Tukiwa tunasema Kanisa Katoliki ndiyo Alama rasmi ya Ukristo Tanzania na Duniani muwe mnatuelewa tafadhali

Unaamini MAPOKEO zaidi kuliko BIBLIA TAKATIFU.

Umeona SIKUKUU ZA WATAKATIFU zimetajwa wapi katika BIBLIA TAKATIFU?

Wapi cheo cha PAPA kimetajwa kwenye BIBLIA TAKATIFU?

Aliyekwambia DHEHEBU lenyewe watu wengi duniani ni la KWELI ni nani?

Wingi wa DHEHEBU kuwa na WAFUASI WENGI si kigezo cha kuwa la KWELI, Wala si kigezo cha KUIONA MBINGU.
"Ingieni kwa kupitia mlango ulioMWEMBAMBA; maana MLANGO ni MPANA, na njia ni PANA iendayo upotevuni, nao ni WENGI WAINGIAO kwa MLANGO huo, na njia IMESONGA iendayo uzimani, nao WAIONAO ni WACHACHE". [Mathayo 7:13-14]

"Nanyi mtaifahamu hiyo KWELI; nayo KWELI itawaweka HURU" [YOHANA 8:32].
mgen
 
We nae nimekufuatilia kwenye huu uzi naona huna hoja. We ni tabularasa tu hakuna kitu unajua wewe
 
Licha ya kuwa na nidhamu Lakin hasara waliyo nayo Ni kuwa kwenye ukafiri
 
Msabato bila shaka
 
We nae nimekufuatilia kwenye huu uzi naona huna hoja. We ni tabularasa tu hakuna kitu unajua wewe
"AKILI" iliyokutuma kutambua kwamba sina hoja, Kwanini AKILI hiyo hiyo isikutume kuona kuwa "UNALISHWA MAPOKEO" na "MATANGOMWITU" hapo unapoabudia!?!!

Kwanini AKILI yako isikutume kuona UNACHOFUNDISHWA kiko tofauti na Hakiendani na MAANDIKO MATAKATIFU YA BIBLIA TAKATIFU!?!!

Maneno matupu hayafai twende kwa Maandiko Matakatifu ya BIBLIA TAKATIFU.

"Uwatakase kwa ile KWELI; na NENO lako ndiyo KWELI" YOHANA 17:17.

USIAMINI MAPOKEO KULIKO BIBLIA TAKATIFU.

8. "Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
9. Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu". [MATHAYO 15:8-9]
 
Kikubwa ni wote ni wakristo na tunatumia bible moja na ni wafuasi wa Jesus basi hakuna tatizo mimi nashangaaga sana udhehebu kwa sisi wakristo yaani huwa sielewi kabisaaa mimi mluther but nikienda nje ya nchi nikiona luther lipo mbali huwa nasali hata katoliki bila chenga
 
Sasa ni zamu ya shekhe Alhad Musa kupambana na Gwajima,Gwajima hawezi kuliacha ili jambo lipite kimya kimya
 
Sio kila cheo katika ukristo lazima kitajwe sawa sawa na maandiko. Lugha hubadilika kulingana na nyakati (language is dynamic), lakini maana ni ileile. Sio kweli kuwa maaskofu hawakutajwa katika biblia. Mapadre na maaskofu katika biblia ndio makuhani na makuhani wakuu (rejea kitabu cha Walawi).
 
Unajua maana ya Ukristo? Tafuta na upate kujua kwa yakini maana ya Ukristo/Mkristo Kibiblia halafu uje urudie kusoma ulichoandika uone kama kina mantiki au la.
 
Mapungufu mengi ya katoliki na utata mwingi wa ibada zao , ndio umezaa madhehebu mengne kidgo Lutheran , angalican na wasabato hawana utata mwingi japo upo , Ila hawa wengne qa uhamsho wanaaibisha kabisa ukristo wa kweli
 
Madhehebu yote yamezaliwa na katoliki baada ya kuwa na utata mwingi katika mafundsho ya katoliki
 
Mapungufu mengi ya katoliki na utata mwingi wa ibada zao , ndio umezaa madhehebu mengne kidgo Lutheran , angalican na wasabato hawana utata mwingi japo upo , Ila hawa wengne qa uhamsho wanaaibisha kabisa ukristo wa kweli
Wanaaibidhaje kiongozi
 
Cheo cha uaskofu kimetajwa ktk vitabu vya agano jipya hasa ktk maandiko ya Paulo. Ameelezea sifa za mtu anayefaa kuwa askofu, kama kuwa na mke mmoja n.k. Sambamba na cheo hicho kuna cheo cha ushemasi.

Cheo cha padre kina maana tofauti kidogo na vyeo vya uaskofu na ushemasi. Maana ya neno Padre ni Baba. Ndiyo maana wakatoliki huwaita pia hao mapdre "father".

Kwenye Ukristo hasa kwa mujibu wa biblia..hakuna cheo cha kiongozi wa dini kijulikanacho kama Baba/padre/father. Hasa ukizingatia kuwa Yesu mwenyewe alipiga marufuku jina hilo kuitwa waumini pale aliposema...msimuite mtu yeyote baba duniani, kwa maana Baba yenu ni mmoja, Mungu aliyeko heaven.

Kwa hiyo viongozi waitwao mapadre ni viongozi wa kidini..ila jina wanaloitwa liko kinyume na maandiko. Ingetosha wao kuitwa shemasi, askofu, mtume, nabii, mwalimu, pastor n.k.

Hata hili la priest nalo halimfai kiongozi yoyote kwa sasa...kwa vile kwa sasa kuhani wetu ni mmoja tu, ndiye Kristo Yesu. Wale makuhani wa zamani ktk agano la kale walimuwakilisha Yesu ktk huduma aifanyayo sasa mbinguni kama muombezi wetu.
 
We hujui kwamba pia bibilia ni mapokeo? alafu unajua bibilia ilikamilika lini? almost miaka miatano baada ya Kristu, alafu na hapo kuipata ilikuwa lazima ujue kusoma na pia uwe na utajiri kupata copy yake. Kitu kilichofanya watu wengi kutokuifaham. Sasa swali la kujiuliza, wakristu wa mwanzo walikuwa wanaabudu vipi? kwa kutumia miongozo ipi? Ukifaham hayo hutokaa ubeze mapokeo matakatifu, Sacred tradition. Soma 2 thesalonians 2:15. Kanisa ni katoliki tu. Na ni moja. Hayo mengine ndio madhehebu yaliyomeguka kwenye Kanisa.
 
[1] 2THESALONIKE 2:15, "Imeitaja ROMAN CATHOLIC?

Pameandikwa ROMAN CATHOLIC Ni dhehebu la kweli hapo!?!!

Acha kupotosha Maandiko Matakatifu.

YOHANA 8:32, "Tena mtaifahamu ile "KWELI", nayo hiyo "KWELI" itawaweka huru".

Hujui kutofautisha kati ya "BIBLIA TAKATIFU" na "MAPOKEO"?

"MAPOKEO" ni nini? => MATHAYO 15:8-9.
8. "Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
9. Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho yaliyo MAAGIZO ya WANADAMU."

KWELI ni=>
YOHANA 17:17, "Uwatakase kwa ile KWELIi; neno lako ndiyo KWELI.

BIBLIA TAKATIFU ni nini?
2 PETRO 19-21,
19. "Nasi tuna lile NENO la unabii lililo imara zaidi, ambalo mkiliangalia kama taa ing'aayo gizani..mpaka kutakapopambazuka na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.

20. Mkijua NENO hili kwanza ya kwamba hakuna UNABII katika MAANDIKO upatao KUFASIRIWA kama apendavyo mtu.

21.Maana UNABII haukuletwa popote kwa MAPENZI YA WANADAMU; bali wanadamu walinena yale yaliyota kwa MUNGU wakiongozwa na Roho Mtakatifu".
fluid
 
Na hayo nayo ni msomi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…