Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Hawakuwa siriazi kuwachukua mkuu, hizo club 2 zikimtaka mchezaji hazishindwi, inawezekana pia hao wachezaji walihofia kukalia bench mpaka matako kuota sugu.kama nani vile mkuu?mara ngap madrid wamemtaka Rooney kawatolea nje?uyu beki mbili wa Arsenal(bellerini)mbna kakataa kwenda Barca
hebu tupe mfano wako ni mchezaji gani bora hata Useme China kama rafiki yangu Diego costa.
Labda mnasifia kutumia manguvu na kupaki bac timu za uingereza zutaendelea kuwa underdog pindi zikutanazo na timu za spain. Ni jambo la ajabu bingwa wa EPL kuwa underdog dhidi ya timu iliyokuwa imeshika nafasi ya tano.EPL ni kipimo tosha kwa wachezaji na makocha!!muulize Gurdiola anaelewa vizuri mziki wa EPL ligi yenye changamoto za kutosha.
messi kuwa la liga unaona ligi bora,ngoja astaafu manake ashakua babu,tuone ubora wa ligaHata ligi ya Zanzibar ina ushindani kama huo wa Epl lakini sio bora. Sasa kama unapenda ushindani kwa nini usifuatilie pia ligi ya Zanzibar.
haya ni kwa mtazamo wako babuLabda mnasifia kutumia manguvu na kupaki bac timu za uingereza zutaendelea kuwa underdog pindi zikutanazo na timu za spain. Ni jambo la ajabu bingwa wa EPL kuwa underdog dhidi ya timu iliyokuwa imeshika nafasi ya tano.
acheze hukohuko ligi ya wasichanaMmekosa point za kuongea et kaleteni ka messi muone kam kataweza mwachen tu aitwe messi
Mkuu wewe sio mfuatiliaji wa mpira kumbe, tofauti na ile mechi ya super cup ambayo chelsea alipigwa 2-0, vilevile chelsea alitolewa robo fainali UCL kwa kupigwa 3-1 pale stamford bridgekama sikosei ilikua mshindi wa UEFa na Europa ile chelsea alikutwa amekaa vibaya ila hizo timu sije zishiriki msimu mzima pale Epl ndo utaona Mwotto wake
messi kuwa la liga unaona ligi bora,ngoja astaafu manake ashakua babu,tuone ubora wa liga
Vile vile Sanchez, Costa, Aguero, Zlatan, Ozil. Ndo wakombozi.Mkuu unakosea ukisema hivo naona Suarez,Mascherano,Ronaldo,Bale wanakalia bench kwa mujib wa bandiko lako sio acha kupotosha km hujui piga kimya.
Magwiji wanaojua soka hawawezi gusa ligi ya EPL maana hailei vipaji mfano Ronaldinho, zidane, messi, Rinaldo delima, rivaldo, figo, kaka nk nk wote Hawa wameikimbia EPL na ndo maana sishangai EPL imetoa balon Dior mbili sijui mojaKwa kinachomkuta bwana yule gadiola aiseeee unaweza ukawa uko sawa
Sio kwamba wote mpira hawajui, ni full kukamiana tuInawezekana isiwe lig bora kwa maana ya mpira mnaoutaka
Ila Ni lig ambayo ina ushindan mkubwa kuanzia team ya kwanza mpka 20
EPL ni maarufu na sio bora especially kwa east africa, kawaulize UEFA watakuambia ligi ipi boraKinachoifanya ligi ya uingereza kuwa inatamba ni uwekezaji mkubwa wa timu hasa kiuchumi yaani timu nyingi uchumi wake hautofautiani sana sasa angalia LA liga au bundersliga ukitoa Dortmund na munchen hakuna timu zenye uimara wa kushindana nazo. Angalia Felix magath alichukua ubingwa na werder Bremen alipoenda Fulham akashindwa kufanya chochote,hata pep ameshindwa kuendana na kasi ya ligi kuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwamba jamaa anapiga vitasa sanaPogba kaingiaje hapo.? Hebu mtoe huyo mkabaji wa roba za mbao. Kwa mujibu wa FIFA hapo ni Toni Kroos, Germany Machine himself.
Hapo si bado akiwa Juventus bana
Hiyo list bado pogba akiwa juventus Mzee, acha kudanganya watuSiyo mimi niliyemuingiza maana sikuwepo kwenye jopo lililofanya uteuzi
Vizuri na ndo maana nikasema EPL hailei vipaji kabisa, wao furaha yao ni kuvunja watu miguu tuuu na ndo maana best players kama Ronaldinho, figo, zidane, Rinaldo delima, kaka, rivaldo waligoma kabisa kuja eplkuna yule director wa Barcelona kafukuzwa kazi kisa kasema messi bila wenzake hawezi cheza mpira.
Akija pale akutane na watu kama kina Charlie Adam,Sharwcross,Cahil,Rojo anaweza kukaa nje mwaka mzima kwa ajili ya majeruhi.
Yeah ni kama Alexandra hleb, Alexandra song, Michale Owen wote Hawa walishine vibaya walipokuja laligaMchezaji anayetoka kwenye EPL popote pale anacheza.