Tukipambanisha CV"s za Mtaalam Pablo ( Spain ) na Tapeli Nabi ( Tunisia ) kwa Aibu Yanga SC wanaweza wakaamua Kumfurumusha Asubuhi tu Jangwani

Ushabiki wa kunguruwe huu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
kumbe Gomes ana CV na mnajua ,mbona mlikuwa mnapiga kelele kwamba akasome gumbaru
Hakuna Mtu asiye na CV, hata wewe na upopoma wako Una CV. Au hili neno kwako Lina maana tofauti labda?
 
Nahisi huyu kocha hata huko Madrid alikuwa mpishi tu
 
Mashabiki wa bongo wanakukubali ndani ya dakika, kukukataa haizidi sekunde.
 
Yanga tutulie, tupange kuhusu ubingwa we2...shida zao hazituhusu pia mafanikio yao hayatuhusu em tuishi kivyetu mbn iko wazi YANGA NI MME WA SIMBA young killer kaomba hvo
Makolo FC waki-reply kwenye hii post yako mkuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…