Tukubali au tukatae kwenye hii sayari ya Dunia katika nyanja ya Soka hakuna kama Pele wa Brazil

Acha maneno weka data za messi na maradona hapa tuone
 
Hana jipya Pele. Alikuwa anavizia
Kama humjui pele si unyamaze tu
Kama unaambiwa nenda youtube ukamtazame hutaki tukusaidie nini sasa
Utachekwa bure ukisema pele ni mviziaji yaani unaonekana kilaza kabisa
 
Cwezi kuwa kilaza kwa kutomkubali Pele. Kaka jifunze kupokea mtazamo tofauti, usinilazimishe Mawazo yako niyapende. Pele anabebwa tu
 
Ina maana kusoma kwako kote umeona magoli tu hapo
Ingia YouTube kisha urudi hapa

Pele nimemcheki youtube maradona nimemcheki youtube. Maradona kamzidi mbali sana Pele labda kwa magoli tu, kuhusu makombe ile ilikuwa ni teamwork ukilinganisha argentina ya kipindi hicho Maradona ndie alikuwa jeshi la mtu mmoja. Ukija kwa King Messi bado sijaona wa kufananishwa nae kwa kila kitu.
 
Cwezi kuwa kilaza kwa kutomkubali Pele. Kaka jifunze kupokea mtazamo tofauti, usinilazimishe Mawazo yako niyapende. Pele anabebwa tu

Umeona mkuu. Jamaa tatizo lake analazimisha wadau wamkubali kutokana na chuki zake dhidi ya Messi ambae hana mpinzani mpaka now. Hilo analijua sana except ataendelea kubisha tu πŸ˜€πŸ˜€ watu wa hivi huwa hawakosekani tushawazoea
 
Maradona tena
Duh mara messi mara maradona
Which is which
 
Umeona mkuu. Jamaa tatizo lake analazimisha wadau wamkubali kutokana na chuki zake dhidi ya Messi ambae hana mpinzani mpaka now. Hilo analijua sana except ataendelea kubisha tu πŸ˜€πŸ˜€ watu wa hivi huwa hawakosekani tushawazoea
Messi namkubali sana na lazima ujue mimi ni shabiki wa messi damu ila kwa pele nitakuwa mkweli messi amejaribu kuiga kwa pele ila bado sana
 
Unakijua kikosi alichocheza nacho maradona fainali za 1986
 
Messi namkubali sana na lazima ujue mimi ni shabiki wa messi damu ila kwa pele nitakuwa mkweli messi amejaribu kuiga kwa pele ila bado sana

Kitu gani King ameiga akashindwa??? Wewe ulimshuhudia pele?? Mimi nimemcheki youtube sijaona cha ajabu, kwanza mabeki wenyewe aliokuwa anakutananao yani utacheka πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ wazee alafu hawamfuati kumkaba. Kuwa mkweli mkuu. Messi ataendelea kuwa juu mtake mctake.
 
Wafalme asili ni wawili tu nijuavyo.

King Messi huyu ndiye asilia
King Diego
 
Edson Erantes do Nacimento Pelle kwa faida ya wasiojua jina lake kamili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…