Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,895
- 20,392
Pole sana Mkuu. Una chuki binafsi ya Zitto weweKabla ya mwaka huu kuisha lazima utakuaushashika mimba ya Zitto wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Mkuu. Una chuki binafsi ya Zitto weweKabla ya mwaka huu kuisha lazima utakuaushashika mimba ya Zitto wewe
Huwezi kumaliza matatizo yote at a go hata ukipewa miaka mia lazima changamoto zitakuwepo.Mkuu, kwa muda mrefu wazanzibari walikuwa wanadai passport ya zanzibar, uraia wa zanzibar na sarafu ya zanzibar. Tatizo bado halijaisha
CCM haiwezi kuanguka chali isiwpokuwa CDM ndiyo chali, kwani yote waliyokuwa wakiyadai ovyo ovyo yalitupiliwa mbali baada ya wao kwenda wenyewe CDM kunywa "chai" Ikulu.
Kikwete ni jembe
Hebu tulia, pata Glass ya Maji Baridi sana then Njoo tena utuhabarishe
mimi nimesikitika kuwa hawa wabunge wetu kina mnyika,msigwa,sugu,lema hawawezi kuwa mawaziri tena hata kama cdm watakamata madaraka.
Bora huyu anayecheka kuliko anayejifanya kanuna kumbe anapora wake za watu na wengine wakisaliti ndoa zaokama kawaida jk kacheka kacheka tayari...
Mpini wa kuporea wake za watu?Slaa ni mpini..
Chama gani?Kamanda zitto nae kawakilisha chama.
Kwa hiyo kulimaliza tatizo ni kutengeneza matatizo?Huwezi kumaliza matatizo yote at a go hata ukipewa miaka mia lazima changamoto zitakuwepo.
CCM haiwezi kuanguka chali isiwpokuwa CDM ndiyo chali, kwani yote waliyokuwa wakiyadai ovyo ovyo yalitupiliwa mbali baada ya wao kwenda wenyewe CDM kunywa "chai" Ikulu.
kama watagombea ubunge manake ni kuwa hawataweza kuwa mawaziri.bora waache mambo ya kugombea ubunge.mwenzao zito kaliona mapema ndo maana hagombei.Kivipi?
Kwani matusi ni mawe?Kabla ya mwaka huu kuisha lazima utakuaushashika mimba ya Zitto wewe
Zitto anaakili kweli ndiyo maana slaa na mbowe wanamgwaya kweli.kama watagombea ubunge manake ni kuwa hawataweza kuwa mawaziri.bora waache mambo ya kugombea ubunge.mwenzao zito kaliona mapema ndo maana hagombei.
Kwani wewe unapendaje? Hata Jaji Warioba amesikiliza maoni ya wananchi na ndo maana amekuja na rasimu hiyoNaona umesha kata tamaa ha ha ha
Hii ni report tu rasmu ya Tatu baada ya bunge la Katiba itakuwa na serikali mbili hiyo ndo Wananchi wanataka,hayo mengine ya Tume na Warioba wao ni hasira za kukaa benchi muda mrefu.
Rasmu gani imemezwa na kipengele kimoja kikubwa na vingine hata havionekani?
Naona tumeanza kutania Historia na maslahi ya nchi.