joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Haya kipa yule yule vs Pamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna timu kwa sasa inayoqeza kuhongwa wakati ikijua ligi hii ipofikia kila timu inaweza shuka daraja?Naomba kujua Kiungo tegemezi Mkandala kaumia wapi mpaka kaomba Kutolewa?
Je, huyu Waziri Junior lege lege wa leo ndiyo yule ambaye hucheza na Simba SC kwa Kupambana sana?
Huu Mpira walioucheza Dodoma Jjji FC Kipindi cha Pili walikuwa wapi Kuucheza Kipindi cha Kwanza?
Hivi Kipa Makini anaweza Kufungwa Magoli ya Kipopoma ( Kipumbavu ) kama aliyofungwa huyu Kipa wa Dodoma Jiji FC wa leo?
Haya jiandaeni pia na Kuwahonga Simba SC ili katika Mechi yenu nao ya Nusu Fainali ya ASFC mshinde Kudadadeki zenu.
Yaani Mnahonga hadi mnashtukiwa!!!!!
kwani wewe ulitaka afungwe nani?ili iweje mamba wewe?Naomba kujua Kiungo tegemezi Mkandala kaumia wapi mpaka kaomba Kutolewa?
Je, huyu Waziri Junior lege lege wa leo ndiyo yule ambaye hucheza na Simba SC kwa Kupambana sana?
Huu Mpira walioucheza Dodoma Jjji FC Kipindi cha Pili walikuwa wapi Kuucheza Kipindi cha Kwanza?
Hivi Kipa Makini anaweza Kufungwa Magoli ya Kipopoma ( Kipumbavu ) kama aliyofungwa huyu Kipa wa Dodoma Jiji FC wa leo?
Haya jiandaeni pia na Kuwahonga Simba SC ili katika Mechi yenu nao ya Nusu Fainali ya ASFC mshinde Kudadadeki zenu.
Yaani Mnahonga hadi mnashtukiwa!!!!!
Popoma = The most ignorant of ignorants peopleA popoma will always remain a popoma whether he goes to school, or not.
Naomba kujua Kiungo tegemezi Mkandala kaumia wapi mpaka kaomba Kutolewa?
Je, huyu Waziri Junior lege lege wa leo ndiyo yule ambaye hucheza na Simba SC kwa Kupambana sana?
Huu Mpira walioucheza Dodoma Jjji FC Kipindi cha Pili walikuwa wapi Kuucheza Kipindi cha Kwanza?
Hivi Kipa Makini anaweza Kufungwa Magoli ya Kipopoma ( Kipumbavu ) kama aliyofungwa huyu Kipa wa Dodoma Jiji FC wa leo?
Haya jiandaeni pia na Kuwahonga Simba SC ili katika Mechi yenu nao ya Nusu Fainali ya ASFC mshinde Kudadadeki zenu.
Mashabiki wa Dodoma fc watulia hawana stress ila wanaoumia ni makolo
Yaani Mnahonga hadi mnashtukiwa!!!!!
Muulize Aishi Manula alivyofungwa goli kama lile la leo, alihongwa shilingi ngapi?Naomba kujua Kiungo tegemezi Mkandala kaumia wapi mpaka kaomba Kutolewa?
Je, huyu Waziri Junior lege lege wa leo ndiyo yule ambaye hucheza na Simba SC kwa Kupambana sana?
Huu Mpira walioucheza Dodoma Jjji FC Kipindi cha Pili walikuwa wapi Kuucheza Kipindi cha Kwanza?
Hivi Kipa Makini anaweza Kufungwa Magoli ya Kipopoma ( Kipumbavu ) kama aliyofungwa huyu Kipa wa Dodoma Jiji FC wa leo?
Haya jiandaeni pia na Kuwahonga Simba SC ili katika Mechi yenu nao ya Nusu Fainali ya ASFC mshinde Kudadadeki zenu.
Yaani Mnahonga hadi mnashtukiwa!!!!!
Mbona hata hii yako ni Yangu na husemi?Mkuu unataka kusema na ID ya mzee wa kazi chafu ni yake pia?
🤣🤣🤣🤣🤣A popoma will always remain a popoma whether he goes to school, or not.
2 tuYanga tumebakiza mechi ngapi tuchukue ubingwa?
Tatu na draw moja2 tu
Ingekuwa yako ingechezea ban kila mara. Lakini mwenye hii ID ni mtu smart mwenye akili zake timilifu hakuna historia ya ban hapa.Mbona hata hii yako ni Yangu na husemi?
Tutawahonga kama ile match ya Ngao ya Jamii.Naomba kujua Kiungo tegemezi Mkandala kaumia wapi mpaka kaomba Kutolewa?
Je, huyu Waziri Junior lege lege wa leo ndiyo yule ambaye hucheza na Simba SC kwa Kupambana sana?
Huu Mpira walioucheza Dodoma Jjji FC Kipindi cha Pili walikuwa wapi Kuucheza Kipindi cha Kwanza?
Hivi Kipa Makini anaweza Kufungwa Magoli ya Kipopoma ( Kipumbavu ) kama aliyofungwa huyu Kipa wa Dodoma Jiji FC wa leo?
Haya jiandaeni pia na Kuwahonga Simba SC ili katika Mechi yenu nao ya Nusu Fainali ya ASFC mshinde Kudadadeki zenu.
Yaani Mnahonga hadi mnashtukiwa!!!!!