makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Pele alifunga goli mbili ambazo kutokana na uhaba wa teknolojia hazikuwa kurekodiwa kuna hilo vs juve ambapo aliwapiga vidali mabeki 2/3 hiv na kipa nae akala kidali mwanaume akatupia kambaniNdiye mchezaji aliefunga bao bora kuwahi kitokea duniani santos vs juventus
Hapo red goal of century alifunga Diego Maradona. Nusu fainal kombe la dunia 1986 kule mexico dhidi ya chamdomo England. Alipiga chenga mabeki wa5 kabla ya kumrudia beki mwingine na kumfunga Peter Shilton
Fifa wanamtaja kama mchezaji bora kuwahi kuonekana duniani mpaka leo
Sio kweli. Tuzo ya mchezaji bora wa karne alipewa na wapenzi wa soka duniani na kukabidhiwa na fifa wakimshirikisha Pele ambaye alishindanishwa na kubwagwa na Maradona.
na kuna jinginr linaitwa gol de la placa hilo hata maradona hakufunga lisake hilo, aliwala vyenga karibia timu pinzani yote.. Inasemekana ndio goli bora kufungwa katika nyasi za maracana.
Kutokana na uhaba wa teknolojia matukio ya pele yaliyowahi kirekodiwa ni 30% tu ya mabalaa yake yote uwanjani