Tukiweza kutenganisha Serikali na Chama ndipo Nchi itakaa sawa na mambo ya hovyo ikiwemo mauaji yatakoma

Tukiweza kutenganisha Serikali na Chama ndipo Nchi itakaa sawa na mambo ya hovyo ikiwemo mauaji yatakoma

Marekani nakukatalia,hata ufaransa,kwingine sijafuatilia sana,marekani angalia habari ya kesi za Trump ni zakisiasa 100% tena siasa yenyewe ina mkono hata wa Ulaya wa kile wanachokiita NATO,wafaransa angalia habari ya tangu uchaguzi wao wa karibuni na kinachoendelea,wengine kama wajerumani wanaenda kwa tahadhari hata sasa ila bado mambo sii shwari kwao.
Kesi ipi ya Trump ni ya kisiasa?
Kwa nini Biden Rais aliye madarakani kajitoa kugombea urais wa Marekani?
Nini kinaendelea Ufaransa?
Mambo yapi sio shwari kwa Ujerumani?
 
Kesi ipi ya Trump ni ya kisiasa?
Kwa nini Biden kajitoa kugombea urais wa Marekani?
Nini kinaendelea Ufaransa?
Mambo yapi sio shwari kwa Ujerumani?
Zoooteeeee kabisa
 
Umeongea kitu cha maana. Pia Raisi asiwe mwenyekiti wa chama anachotoka. Kuwe na Mwenyekiti wa chama. Atakayetaka kugombea Uraisi awe mwanachama wa kawaida.
Raisi awe na mambo ya Serikali, mwenyekiti adeal na mambo ya chama.
 
Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.

Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.

Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.

Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!

Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.

Wenye akili watanielewa

Lord Denning!
Leo una akili timamu
 
Hivi kuitenganisha chadema na mbowe inawezekana kweli?
Nauliza swali tu jamani!
 
Serikali na chama vimeungana leo?.. palikua na utekaji na mauaji huko nyuma!?..kwanza kutenganisha hivyo viwili unamaanisha nini?
Kwa akili zako ndogo huwezi elewa mada iliyokuzidi uwezo hii.
 
Kesi ipi ya Trump ni ya kisiasa?
Kwa nini Biden Rais aliye madarakani kajitoa kugombea urais wa Marekani?
Nini kinaendelea Ufaransa?
Mambo yapi sio shwari kwa Ujerumani?
Mwambie hadi Biden ni Rais ila mtoto wake yuko Mahakamani ameshtakiwa. Marekani sio mapunguani kama sisi
 
Unawezaje kutenganisha chama chenye nchi na nchi

USSR
Ndo maana hata chama kinashindwa kumuwajibisha Mwanachama wake ambaye ni Rais pale anapo enenda kinyume za katiba ya Nchi. Maana anakuwa malaika ndani ya chama..hakuna wa kumgusq.
 
Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.

Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.

Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.

Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!

Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.

Wenye akili watanielewa

Lord Denning!
Naunga mkono 200%.
 
Umeongea kitu cha maana. Pia Raisi asiwe mwenyekiti wa chama anachotoka. Kuwe na Mwenyekiti wa chama. Atakayetaka kugombea Uraisi awe mwanachama wa kawaida.
Raisi awe na mambo ya Serikali, mwenyekiti adeal na mambo ya chama.
Hata akiwa mwenyekiti mambo ya chama yawekwe kando kwenye mambo ya Serikali.

Hawa watu wanapata kibuli cha kufanya huu udhalimu kwa sababu mfumo iliwaweka kuwa sehemu ya Serikali tangu kipindi cha chama kimoja.

Wakitenganishwa na Serikali watajua kuwa wao ni chama tu na mipaka yao inaishia kwenye chama chao tu!
 
Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.

Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.

Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.

Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!

Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.

Wenye akili watanielewa

Lord Denning!
KATIBA MPYA KATIBA MPYA.
SAMIA MALIZA SUALA LA KATIBA MPYA.
 
Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.

Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.

Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.

Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!

Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.

Wenye akili watanielewa

Lord Denning!
Nowadays unatema madini sana,

Kuna kitu kimekuudhi ndani ya mfumo,

Hongera Kwa kuwa mkweli japo Kuna gharama zake!!
 
Back
Top Bottom