Tukisema CCM inazalisha Wanafunzi Mazuzu ambao wanaligharimu na wataligharimu Taifa letu mnatuchukia

Tukisema CCM inazalisha Wanafunzi Mazuzu ambao wanaligharimu na wataligharimu Taifa letu mnatuchukia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Mchepuo wa Kiingereza, Chief Zulu mkoani Ruvuma wamemchangia Rais Samia Suluhu Hassan Sh1,800 kama zawadi.

Baada ya tukio hilo, Rais Samia amesema atawanunulia ng’ombe wawili, mchele kilo 500 na mafuta ya kupikia kwa ajili ya kula shuleni hapo.

Leo, Septemba 24, 2024 Rais Samia anaendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Ruvuma.

Chanzo: mwananchi_official

Yaani Watani zangu kwa upande wa Mama Wangoni sijui ni nani Kawaroga japo mkiwa Shuleni na Vyuoni mna Akili.
 
Kizazi chenyewe hiki vitoto
Vdg visha juwa mambo makubw
Hiki kizaz hasara tupuu,kizaz cha wakat uno

Ova
 

Attachments

  • VID-20240902-WA0001.mp4
    3.4 MB
Kizazi cha chawa.

Nyerere kafa anashangaa, anasema anasikitika kwamba hakudhani anatengeneza kizazi cha watu waoga na wasiokomaa na mambo ya nchi yao.

Sasa hiki kizazi wanatengeneza ni cha machawa na mashabiki ya Simba na Yanga.

National news za jana na leo kwenye ma TV na ma radio majumbani na kwenye madaladala asubuhi, mchana, na jioni ni Magoli ya Samia, na Yanga na Simba na Ally Kamwe. Ally Kamwe kasema Simba wanashangilia magoli kwa kuvua mashati. Wao Yanga wanakimbiza mpira katikati waanze upya watafute hela za magoli ya Mama Samia. National media zime broadcast hiyo bullcrap siku mbili mfululizo.

Kizazi cha u-chawa na u-Simba na u-Yanga. Na uharo vichwani.
 
Back
Top Bottom