[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Pole sana ila usijali mimi hadi watoto walikua wanalia mama tunaenda kulala na baba. Maana waliona kabisa nilivyokua mpweke. Ondoka kabla hujaleta msiba mwingine best.
Nashukuru sasa niko single naenjoy
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Yaani Wana tuvunja mioyo kabisaMkuu Hizi Nyuzi Mnazoleta Watu Mliooa Zinachekesha Sana.
Nimecheka Sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Nauli yenyewe hana anataka adandie Lori [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vumilia tu hizi comments za humu ndio jf ilivyo , but Kuna ya kujifunza piaSana tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Nimeoga mtoni leo mkuu, sijala mpaka sasa hivi.usafiri upo ila sina nauli mkuu,jamaa niliyemkopesha hajanilipa.
Hongera Sana [emoji1][emoji1][emoji1]Tumezika salama,nishadandia ndinga narudi town
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] God forbidKwa familia zetu za kiswahili usikute hao kina binamu walikuwaga wanamtomba zamani na ndio walimtoa bikra zote ndio maana anawajali kuliko wewe[emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]JF ikindelea na comment za namna hii Kuna siku tutamkuta mtu kajinyonga kwenye kikengere Cha notification hapo juu
Tafuta hela mkuu.Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.
Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Dah 😁😁Kwa familia zetu za kiswahili usikute hao kina binamu walikuwaga wanamtomba zamani na ndio walimtoa bikra zote ndio maana anawajali kuliko wewe[emoji1787]
angefyeka fyeka majani hapo ukweniMmeanza, [emoji1][emoji1][emoji1]
Halafu mwamba kakaa siku 3 Hana Kazi za kufanya eti !?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] DahWatu wana changa michango heavy msibani we unaenda mikono mitupu...mwaga crate 10 za beer hapo na carton 30 - 50 za maji alaf usiseme neno uone.....kama bado msiba una watu wengi agiza kiroba cha sukari na mchele. Wek ndani kwa mkwe hapo....usiongee lolote.
Mangi aje bana wewe. Kwetu uchaggani haya mambo hatuulizwi. Tunatenda Tu [emoji16]
Vyote hivyo haizidi 600K na haiumizi chochote cz ni kama umempa mkeo. Weka Heshima Hapo Acha Uzembe.