Tukisema kazi imewashinda tutakuwa tumekosea?

Huku Arusha ndio balaa.. Boda boda wa huku akili zao wanazijua wao, Usiku saa 6 anavuta wese kwa nguvu na anachekelea..

Kingine huu mji hauna PATROL kabisa.. hakuna sijaona Patrol ya askari.

Dawa ni kufanya reform tu
 
Habari.Ninyi askari wa barabarani tumelalama hapa kuhusu pikipiki kuongezwa honi za ajabu,kelele za ziada kwenye bomba la moshi,na hata kutowa mlio mkali kama wa bastola .Je ndiyo kusema kazi imewashinda kudhibiti hawa?
Ishu ni hakuna anayejali kama jina lako tu.
 
Hiyo dalili ya uraibu.
Huku Arusha ndio balaa.. Boda boda wa huku akili zao wanazijua wao, Usiku saa 6 anavuta wese kwa nguvu na anachekelea..

Kingine huu mji hauna PATROL kabisa.. hakuna sijaona Patrol ya askari.

Dawa ni kufanya reform tu
 
Habari.Ninyi askari wa barabarani tumelalama hapa kuhusu pikipiki kuongezwa honi za ajabu,kelele za ziada kwenye bomba la moshi,na hata kutowa mlio mkali kama wa bastola .Je ndiyo kusema kazi imewashinda kudhibiti hawa?
hakuna anayejali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…