Tukisema Rushwa imetembea Dodoma Jiji FC hamtaki Kuamini

Hivi kuna timu kwa sasa inayoqeza kuhongwa wakati ikijua ligi hii ipofikia kila timu inaweza shuka daraja?
 
kwani wewe ulitaka afungwe nani?ili iweje mamba wewe?
 

 
Muulize Aishi Manula alivyofungwa goli kama lile la leo, alihongwa shilingi ngapi?
 
Timu iliyomtoa Simba imemepigwa moja omu kwake ingwa kapita kipopoma tu katk fainali
 
Tutawahonga kama ile match ya Ngao ya Jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…