Chonde chonde Rais Samia hata kama wamekuudhi vipi tafadhari tusiridi enzi zile za giza maana wawekezaji wataanza kukimbia tena tukose ajira kwa maelfu ambazo zipo sasa.
Mahoteli yaliyofungwa kipindi kile yote yanafanya kazi sasa. Ukienda pale Manzese watu wanachapa kazi usiku na mchana mana mahoteli yamefurika watu wa ndani na nje.
Kwa sasa tunaishi kwa furaha hatukamatwi tena tukikosoa tofauti na enzi za giza za Hayati Magufuli.
Sasa hivi watu wanaongelea suala la mikopo kwa sababu serikali imekuwa wazi kusema lakini enzi zile hela ilikuwa inakopwa kimya kimya na ukihoji unapotea mazima.
Please and over please tusirudi huko
NB: Hata JamiiForums kodogo ifungwe enzi hizo.
Mahoteli yaliyofungwa kipindi kile yote yanafanya kazi sasa. Ukienda pale Manzese watu wanachapa kazi usiku na mchana mana mahoteli yamefurika watu wa ndani na nje.
Kwa sasa tunaishi kwa furaha hatukamatwi tena tukikosoa tofauti na enzi za giza za Hayati Magufuli.
Sasa hivi watu wanaongelea suala la mikopo kwa sababu serikali imekuwa wazi kusema lakini enzi zile hela ilikuwa inakopwa kimya kimya na ukihoji unapotea mazima.
Please and over please tusirudi huko
NB: Hata JamiiForums kodogo ifungwe enzi hizo.