Tukiwa tunaelekea Mei Mosi, TUCTA waomba Rais Samia asikilize kilio chao

Tukiwa tunaelekea Mei Mosi, TUCTA waomba Rais Samia asikilize kilio chao

TUCTA mlipokunya pameota mti.Hatuwahitaji mtuache.
 
Shirikisho huru la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema lina matumaini na Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atashughulikia madai yao ya muda mrefu yalipwe kwa wakati ili kuinua maisha ya wafanyakazi.

Shirikisho huru la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema lina matumaini na Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atashughulikia madai yao ya muda mrefu yalipwe kwa wakati ili kuinua maisha ya wafanyakazi.

Tucta imesema Hayati Dkt. John Magufuli alishaanza kufanyia kazi malalamiko yao kupitia vikao maalumu alivyokuwa anafanya na viongozi wa TUCTA, hivyo ni mategemeo yao Samia ataendeleza pale alipoishia mtangulizi wake kuhakikisha anamaliza changamoto hiyo kabisa.

Akizungumza Dar es Salaam leo (jana) Machi 28,2021 kwa njia ya simu na gazeti hili, kuelezea matarajio yao kwa Rais mpya.

Kaimu Katibu Mkuu wa TUCTA, Said Wamba amesema wanaanzia walipoishi na Hayati Magufuli kwamba madai yao ya mishahara na hali bora ya maisha kwa wafanyakazi yanaendelea.

“Na matumaini yetu, rais mpya na watendaji wake watayaona madai yetu ni ya maana na ya msingi kwa maendeleo ya wafanyakazi na wananchi kwa ujumla. Mishahara, kodi, na tulishaandika barua kwenda serikalini kuwaomba watupunguzie kiwango cha kodi ya mapato ambayo wanafanyakazi wanalipa kupitia fedha zao. Tunashukuru mwaka jana walipunguza kwa kiasi fulani lakini safari hii tunaomba wapunguze pia ,”

“Mishahara na marupurupu ya wafanyakazi ambayo yalisimama kwa muda mrefu sasa tunaomba yaanze kupatikana ,” anasema

Wamba ameeleza wana miaka minane sasa hawajaongezewa kiwango cha mshahara na mara ya mwisho kuongezewa ilikuwa mwaka 2013, licha ya kwamba uongozi wa shirikisho hilo umekuwa ukijitahidi kudai madai hayo kila mwaka kupitia sikukuu ya wafanyakazi inayofanyika Mei Mosi kila mwaka lakini bado hawaja timiziwa.

“ Tunaamini Rais atatumia busara na watendaji wake wengine kuangalia kilio chetu na akituongezea itasaidia kuinua morali ya ufanyaji kazi,” anasema Wamba.

Pia amesema Rais Magufuli aliwawekea utaratibu wa kukutana naye mara mbili au tatu kila mwaka na kupitia mikutano hiyo, ilikuwa inasaidia kumaliza baadhi ya changamoto ndogo ndogo zilizokuwa zinawakwamisha kwenye shughuli zao.

“Tunafikiri naye Rais mpya kurithi utaratibu huo wa kukutana na vyama vya wafanyakazi kila wakati kuondoa matatizo madogo madogo kwa mazungumzo ya kawaida kupata ufumbuzi kuliko kuamini kufuata sheria au kuanzisha mapambano ambayo kimsingi yanawapotezea muda,” alisema.

Wamba amemaliza kwa kutoa wito kwa wafanyakazi wote katika kipindi hiki wanatakiwa kuwa na subra kumpa muda wa kutosha Rais mpya kwa kuwa anakabiliwa na majukumu mengi ya kufanya, huku akiwataka kuendelea kutimiza wajibu wao wakati viongozi wa TUCTA wakifanya utaratibu wa kufuatilia madai hayo.

Chanzo: Tucta waomba Rais Samia asikilize kilio chao

My take:
Wakati wa kupandisha madaraja ningeomba aanze na wale ambao hawajawi kupanda daraja kabisa tangu waajiriwe. Kwa mfano, ajira mpya ya 2013 na wachache wa 2012.
Samia naomba achana na TUCTA ni wajinga hao. Mwenyekiti anayejiita Rais wa TUCTA aliliacha shirikisho akaenda kugombea ubunge kupitia CCM akifikiri JIWE atamsaidia apite na Katibu wake akaenda Iringa kumpigia kampeni mgombea ubunge wa CCM. Achana nao hawa wachumia tumbo.
 
Samia naomba achana na TUCTA ni wajinga hao. Mwenyekiti anayejiita Rais wa TUCTA aliliacha shirikisho akaenda kugombea ubunge kupitia CCM akifikiri JIWE atamsaidia apite na Katibu wake akaenda Iringa kumpigia kampeni mgombea ubunge wa CCM. Achana nao hawa wachumia tumbo.
Kosa la viongozi lisiathiri wafanyakazi
 
Tucta wamesahau kero za kudai mafao

FAO LA KUJITOA LIREJESHWE

Watu walipwe mafao kwa wakati

Hata fao la kukosa ajira halieleweki...watu wanadai na hawalipwi

NSSF kumeoza, NSSF ikaguliwe na CAG
Bila kusahau kikokotoo
 
Kosa la viongozi lisiathiri wafanyakazi
Hao wafanyakazi awakumbuke tu Rais Samia mwenyewe na siyo kukumbushwa na hao wachumia tumbo. Miaka yote mitano wao wanawaza kugombea tu ubunge kupitia CCM halafu leo wajifanye wanauchungu na wafanyakazi! Toka lini mwanaCCM akawa na uvhungu na wafanyakazi?
 
Toka lini mwanaCCM wa aina ya Tumaini Nyamhokya (Rais wa TUCTA) na Yahya Msigwa (katibu wa TUCTA) akawa na huruma na wafanyakazi?
 
Walijitahidi Sana lakini jibu miaka yote lilikuwa wasubiri kwanza lhela inatumika kufanya mambo ya maendeleo
 
Shirikisho huru la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema lina matumaini na Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atashughulikia madai yao ya muda mrefu yalipwe kwa wakati ili kuinua maisha ya wafanyakazi.

Shirikisho huru la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema lina matumaini na Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atashughulikia madai yao ya muda mrefu yalipwe kwa wakati ili kuinua maisha ya wafanyakazi.

Tucta imesema Hayati Dkt. John Magufuli alishaanza kufanyia kazi malalamiko yao kupitia vikao maalumu alivyokuwa anafanya na viongozi wa TUCTA, hivyo ni mategemeo yao Samia ataendeleza pale alipoishia mtangulizi wake kuhakikisha anamaliza changamoto hiyo kabisa.

Akizungumza Dar es Salaam leo (jana) Machi 28,2021 kwa njia ya simu na gazeti hili, kuelezea matarajio yao kwa Rais mpya.

Kaimu Katibu Mkuu wa TUCTA, Said Wamba amesema wanaanzia walipoishi na Hayati Magufuli kwamba madai yao ya mishahara na hali bora ya maisha kwa wafanyakazi yanaendelea.

“Na matumaini yetu, rais mpya na watendaji wake watayaona madai yetu ni ya maana na ya msingi kwa maendeleo ya wafanyakazi na wananchi kwa ujumla. Mishahara, kodi, na tulishaandika barua kwenda serikalini kuwaomba watupunguzie kiwango cha kodi ya mapato ambayo wanafanyakazi wanalipa kupitia fedha zao. Tunashukuru mwaka jana walipunguza kwa kiasi fulani lakini safari hii tunaomba wapunguze pia ,”

“Mishahara na marupurupu ya wafanyakazi ambayo yalisimama kwa muda mrefu sasa tunaomba yaanze kupatikana ,” anasema

Wamba ameeleza wana miaka minane sasa hawajaongezewa kiwango cha mshahara na mara ya mwisho kuongezewa ilikuwa mwaka 2013, licha ya kwamba uongozi wa shirikisho hilo umekuwa ukijitahidi kudai madai hayo kila mwaka kupitia sikukuu ya wafanyakazi inayofanyika Mei Mosi kila mwaka lakini bado hawaja timiziwa.

“ Tunaamini Rais atatumia busara na watendaji wake wengine kuangalia kilio chetu na akituongezea itasaidia kuinua morali ya ufanyaji kazi,” anasema Wamba.

Pia amesema Rais Magufuli aliwawekea utaratibu wa kukutana naye mara mbili au tatu kila mwaka na kupitia mikutano hiyo, ilikuwa inasaidia kumaliza baadhi ya changamoto ndogo ndogo zilizokuwa zinawakwamisha kwenye shughuli zao.

“Tunafikiri naye Rais mpya kurithi utaratibu huo wa kukutana na vyama vya wafanyakazi kila wakati kuondoa matatizo madogo madogo kwa mazungumzo ya kawaida kupata ufumbuzi kuliko kuamini kufuata sheria au kuanzisha mapambano ambayo kimsingi yanawapotezea muda,” alisema.

Wamba amemaliza kwa kutoa wito kwa wafanyakazi wote katika kipindi hiki wanatakiwa kuwa na subra kumpa muda wa kutosha Rais mpya kwa kuwa anakabiliwa na majukumu mengi ya kufanya, huku akiwataka kuendelea kutimiza wajibu wao wakati viongozi wa TUCTA wakifanya utaratibu wa kufuatilia madai hayo.

Chanzo: Tucta waomba Rais Samia asikilize kilio chao

My take:
Wakati wa kupandisha madaraja ningeomba aanze na wale ambao hawajawi kupanda daraja kabisa tangu waajiriwe. Kwa mfano, ajira mpya ya 2013 na wachache wa 2012.
2013 walishapanda shida ipo kwa 2014 hawajapanda tu hadi inauma ukifikiria
du miaka 8
 
Ila nchi hii ina wajinga wengi sana.
Imagine mtu amelimwa 2% ya kiduchu chake na chama hiki cha kisiasa!
 
Shirikisho huru la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema lina matumaini na Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atashughulikia madai yao ya muda mrefu yalipwe kwa wakati ili kuinua maisha ya wafanyakazi.

Shirikisho huru la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema lina matumaini na Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atashughulikia madai yao ya muda mrefu yalipwe kwa wakati ili kuinua maisha ya wafanyakazi.

Tucta imesema Hayati Dkt. John Magufuli alishaanza kufanyia kazi malalamiko yao kupitia vikao maalumu alivyokuwa anafanya na viongozi wa TUCTA, hivyo ni mategemeo yao Samia ataendeleza pale alipoishia mtangulizi wake kuhakikisha anamaliza changamoto hiyo kabisa.

Akizungumza Dar es Salaam leo (jana) Machi 28,2021 kwa njia ya simu na gazeti hili, kuelezea matarajio yao kwa Rais mpya.

Kaimu Katibu Mkuu wa TUCTA, Said Wamba amesema wanaanzia walipoishi na Hayati Magufuli kwamba madai yao ya mishahara na hali bora ya maisha kwa wafanyakazi yanaendelea.

“Na matumaini yetu, rais mpya na watendaji wake watayaona madai yetu ni ya maana na ya msingi kwa maendeleo ya wafanyakazi na wananchi kwa ujumla. Mishahara, kodi, na tulishaandika barua kwenda serikalini kuwaomba watupunguzie kiwango cha kodi ya mapato ambayo wanafanyakazi wanalipa kupitia fedha zao. Tunashukuru mwaka jana walipunguza kwa kiasi fulani lakini safari hii tunaomba wapunguze pia ,”

“Mishahara na marupurupu ya wafanyakazi ambayo yalisimama kwa muda mrefu sasa tunaomba yaanze kupatikana ,” anasema

Wamba ameeleza wana miaka minane sasa hawajaongezewa kiwango cha mshahara na mara ya mwisho kuongezewa ilikuwa mwaka 2013, licha ya kwamba uongozi wa shirikisho hilo umekuwa ukijitahidi kudai madai hayo kila mwaka kupitia sikukuu ya wafanyakazi inayofanyika Mei Mosi kila mwaka lakini bado hawaja timiziwa.

“ Tunaamini Rais atatumia busara na watendaji wake wengine kuangalia kilio chetu na akituongezea itasaidia kuinua morali ya ufanyaji kazi,” anasema Wamba.

Pia amesema Rais Magufuli aliwawekea utaratibu wa kukutana naye mara mbili au tatu kila mwaka na kupitia mikutano hiyo, ilikuwa inasaidia kumaliza baadhi ya changamoto ndogo ndogo zilizokuwa zinawakwamisha kwenye shughuli zao.

“Tunafikiri naye Rais mpya kurithi utaratibu huo wa kukutana na vyama vya wafanyakazi kila wakati kuondoa matatizo madogo madogo kwa mazungumzo ya kawaida kupata ufumbuzi kuliko kuamini kufuata sheria au kuanzisha mapambano ambayo kimsingi yanawapotezea muda,” alisema.

Wamba amemaliza kwa kutoa wito kwa wafanyakazi wote katika kipindi hiki wanatakiwa kuwa na subra kumpa muda wa kutosha Rais mpya kwa kuwa anakabiliwa na majukumu mengi ya kufanya, huku akiwataka kuendelea kutimiza wajibu wao wakati viongozi wa TUCTA wakifanya utaratibu wa kufuatilia madai hayo.

Chanzo: Tucta waomba Rais Samia asikilize kilio chao

My take:
Wakati wa kupandisha madaraja ningeomba aanze na wale ambao hawajawi kupanda daraja kabisa tangu waajiriwe. Kwa mfano, ajira mpya ya 2013 na wachache wa 2012.
Ee ni ajabu sana, hawa ndo walikuwa wanamsifia jiwe, leo tena wanamadai, ka ma vile kinyonga.
 
Tatizo ni kwamba haya mavyama yapo kisheria
No.
Kujiunga ni willing, na kujitoa ni willing pia.
Labda kama ma HR wenu hawajitambui ndio huwalazimisha.
Mimi nina miaka karibu 6 kwenye utumishi wa umma ila si member wa hivi vyama.
 
Hawa wapumbavu wa TUCTA wamekumbuka shuka baada ya Magufuli kufariki dunia. Walikuwa wamepoa kama barafu na busy kusifia sifia ujinga wa mzee Meko.
1. Umeenda mbali sana kuwaita "wapumbavu". Hiyo siyo sawa na si ustaarabu

2. Hata hivyo, unafikiri TUCTA wangefanyeje mbele ya utawala wa mkono wa chuma wa Jiwe? Ulitaka wapotezwe au kujikuta watuptwa kwenye viroba baharini?

3. Mbaya na mmwaga damu za watu (Tyrant) ameondoka. Siyo vibaya kuanza kuzungumza na huyu mama mstaarabu...
 
TUCTA waombe kwa Rais Samia Suluhu, sheria ya mwaka 2018 ifutwe...hii sheria iliondoa FAO la kujitoa

TUCTA waombe FAO LA KUJITOA LIREJESHWE
 
Back
Top Bottom