Tukisema Yanga SC kuna Njaa na Shida muwe mnatuelewa tafadhali

Tukisema Yanga SC kuna Njaa na Shida muwe mnatuelewa tafadhali

Waondoke hata wote, january tutasajili wengine, kuna timu wachezaji hata mishahara hawana wanapewa posho tu, na wanacheza,

Siku zote mawazo ya Mpumbavu / Popoma huwa kama haya yako.
 
Waondoke hata wote, january tutasajili wengine, kuna timu wachezaji hata mishahara hawana wanapewa posho tu, na wanacheza,

Siku zote mawazo ya Mpumbavu / Popoma huwa kama haya yako.
 
Huyu Syney na Lamine Moro walikuwa wanazunguka tu mtaani hata mia ya kula hawana, leo wamepata zari ya kuchezea timu kubwa wanaleta kiburi, watimuliwe haraka

Ulikuwa wapi Siku zote ' Kuyatapika ' kama siyo ' Kuyaharisha ' haya yote? Walipeni Pesa zao upesi kwani mkifanya mzaha wakienda FIFA mnaweza mkapigwa ' Rungu ' na msije Kuamini Macho na Masikio yenu. Ndiyo maana hata Mwenyekiti wenu Dkt. Mshindo Msolla alisema na Kunukuliwa akisema kuwa Mashabiki wa Yanga SC ni Wapumbavu. Huenda kwakuwa Kitaaluma Yeye pia ni Mtafiti mzuri basi labda alishafanya Utafiti ndani ya Vichwa ' vibovu vibovu ' vya wana Yanga wengi ( japo siyo wote )
 
Waondoke tu hao zahera fc hata kikosi B tutapandisha kusukuma gurudumu hapa Daima mbele

Siku zote Mawazo ya Watu wenye ' Uchi wa Akili ' huwa ni kama haya yako Mkuu. Walipeni upesi na haraka Pesa zao tafadhali.
 
EXCLUSIVE: "Nimeandika barua ya kuvunja mkataba na Yanga kwa sababu sijalipwa mishahara yangu kwa muda wa miezi mitatu sasa. Mimi ni raia wa kigeni unategemea nitaishi vipi hapa"-Lamine Moro mchezaji wa Yanga.

Chanzo Habari: Mtandao wa Shaffih Dauda Leo tarehe 7 Disemba 2019


EXCLUSIVE: Falcao ameomba kuondoka ndani ya Yanga kufuatia kutolipwa mshahara wake wa miezi miwili. Inaelezwa.

Chanzo Habari: Mtandao wa Saleh Ally ule wa salehjembe Leo tarehe 7 Disemba 2019

Naomba aliyewahi Kusikia mahala popote pale Mchezaji wa Simba SC analia ' njaa ' kama hawa Wawili wa Yanga SC aweke Ushahidi wake hapa kama huu uliowekwa hapa. Niliwaambieni Yanga SC kuwa huyo Mwenyekiti wenu ni Simba SC ' dam dam ' hamniamini na hivi tunamalizana nae ' Kimjini Mjini ' ili Kelvin Yondan atue rami Msimbazi dirisha dogo kwani Kocha mpya Ibenge kutoka DRC Congo na Pitso Mosimane kutoka Afrika Kusini wote wanamuhitaji Kikosini.

Na tarehe 4 January 2020 tunaenda Kumfukuzisha Kazi Kocha Mkwasa kwa Kipigo ' Kitakatifu ' kwa Mchina.

Kama ni kweli uongozi wa sasa wa Yanga una matatizo....Uongozi hauna uzoefu kabisa na masuala ya uendeshaji wa klabu
 
Anaofia kukosa namba uyo baada ya mjomba wake zahera kuondolewa

Yanga daima mbele
 
Back
Top Bottom