GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Naomba kujua Kiungo tegemezi Mkandala kaumia wapi mpaka kaomba Kutolewa?
Je, huyu Waziri Junior lege lege wa leo ndiyo yule ambaye hucheza na Simba SC kwa Kupambana sana?
Huu Mpira walioucheza Dodoma Jjji FC Kipindi cha Pili walikuwa wapi Kuucheza Kipindi cha Kwanza?
Hivi Kipa Makini anaweza Kufungwa Magoli ya Kipopoma (Kipumbavu) kama aliyofungwa huyu Kipa wa Dodoma Jiji FC wa leo?
Haya jiandaeni pia na Kuwahonga Simba SC ili katika Mechi yenu nao ya Nusu Fainali ya ASFC mshinde Kudadadeki zenu.
Yaani Mnahonga hadi mnashtukiwa!
Je, huyu Waziri Junior lege lege wa leo ndiyo yule ambaye hucheza na Simba SC kwa Kupambana sana?
Huu Mpira walioucheza Dodoma Jjji FC Kipindi cha Pili walikuwa wapi Kuucheza Kipindi cha Kwanza?
Hivi Kipa Makini anaweza Kufungwa Magoli ya Kipopoma (Kipumbavu) kama aliyofungwa huyu Kipa wa Dodoma Jiji FC wa leo?
Haya jiandaeni pia na Kuwahonga Simba SC ili katika Mechi yenu nao ya Nusu Fainali ya ASFC mshinde Kudadadeki zenu.
Yaani Mnahonga hadi mnashtukiwa!