Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

Pole sana ila usijali mimi hadi watoto walikua wanalia mama tunaenda kulala na baba. Maana waliona kabisa nilivyokua mpweke. Ondoka kabla hujaleta msiba mwingine best.

Nashukuru sasa niko single naenjoy
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Ila humu Kuna visa , kwahiyo mzee ulikuwa unatengwa na wife,, aahhh kmmk ndoa zitakuja kuwatoa Roho
 
Kwa familia zetu za kiswahili usikute hao kina binamu walikuwaga wanamtomba zamani na ndio walimtoa bikra zote ndio maana anawajali kuliko wewe[emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] God forbid
 
Tafuta hela mkuu.
 
Kwani haunywi "divai"?Achana na kutaka kubembelezwa na wife msibani.Kama una hela nenda ukapige gambe.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…