Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Wapo bize na plate number za magari kama tishio la usalama barabarani kwa sasa.Habari.Ninyi askari wa barabarani tumelalama hapa kuhusu pikipiki kuongezwa honi za ajabu,kelele za ziada kwenye bomba la moshi,na hata kutowa mlio mkali kama wa bastola .Je ndiyo kusema kazi imewashinda kudhibiti hawa?
Nchi inapitia mengi hii