#COVID19 Tukiwa wakweli na wawazi kuhusu COVID-19, tutapona na kuwa taifa lenye kustaajabisha

#COVID19 Tukiwa wakweli na wawazi kuhusu COVID-19, tutapona na kuwa taifa lenye kustaajabisha

Kwamba?

"Tanzania nayo haikuachwa nyuma, licha kwamba, kipindi cha nyuma huko, mpango huu haukuwa na umhimu wowote zaidi ya kutumia njia mbadala, njia zisizo tambulika kisayansi, ndizo zilizotumika na zikatuvusha kwa kiasi katika mawimbi yote mawili ya maambukizi ya C - 19."

Kumbe hata Jiwe alivuka mawimbi yote mawili kwa kutumia njia mbadala?
Miongoni mwa maswali nilouliza ni pamoja na hili, Mashaka ya watu hata kama ni wachache, wengi walianza kuashumu ule ujio wa waziri mkuu wa china pengine kulipita chanjo kwa baadhi ya ... ..

Hoja yangu, ni kutaka kama Taifa tuwe kwenye sehemu ya kuusema ukweli bila kuuficha hata kama unaumiza na kufedhehesha, itatusaidia kufahamu endapo hata hizo chanzo tunazochanja je zinamlinda kweli mtu au ni bule tu

Sina uhakika wa viongozi waliochanjwa kwa sababu mimi si shahidi wa hayo, Lakini kwa hizo tu fununu na usemi wa mh Rais kwamba kuna watu ambao wamepata chanjo huku nje ya nchi
 
Miongoni mwa maswali nilouliza ni pamoja na hili, Mashaka ya watu hata kama ni wachache, wengi walianza kuashumu ule ujio wa waziri mkuu wa china pengine kulipita chanjo kwa baadhi ya ... ..

Hoja yangu, ni kutaka kama Taifa tuwe kwenye sehemu ya kuusema ukweli bila kuuficha hata kama unaumiza na kufedhehesha, itatusaidia kufahamu endapo hata hizo chanzo tunazochanja je zinamlinda kweli mtu au ni bule

Sina uhakika wa viongozi waliochanjwa kwa sababu mimi si shahidi wa hayo, Lakini kwa hizo tu fununu na usemi wa mh Rais kwamba kuna watu ambao wamepata chanjo huku nje ya nchi

Kwamba:

"... itatusaidia kufahamu endapo hata hizo chanzo tunazochanja je zinamlinda kweli mtu au ni bule tu"

Kwani wewe ni mtalaamu wa afya?

Unadhani hawa wanaosema:


Kwamba hivi sasa katika wagonjwa wote waliopo kuna kitu ambacho kinafanana:

"Yaani wote hawajachanjwa au hawajamaliza kupata chanjo kama inavyotakiwa."

Ila wewe unataka kufanya utafiti wako?

Hiiiiii bagosha!
 
Mada nyingine zinafanywa kuwa ndefu bila sababu.

Hili swali hapa, kwa mfano, nalo linahitaji majadiriano marefu? Pima na tangaza kilichowaua, au kilichochangia kufanya ugonjwa waliokuwa wakiishi nao hatimae kuwaua. Kwani hii nayo ni kazi ngumu?

Serikali inapokana, au kuficha uwepo wa ugonjwa, unadhani hilo linasaidia kukabiliana na ugonjwa na kuufahamu vyema ugonjwa ili uwezoe kupambana nao?

Sisi huku tunatumia ujinga, kupambana na ugonjwa mpya usiofahamika. Hao wanaofungua huko, angalau wamekwisha kuwa na ufahamu wa kutosha juu ya ugonjwa huo.

SAWA, huku kwetu watu wengi hawakupukutika harakaharaka, kama ilivyotokea kule, tunajua kwa nini ilikuwa hivyo, au mpaka tusubiri waje huku kutafuta jibu ambalo sisi ndio tungewafundisha sababu ya kinga zetu!

Tunajisifu kwa ujinga wetu na kuanza kuweka 'conspiracy theories' za kijinga vilevil
Mjinga Ni ww!Unaeamini wazungu Wana akili kuzidi ww!
 
Mjinga Ni ww!Unaeamini wazungu Wana akili kuzidi ww!
Ni wapi nilipoandika hivyo.
Hilo peke yake linakuonyesha ulivyo mtupu kichwani, halafu nawe unakuja hapa kubandika takataka watu wazisome!
 
Hata maana ya huo msemo huujui, kwa maana unakuhusu sana mtu kama wewe!

Huoni aibu hata chembe ndogo tu ya ujinga unaotafuta kuueneza hapa kwa bandiko lako?
Kilichokuleta kwenye huu uzi wa kijinga ni ujinga wakooo ama??

Nikushauri, anzisha na wewe uzi wako pumbavu wewe
 
Kilichokuleta kwenye huu uzi wa kijinga ni ujinga wakooo ama??

Nikushauri, anzisha na wewe uzi wako pumbavu wewe
EeeenHeee, kumbe unaanzisha 'uzi' kuonyesha upumbavu wako?

Uwe unaweka na 'lebo' kabisa tusiotaka ujinga tusipoteze muda.
 
Hatutaingia barabarani kwa sababu ya katiba, wala haitatokea, lakini njaa itatupeleka barabarani. A hungry man is an angry man. Jaribuni tu mtangaze hiyo lockdown. Labda kama mtagawa chakula kila nyumba.
 
Corona corona corona Rwanda wametangaza lockdown nyingine na wanafunzi wameanza kurudishwa nyumbani.
Ili kupata fedha za msaada wa korona lazima kuwe na kufungia watu, kutangaza takwimu za juu za maambukizi, kutangaza upungufu wa mitungi ya gesi kama kule Bugando, kuzika majeneza tupu, n.k
 
Corona corona corona Rwanda wametangaza lockdown nyingine na wanafunzi wameanza kurudishwa nyumbani.

Kumbuka Rwanda ni ya kwanza kabisa kuchanja watu wake.
Kwa hiyo;unasemaje?
Watu wasichanje kwa vile Rwanda wanatangaza lockdown?

Unajuwa yote yanayotokea huko Rwanda? Utafiti huo uliufanya lini?

Dunia ifuate usemayo wewe, kwa mising ipi?
 
Ili kupata fedha za msaada wa korona lazima kuwe na kufungia watu, kutangaza takwimu za juu za maambukizi, kutangaza upungufu wa mitungi ya gesi kama kule Bugando, kuzika majeneza tupu, n.k

Kwa hakika bado tuna safari ndefu. Unaonaje tathmini huru hii:

IMG_20210706_211331_804.jpg


Pia ushauri huu kuhusiana na kadhia hii:

IMG_20210707_031423_318.jpg


Yote hii tokea:

 
Nampongeza mh Mbowe kwa kutangaza juu ya kifo cha kaka yake kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Korona, Ningetamani pia kusikia, licha ya kupata chanjo, lakini mtu anaweza kuambukizwa tena corona na akafariki, ili sasa Kama taifa na wasomi wetu wafanye utafiti wa kweli na kisha waje na majibu juu ya hili, nautamani huo uwazi na ukweli ili ijulikane kwamba, huo ugonjwa, ni aidher Mungu asimame ama miti shamba yetu ndio angalau inatusaidia
 
Back
Top Bottom