Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Haijalishi wewe ni msalaba, nyota na mwezi, au unaamini katika manyoya ya kuku, etc
How sure are you kwamba unachoamini ndicho cha ukweli na uhalisia.
Kisa ulikipokea kwa baba yako mpendwa, ukafundwa na mwalimu wako wa kiroho na kukumbushwa kuhuzulia kila siku na mama yako mpendwa.
Kwa fikra pevu ipi iliokupa uhakika kuwa unaemuamini kweli alitumwa na Mungu.
Wewe ni mihemuko unatumia, huruma ya kutengenezewa kisa anaepewa kichapo ni wa itikadi yako, ila umekataa kutafuta ukweli.
Kwa hio kwa mantiki hii niache kwa uhuru wangu wa kuamini kama vile unavyojipa uhuru kuamini unachoamini.
Archaeology imefanyika na kubainisha, trace imefanyika na kubainisha, hata kwenye vitabu vyenu vya kiroho vimeandika, nchi zenu za itikadi kali zimeandika historia namna zilivyovamia wayahudi (mamluk, wakina saladin, ottoman)...... Lakini hivi vyote mnavifungia macho.
Enjoy your miserable lives, kichapo mtaendelea kupewa
How sure are you kwamba unachoamini ndicho cha ukweli na uhalisia.
Kisa ulikipokea kwa baba yako mpendwa, ukafundwa na mwalimu wako wa kiroho na kukumbushwa kuhuzulia kila siku na mama yako mpendwa.
Kwa fikra pevu ipi iliokupa uhakika kuwa unaemuamini kweli alitumwa na Mungu.
Wewe ni mihemuko unatumia, huruma ya kutengenezewa kisa anaepewa kichapo ni wa itikadi yako, ila umekataa kutafuta ukweli.
Kwa hio kwa mantiki hii niache kwa uhuru wangu wa kuamini kama vile unavyojipa uhuru kuamini unachoamini.
Archaeology imefanyika na kubainisha, trace imefanyika na kubainisha, hata kwenye vitabu vyenu vya kiroho vimeandika, nchi zenu za itikadi kali zimeandika historia namna zilivyovamia wayahudi (mamluk, wakina saladin, ottoman)...... Lakini hivi vyote mnavifungia macho.
Enjoy your miserable lives, kichapo mtaendelea kupewa