Kesi ipi ya Trump ni ya kisiasa?Marekani nakukatalia,hata ufaransa,kwingine sijafuatilia sana,marekani angalia habari ya kesi za Trump ni zakisiasa 100% tena siasa yenyewe ina mkono hata wa Ulaya wa kile wanachokiita NATO,wafaransa angalia habari ya tangu uchaguzi wao wa karibuni na kinachoendelea,wengine kama wajerumani wanaenda kwa tahadhari hata sasa ila bado mambo sii shwari kwao.
Zoooteeeee kabisaKesi ipi ya Trump ni ya kisiasa?
Kwa nini Biden kajitoa kugombea urais wa Marekani?
Nini kinaendelea Ufaransa?
Mambo yapi sio shwari kwa Ujerumani?
Weka mfano wa kesi mojawapoZoooteeeee kabisa
Leo una akili timamuTuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.
Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.
Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.
Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!
Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.
Wenye akili watanielewa
Lord Denning!
Ujinga tu wa sisi watanzania kutenganisha ingewezekana kabisaUnawezaje kutenganisha chama chenye nchi na nchi
USSR
Kwa akili zako ndogo huwezi elewa mada iliyokuzidi uwezo hii.Serikali na chama vimeungana leo?.. palikua na utekaji na mauaji huko nyuma!?..kwanza kutenganisha hivyo viwili unamaanisha nini?
Mwambie hadi Biden ni Rais ila mtoto wake yuko Mahakamani ameshtakiwa. Marekani sio mapunguani kama sisiKesi ipi ya Trump ni ya kisiasa?
Kwa nini Biden Rais aliye madarakani kajitoa kugombea urais wa Marekani?
Nini kinaendelea Ufaransa?
Mambo yapi sio shwari kwa Ujerumani?
Sahihi kabisa.Kitengo dawati la siasa liondolewe kwenye vyombo vya dola
Ndo maana hata chama kinashindwa kumuwajibisha Mwanachama wake ambaye ni Rais pale anapo enenda kinyume za katiba ya Nchi. Maana anakuwa malaika ndani ya chama..hakuna wa kumgusq.Unawezaje kutenganisha chama chenye nchi na nchi
USSR
Naunga mkono 200%.Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.
Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.
Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.
Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!
Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.
Wenye akili watanielewa
Lord Denning!
Mmeng'ang'ana akili ndogo akili ndogo,hamna neno jingine?..jibuni hojaKwa akili zako ndogo huwezi elewa mada iliyokuzidi uwezo hii.
Hata akiwa mwenyekiti mambo ya chama yawekwe kando kwenye mambo ya Serikali.Umeongea kitu cha maana. Pia Raisi asiwe mwenyekiti wa chama anachotoka. Kuwe na Mwenyekiti wa chama. Atakayetaka kugombea Uraisi awe mwanachama wa kawaida.
Raisi awe na mambo ya Serikali, mwenyekiti adeal na mambo ya chama.
Sasa huo si ndo ukweli?? Hii ni akili ndogoMmeng'ang'ana akili ndogo akili ndogo,hamna neno jingine?..jibuni hoja
ππππHawawezi kukuelewa. What we need is overhaul of the whole system through Katiba Mpya
KATIBA MPYA KATIBA MPYA.Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.
Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.
Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.
Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!
Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.
Wenye akili watanielewa
Lord Denning!
Nowadays unatema madini sana,Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.
Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.
Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.
Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!
Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.
Wenye akili watanielewa
Lord Denning!