#COVID19 Tukiwa wakweli na wawazi kuhusu COVID-19, tutapona na kuwa taifa lenye kustaajabisha

#COVID19 Tukiwa wakweli na wawazi kuhusu COVID-19, tutapona na kuwa taifa lenye kustaajabisha

Pslmp

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2021
Posts
1,622
Reaction score
2,458
Salaamu Watanzania!

Duniani kote, habari kuu ni Wimbi la tatu la Corona, habari hizi zinaendana na mpango wa chanjo, mpango ambao unatumia matrioni ya fedha kufanikisha hili.

Tanzania nayo haikuachwa nyuma, licha kwamba, kipindi cha nyuma huko, mpango huu haukuwa na umhimu wowote zaidi ya kutumia njia mbadala, njia zisizo tambulika kisayansi, ndizo zilizotumika na zikatuvusha kwa kiasi katika mawimbi yote mawili ya maambukizi ya C - 19.

Sasa, basi, nipende kutumia jukwaa hili kumpongeza sana Mh Rais, Ester wa leo, Mtu jasiri, na kiongozi wa vita hivi, Mama Yetu Samia Suluhu.

Alipoingia tu, akaunda tume itakayokuja na majibu na vitu vya kufuatwa kama nchi, Tanzania ilishudia ile ripoti ya tume ile, mapendekezo yake yalisomwa na kila mtu alisikia.

Hivi majuzi, Mh Rais wetu alisema, Tanzania sasa, nayo inaungana na mataifa mbalimbali kuanza kutumia chanjo kwa raia wake ijapokuwa haitakuwa ni lazima. Ni hiari.

Lakini pia, kama masikio yangu yalisikia sawasawa, aligusia kusema, Miongoni mwa wafanyabiasha wengi na pengine viongozi mbalimbali wa serikali, walitumia mipaka yetu kwenda kupata chanjo katika nchi za jirani, ni jambo jema, kwa kuwa uhai wa mtu, huulinda yeye mwenyewe, hata mandiko yamedhihilisha hilo.

Mantiki yangu ni kwamba, Ikiwa ni kweli watu wengi wenye uwezo wamepata hizi chanjo, Lakini bado tunaona viongozi wetu wakifariki na hakusemwi ni kwa ugonjwa upi umewapata hadi wanapatwa na umauti ingawa si wote waliofariki, hasa hsa utata wa kiongozi aliyefarika majuzi, Ni dhahili kuwa, hatujataka kushughurika na huyu kirusi aina ya Corona.

Sisemi moja kwa moja kwamba, labda Ugonjwa wa Corona ndio unaowaondoa, ila mashaka yangu na ya wengi kuwa, huwenda ni mrusi huyu ndiye anayeondoa uhai wa viongozi wetu kwa sababu, mtu umekuwa mzima siku na usiku wote halafu asubuhi unazima tu ghafla, na unaposikia huko nje jinsi kirusi wa awamu ya tatu anavyopeleka wengi na kwa ghafla makaburini, inatutia wasiwasi sisi raia wa kawaida.

Na mashaka yangu sasa, kama viongozi wengi na wafanyabiashara wamepata chanjo, Kwa nini tena kuwepo na vifo vinavyotia mashaka Kwamba, Corona huwenda ndiye anahusika na vifo hivyo?

Natamani tuwe wakweli sana katika hili, ili itusaidie sisi kama Taifa, Kwani nafahamu, Wataalamu wetu, watafanya kazi zao ipasavyo, na mwisho wa siku tutapata mwafaka na kuvuka juu ya hilo.

Tukiwa wakweli kabisa, na tuakaacha kumlaumu mtu, tukabezi kutafuta suruhisho la hili janga, Ninahakika tutavuka na tutakuwa taifa la kipekee duniani.

Swali langu, Je viongozi wetu wanaofariki ki ghafula kiasi hiki, ni kwa magonjwa yepi, ni Corona au kawaida?

Tuweni wakweli tu, tutapona, Tuakapokuwa wakweli kuhusu vifo vya mamia na maelfu ya watu duniani kwamba, licha ya kuchajwa
bado corona inaweza kuuwa, ndipo tutakuja kugundua pia kwamba, hata hizo chanjo hazitusaidii zaidi sana tunaingia kwenye madeni mengine makubwa kama nchi yasiyokuwa ya lazima,

Na wakati huo, tutakuwa tumeruhusu sasa vichwa vyetu kuchangamka kutafuta ukweli wa hili na nini cha kufanya, ingawa sibezi chochote kwa sasa!

Mungu bariki Tanzania

Mungu bariki viongozi wetu na Watanzania wote

Nakupenda Tanzania
 
Corona corona corona Rwanda wametangaza lockdown nyingine na wanafunzi wameanza kurudishwa nyumbani.

Kumbuka Rwanda ni ya kwanza kabisa kuchanja watu wake
Mimi natamani tufuate ukweli na siyo mkumbo, hii itatusaidia sana sisi
 
Tulikua tumeshawin battle na Magufuli ila sasa naona tunainguzwa cha kike kwa udhamini wa wataalam wa ndani.
Ninahisi, ukweli wetu ndio itakuwa ni dawa na tiba kwetu, tutakapoamua kufuata mkumbo, naona kama itatugharimu sana.
 
Hivi kweli, Watu woote ambao sasa wanakufa na wengine kuambukizwa kwa korona, wote hawana chanjo?
 
Kiongozi, hiyo imani au nadharia yako kuwa viongozi wengi nchini tayari wana chanjo na hivyo tukiona viongozi wanakufa basi hitimisho ni kuwa chanjo hazifanyi kazi sio sahihi.

Hivi Kiongozi gani na wangapi walikuwa na uthubutu wa kutoka nje ya mipaka kwenda kupata chanjo?
 
Swali langu, Je viongozi wetu wanaofariki ki ghafula kiasi hiki, Ni kwa magonjwa yepi, Ni Corona au kawaida?
Mada nyingine zinafanywa kuwa ndefu bila sababu.

Hili swali hapa, kwa mfano, nalo linahitaji majadiriano marefu? Pima na tangaza kilichowaua, au kilichochangia kufanya ugonjwa waliokuwa wakiishi nao hatimae kuwaua. Kwani hii nayo ni kazi ngumu?

Serikali inapokana, au kuficha uwepo wa ugonjwa, unadhani hilo linasaidia kukabiliana na ugonjwa na kuufahamu vyema ugonjwa ili uwezoe kupambana nao?

Sisi huku tunatumia ujinga, kupambana na ugonjwa mpya usiofahamika. Hao wanaofungua huko, angalau wamekwisha kuwa na ufahamu wa kutosha juu ya ugonjwa huo.

SAWA, huku kwetu watu wengi hawakupukutika harakaharaka, kama ilivyotokea kule, tunajua kwa nini ilikuwa hivyo, au mpaka tusubiri waje huku kutafuta jibu ambalo sisi ndio tungewafundisha sababu ya kinga zetu!

Tunajisifu kwa ujinga wetu na kuanza kuweka 'conspiracy theories' za kijinga vilevile!
 
Ninahisi, ukweli wetu ndio itakuwa ni dawa na tiba kwetu, tutakapoamua kufuata mkumbo, naona kama itatugharimu sana.
Ujinga tangu lini ukawa na ukweli?

Ni kipi cha ukweli unachokifahamu juu ya ugonjwa huo ukieleze ili sote tukijue?
 
Salaamu Watanzania!

Duniani kote, habari kuu ni Wimbi la tatu la Corona, habari hizi zinaendana na mpango wa chanjo, mpango ambao unatumia matrioni ya fedha kufanikisha hili.

Tanzania nayo haikuachwa nyuma, licha kwamba, kipindi cha nyuma huko, mpango huu haukuwa na umhimu wowote zaidi ya kutumia njia mbadala, njia zisizo tambulika kisayansi, ndizo zilizotumika na zikatuvusha kwa kiasi katika mawimbi yote mawili ya maambukizi ya C - 19.

Sasa, basi, nipende kutumia jukwaa hili kumpongeza sana Mh Rais, Ester wa leo, Mtu jasiri, na kiongozi wa vita hivi, Mama Yetu Samia Suluhu.

Alipoingia tu, akaunda tume itakayokuja na majibu na vitu vya kufuatwa kama nchi, Tanzania ilishudia ile ripoti ya tume ile, mapendekezo yake yalisomwa na kila mtu alisikia.

Hivi majuzi, Mh Rais wetu alisema, Tanzania sasa, nayo inaungana na mataifa mbalimbali kuanza kutumia chanjo kwa raia wake ijapokuwa haitakuwa ni lazima. Ni hiari.

Lakini pia, kama masikio yangu yalisikia sawasawa, aligusia kusema, Miongoni mwa wafanyabiasha wengi na pengine viongozi mbalimbali wa serikali, walitumia mipaka yetu kwenda kupata chanjo katika nchi za jirani, ni jambo jema, kwa kuwa uhai wa mtu, huulinda yeye mwenyewe, hata mandiko yamedhihilisha hilo.

Mantiki yangu ni kwamba, Ikiwa ni kweli watu wengi wenye uwezo wamepata hizi chanjo, Lakini bado tunaona viongozi wetu wakifariki na hakusemwi ni kwa ugonjwa upi umewapata hadi wanapatwa na umauti ingawa si wote waliofariki, hasa hsa utata wa kiongozi aliyefarika majuzi, Ni dhahili kuwa, hatujataka kushughurika na huyu kirusi aina ya Corona.

Sisemi moja kwa moja kwamba, labda Ugonjwa wa Corona ndio unaowaondoa, ila mashaka yangu na ya wengi kuwa, huwenda ni mrusi huyu ndiye anayeondoa uhai wa viongozi wetu kwa sababu, mtu umekuwa mzima siku na usiku wote halafu asubuhi unazima tu ghafla, na unaposikia huko nje jinsi kirusi wa awamu ya tatu anavyopeleka wengi na kwa ghafla makaburini, inatutia wasiwasi sisi raia wa kawaida.

Na mashaka yangu sasa, kama viongozi wengi na wafanyabiashara wamepata chanjo, Kwa nini tena kuwepo na vifo vinavyotia mashaka Kwamba, Corona huwenda ndiye anahusika na vifo hivyo?

Natamani tuwe wakweli sana katika hili, ili itusaidie sisi kama Taifa, Kwani nafahamu, Wataalamu wetu, watafanya kazi zao ipasavyo, na mwisho wa siku tutapata mwafaka na kuvuka juu ya hilo.

Tukiwa wakweli kabisa, na tuakaacha kumlaumu mtu, tukabezi kutafuta suruhisho la hili janga, Ninahakika tutavuka na tutakuwa taifa la kipekee duniani.

Swali langu, Je viongozi wetu wanaofariki ki ghafula kiasi hiki, ni kwa magonjwa yepi, ni Corona au kawaida?

Tuweni wakweli tu, tutapona, Tuakapokuwa wakweli kuhusu vifo vya mamia na maelfu ya watu duniani kwamba, licha ya kuchajwa
bado corona inaweza kuuwa, ndipo tutakujanajua kwamba dunia imepoteza ta
Lol sikujua, ila umesema ukweli.
 
Salaamu Watanzania!

Duniani kote, habari kuu ni Wimbi la tatu la Corona, habari hizi zinaendana na mpango wa chanjo, mpango ambao unatumia matrioni ya fedha kufanikisha hili.

Tanzania nayo haikuachwa nyuma, licha kwamba, kipindi cha nyuma huko, mpango huu haukuwa na umhimu wowote zaidi ya kutumia njia mbadala, njia zisizo tambulika kisayansi, ndizo zilizotumika na zikatuvusha kwa kiasi katika mawimbi yote mawili ya maambukizi ya C - 19.

Sasa, basi, nipende kutumia jukwaa hili kumpongeza sana Mh Rais, Ester wa leo, Mtu jasiri, na kiongozi wa vita hivi, Mama Yetu Samia Suluhu.

Alipoingia tu, akaunda tume itakayokuja na majibu na vitu vya kufuatwa kama nchi, Tanzania ilishudia ile ripoti ya tume ile, mapendekezo yake yalisomwa na kila mtu alisikia.

Hivi majuzi, Mh Rais wetu alisema, Tanzania sasa, nayo inaungana na mataifa mbalimbali kuanza kutumia chanjo kwa raia wake ijapokuwa haitakuwa ni lazima. Ni hiari.

Lakini pia, kama masikio yangu yalisikia sawasawa, aligusia kusema, Miongoni mwa wafanyabiasha wengi na pengine viongozi mbalimbali wa serikali, walitumia mipaka yetu kwenda kupata chanjo katika nchi za jirani, ni jambo jema, kwa kuwa uhai wa mtu, huulinda yeye mwenyewe, hata mandiko yamedhihilisha hilo.

Mantiki yangu ni kwamba, Ikiwa ni kweli watu wengi wenye uwezo wamepata hizi chanjo, Lakini bado tunaona viongozi wetu wakifariki na hakusemwi ni kwa ugonjwa upi umewapata hadi wanapatwa na umauti ingawa si wote waliofariki, hasa hsa utata wa kiongozi aliyefarika majuzi, Ni dhahili kuwa, hatujataka kushughurika na huyu kirusi aina ya Corona.

Sisemi moja kwa moja kwamba, labda Ugonjwa wa Corona ndio unaowaondoa, ila mashaka yangu na ya wengi kuwa, huwenda ni mrusi huyu ndiye anayeondoa uhai wa viongozi wetu kwa sababu, mtu umekuwa mzima siku na usiku wote halafu asubuhi unazima tu ghafla, na unaposikia huko nje jinsi kirusi wa awamu ya tatu anavyopeleka wengi na kwa ghafla makaburini, inatutia wasiwasi sisi raia wa kawaida.

Na mashaka yangu sasa, kama viongozi wengi na wafanyabiashara wamepata chanjo, Kwa nini tena kuwepo na vifo vinavyotia mashaka Kwamba, Corona huwenda ndiye anahusika na vifo hivyo?

Natamani tuwe wakweli sana katika hili, ili itusaidie sisi kama Taifa, Kwani nafahamu, Wataalamu wetu, watafanya kazi zao ipasavyo, na mwisho wa siku tutapata mwafaka na kuvuka juu ya hilo.

Tukiwa wakweli kabisa, na tuakaacha kumlaumu mtu, tukabezi kutafuta suruhisho la hili janga, Ninahakika tutavuka na tutakuwa taifa la kipekee duniani.

Swali langu, Je viongozi wetu wanaofariki ki ghafula kiasi hiki, ni kwa magonjwa yepi, ni Corona au kawaida?

Tuweni wakweli tu, tutapona, Tuakapokuwa wakweli kuhusu vifo vya mamia na maelfu ya watu duniani kwamba, licha ya kuchajwa
bado corona inaweza kuuwa, ndipo tutakuja kugundua pia kwamba, hata hizo chanjo hazitusaidii zaidi sana tunaingia kwenye madeni mengine makubwa kama nchi yasiyokuwa ya lazima,

Na wakati huo, tutakuwa tumeruhusu sasa vichwa vyetu kuchangamka kutafuta ukweli wa hili na nini cha kufanya, ingawa sibezi chochote kwa sasa!

Mungu bariki Tanzania

Mungu bariki viongozi wetu na Watanzania wote

Nakupenda Tanzania

ukiendekeza sana siasa maisha hayasogei, do whats possible and necessary, sijui na sina uhakika nini kinatulinda sana tanzania but the environment seems good without lockdown japo waliokufa nnaowajua ni watu umri umeenda sana! cha msingi zaidi hii oportunity window itumie vizuri ikitokea sku matakwa yako yakajibiwa kwa lockdown moja nzito utaanza kuandika uzi mwingine tena wa athari za lockdown but itakua too late
 
Salaamu Watanzania!

Duniani kote, habari kuu ni Wimbi la tatu la Corona, habari hizi zinaendana na mpango wa chanjo, mpango ambao unatumia matrioni ya fedha kufanikisha hili.

Tanzania nayo haikuachwa nyuma, licha kwamba, kipindi cha nyuma huko, mpango huu haukuwa na umhimu wowote zaidi ya kutumia njia mbadala, njia zisizo tambulika kisayansi, ndizo zilizotumika na zikatuvusha kwa kiasi katika mawimbi yote mawili ya maambukizi ya C - 19.

Sasa, basi, nipende kutumia jukwaa hili kumpongeza sana Mh Rais, Ester wa leo, Mtu jasiri, na kiongozi wa vita hivi, Mama Yetu Samia Suluhu.

Alipoingia tu, akaunda tume itakayokuja na majibu na vitu vya kufuatwa kama nchi, Tanzania ilishudia ile ripoti ya tume ile, mapendekezo yake yalisomwa na kila mtu alisikia.

Hivi majuzi, Mh Rais wetu alisema, Tanzania sasa, nayo inaungana na mataifa mbalimbali kuanza kutumia chanjo kwa raia wake ijapokuwa haitakuwa ni lazima. Ni hiari.

Lakini pia, kama masikio yangu yalisikia sawasawa, aligusia kusema, Miongoni mwa wafanyabiasha wengi na pengine viongozi mbalimbali wa serikali, walitumia mipaka yetu kwenda kupata chanjo katika nchi za jirani, ni jambo jema, kwa kuwa uhai wa mtu, huulinda yeye mwenyewe, hata mandiko yamedhihilisha hilo.

Mantiki yangu ni kwamba, Ikiwa ni kweli watu wengi wenye uwezo wamepata hizi chanjo, Lakini bado tunaona viongozi wetu wakifariki na hakusemwi ni kwa ugonjwa upi umewapata hadi wanapatwa na umauti ingawa si wote waliofariki, hasa hsa utata wa kiongozi aliyefarika majuzi, Ni dhahili kuwa, hatujataka kushughurika na huyu kirusi aina ya Corona.

Sisemi moja kwa moja kwamba, labda Ugonjwa wa Corona ndio unaowaondoa, ila mashaka yangu na ya wengi kuwa, huwenda ni mrusi huyu ndiye anayeondoa uhai wa viongozi wetu kwa sababu, mtu umekuwa mzima siku na usiku wote halafu asubuhi unazima tu ghafla, na unaposikia huko nje jinsi kirusi wa awamu ya tatu anavyopeleka wengi na kwa ghafla makaburini, inatutia wasiwasi sisi raia wa kawaida.

Na mashaka yangu sasa, kama viongozi wengi na wafanyabiashara wamepata chanjo, Kwa nini tena kuwepo na vifo vinavyotia mashaka Kwamba, Corona huwenda ndiye anahusika na vifo hivyo?

Natamani tuwe wakweli sana katika hili, ili itusaidie sisi kama Taifa, Kwani nafahamu, Wataalamu wetu, watafanya kazi zao ipasavyo, na mwisho wa siku tutapata mwafaka na kuvuka juu ya hilo.

Tukiwa wakweli kabisa, na tuakaacha kumlaumu mtu, tukabezi kutafuta suruhisho la hili janga, Ninahakika tutavuka na tutakuwa taifa la kipekee duniani.

Swali langu, Je viongozi wetu wanaofariki ki ghafula kiasi hiki, ni kwa magonjwa yepi, ni Corona au kawaida?

Tuweni wakweli tu, tutapona, Tuakapokuwa wakweli kuhusu vifo vya mamia na maelfu ya watu duniani kwamba, licha ya kuchajwa
bado corona inaweza kuuwa, ndipo tutakuja kugundua pia kwamba, hata hizo chanjo hazitusaidii zaidi sana tunaingia kwenye madeni mengine makubwa kama nchi yasiyokuwa ya lazima,

Na wakati huo, tutakuwa tumeruhusu sasa vichwa vyetu kuchangamka kutafuta ukweli wa hili na nini cha kufanya, ingawa sibezi chochote kwa sasa!

Mungu bariki Tanzania

Mungu bariki viongozi wetu na Watanzania wote

Nakupenda Tanzania

Kwamba?

"Tanzania nayo haikuachwa nyuma, licha kwamba, kipindi cha nyuma huko, mpango huu haukuwa na umhimu wowote zaidi ya kutumia njia mbadala, njia zisizo tambulika kisayansi, ndizo zilizotumika na zikatuvusha kwa kiasi katika mawimbi yote mawili ya maambukizi ya C - 19."

Kumbe hata Jiwe alivuka mawimbi yote mawili kwa kutumia njia mbadala?
 
Corona corona corona Rwanda wametangaza lockdown nyingine na wanafunzi wameanza kurudishwa nyumbani.

Kumbuka Rwanda ni ya kwanza kabisa kuchanja watu wake.
Bila kusahau kwa M7 Tena alichanjwa hadharani kutia moyo watu wake,leo lockdown.
Mungu atasimama kwa ajili ya Watanzani,wakilazimisha matakwa yao watajutia maamuzi yao mpaka watakapoondoka duniani.
 
Mama alikuwepo uwanjani siku ya mechi ya simba na yanga kama kweli alikuwa siriasi na corona angeanza kwanza kudhibiti misongamano lakini kukimbilia chanjo bila kudhibiti misongamano ni kama kutaka kupata pesa za wafadhili
 
Back
Top Bottom