Tukisema Rushwa imetembea Dodoma Jiji FC hamtaki Kuamini

Tukisema Rushwa imetembea Dodoma Jiji FC hamtaki Kuamini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Naomba kujua Kiungo tegemezi Mkandala kaumia wapi mpaka kaomba Kutolewa?

Je, huyu Waziri Junior lege lege wa leo ndiyo yule ambaye hucheza na Simba SC kwa Kupambana sana?

Huu Mpira walioucheza Dodoma Jjji FC Kipindi cha Pili walikuwa wapi Kuucheza Kipindi cha Kwanza?

Hivi Kipa Makini anaweza Kufungwa Magoli ya Kipopoma (Kipumbavu) kama aliyofungwa huyu Kipa wa Dodoma Jiji FC wa leo?

Haya jiandaeni pia na Kuwahonga Simba SC ili katika Mechi yenu nao ya Nusu Fainali ya ASFC mshinde Kudadadeki zenu.

Yaani Mnahonga hadi mnashtukiwa!
 
Tayari Muhaho Umeanza [emoji1787][emoji1787], Mkuu Nyie Si Ndo Mabingwa Wapya Wa NBC Premier League Ndenge Nn Sasa? Nyie Shindeni Mechi Zenu Na Sisi Tusuluhu Mechi Zetu [emoji4]
Mwambieni Kipa wa Dodoma Jiji FC mliyemuhonga Demu wake wa Magomeni nasi tutazimalizia Hasira zetu za Upuuzi wake alioufanya leo Kwake kwa kumpelekea Moto hadi Mimba.
 
Mwambieni Kipa wa Dodoma Jiji FC mliyemuhonga Demu wake wa Magomeni nasi tutazimalizia Hasira zetu za Upuuzi wake alioufanya leo Kwake kwa kumpelekea Moto hadi Mimba.
Unamuonea Bure Yule Kipa....ile Bunduki ilimletea Mchachawizo Akachachawa..Kwa Lile Bomba Sio Mchezo Mkuu...Ngoma Kama Inakuja Inakata Kama Inakuja Af Inapotea Tena..Hamad! Kitu Hiki Apa Kila Akipangua Bado Anaiona Imo Kila Akipangua Bado Imo...Mwishoee Imoooooooo!! Na Sitashangaa Kama Alitoa Hewa Chafu Pale [emoji1787]
 
Unamuonea Bure Yule Kipa....ile Bunduki ilimletea Mchachawizo Akachachawa..Kwa Lile Bomba Sio Mchezo Mkuu...Ngoma Kama Inakuja Inakata Kama Inakuja Af Inapotea Tena..Hamad! Kitu Hiki Apa Kila Akipangua Bado Anaiona Imo Kila Akipangua Bado Imo...Mwishoee Imoooooooo!! Na Sitashangaa Kama Alitoa Hewa Chafu Pale [emoji1787]
Ile fataki hata pazia Manula likiwahi pigiwa na Mauya kitu nyavuni
 
Naomba kujua Kiungo tegemezi Mkandala kaumia wapi mpaka kaomba Kutolewa?

Je, huyu Waziri Junior lege lege wa leo ndiyo yule ambaye hucheza na Simba SC kwa Kupambana sana...

Kumbe we jamaa ni mtupu kichwani kiasi hiki?

Wazir Junior akichezaga na Simba huwa anatupiaga magoli mangapi ili tuone kuwa hawagi lege lege akicheza na Simba?

2) Manula ni kipa sio mahili tu bali ni Tanzania one, je hafungwagwi magoli ya mbali?

3) tukipima kitakwimu kati yakipindi cha kwanza na cha pili, kipindi cha pili Yanga walitengeneza nafasi nyingi za kufunga kuliko kipindi cha kwanza
 
Ongea hoja iliyoko mezani acha kuruka ruka.

Ndiyo maana mlifeli mitihani huko shuleni.
Sasa niruke vipi, kama unajiongelea ww swala la kufeli sawa,ila mimi sijawahi kufeli shule, tukiweka vyeti humu utajiona mnyonge na bonge la fala.

Yaani kwa kuwa Simba aliteseka na Polisi basi Yanga nae atateseka, mbona mimi nilidroo na Ruvu na nyinyi mkampiga nne,mlidroo na Mtibwa na mimi nikampiga mbili tatizo lako mpira umeujulia ukubwani.
 
[emoji28]
FB_IMG_16524520014917909.jpg


Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom