hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Pole sana ila usijali mimi hadi watoto walikua wanalia mama tunaenda kulala na baba. Maana waliona kabisa nilivyokua mpweke. Ondoka kabla hujaleta msiba mwingine best.
Nashukuru sasa niko single naenjoy
Ila humu Kuna visa , kwahiyo mzee ulikuwa unatengwa na wife,, aahhh kmmk ndoa zitakuja kuwatoa Roho