hajaisoma mzee warioba,rasimu itagawiwa,pale amesoma ripot
 
Pemba yao unguja yao daresalaam yao bukoba yao dodoma yao ikulu yao
 
ImageUploadedByJamiiForums1388406622.732651.jpg
 
Naona kubwa limeongelewa la muungano, ina Maana utajiri Wa nchi ya tanganyika utajadiliwa Katiba ya tanganyika? Basi maisha mazuri kuletwa Na Katiba Bado sana
 
CCM haiwezi kuanguka chali isiwpokuwa CDM ndiyo chali, kwani yote waliyokuwa wakiyadai ovyo ovyo yalitupiliwa mbali baada ya wao kwenda wenyewe CDM kunywa "chai" Ikulu.
 
Mbona mnakulupuka subirini bunge la katiba hapo ni serikali mbili tu
 
Changamoto gani wewe!!!... Usichanganye masuala ya utawala na mamlaka ya nchi!! Afrika kusini wana Serikali tisa na mabunge tisa ya majimbo na wanaunganishwa na Serikali moja ya Shirikisho... Hata hapa Tanzania tuna Serikali mbili lakini ukiangalia kuna Serikali za Mitaa na Mabaraza ya Madiwani, wanapitisha Sheria ndogondogo na kutoza kodi!!.. Kilichofanyika ni kuipunguzia Serikali ya Muungano mambo ambayo si ya Muungano that's why kuna umuhimu wa Tanganyika iwepo isimamie mambo yake ya maji, umeme, barabara, afya na miundombinu... Kuna haja gani Wabunge wa Zanzibar waje kujadili Bajeti ya Wizara ya Maji, ujenzi, Afya na nyingine zisizokuwa za Muungano... Nasema iko poa...
Mkuu, hata sisi tuna serikali zaidi ya Ishirini. Hizi tatu za nini tena?
 
Back
Top Bottom