Tukubali au tukatae, wake zetu huliwa nje ya ndoa

Tukubali au tukatae, wake zetu huliwa nje ya ndoa

Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wake zetu wanaliwa nje ya ndoa. Hii tukubali au tukatae, ni ukweli usiopingika. Wake zetu ama watatembea nje ya ndoa kwa kutaka kuonja utamu wa nje, ama ni kwa kutafuta watoto, ama kwa ajili ya kupata pesa, ama kwa tabia zao tu za umalaya.

Wengine ni kwa kushawishiwa na marafiki zao jinsi wanavyoelezea ngono za staili mpya mpya, wengine ni kwa ajili ya magomvi na waume zao, wengine huliwa na viongozi wa dini, zipo sababu ambazo sisinwamaume tunasababisha,tunachangia na zingine ni kwa ukware wa wake zetu,al mradi sababu ni nyingi mno.

Wake zetu wanaliwa sana, tena sana hasa sisi ambao hujigamba kuwa tuna wake wenye heshima ndio hao hao wanaliwa kwa mpalange. Basi busara tukae kimya, tuache kujigamba kwamba wake zetu ni waaminifu, sio kweli.



Sent using Jamii Forums mobile app


"Sema mke wangu analiwa" - Wangu aliwi.
 
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wake zetu wanaliwa nje ya ndoa. Hii tukubali au tukatae, ni ukweli usiopingika. Wake zetu ama watatembea nje ya ndoa kwa kutaka kuonja utamu wa nje, ama ni kwa kutafuta watoto, ama kwa ajili ya kupata pesa, ama kwa tabia zao tu za umalaya.

Wengine ni kwa kushawishiwa na marafiki zao jinsi wanavyoelezea ngono za staili mpya mpya, wengine ni kwa ajili ya magomvi na waume zao, wengine huliwa na viongozi wa dini, zipo sababu ambazo sisi wanaume tunasababisha, tunachangia na zingine ni kwa ukware wa wake zetu, al mradi sababu ni nyingi mno.

Wake zetu wanaliwa sana, tena sana hasa sisi ambao hujigamba kuwa tuna wake wenye heshima ndio hao hao wanaliwa kwa mpalange. Basi busara tukae kimya, tuache kujigamba kwamba wake zetu ni waaminifu, sio kweli.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ushapigiwa kenge wewe
 
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wake zetu wanaliwa nje ya ndoa. Hii tukubali au tukatae, ni ukweli usiopingika. Wake zetu ama watatembea nje ya ndoa kwa kutaka kuonja utamu wa nje, ama ni kwa kutafuta watoto, ama kwa ajili ya kupata pesa, ama kwa tabia zao tu za umalaya.

Wengine ni kwa kushawishiwa na marafiki zao jinsi wanavyoelezea ngono za staili mpya mpya, wengine ni kwa ajili ya magomvi na waume zao, wengine huliwa na viongozi wa dini, zipo sababu ambazo sisi wanaume tunasababisha, tunachangia na zingine ni kwa ukware wa wake zetu, al mradi sababu ni nyingi mno.

Wake zetu wanaliwa sana, tena sana hasa sisi ambao hujigamba kuwa tuna wake wenye heshima ndio hao hao wanaliwa kwa mpalange. Basi busara tukae kimya, tuache kujigamba kwamba wake zetu ni waaminifu, sio kweli.



Sent using Jamii Forums mobile app
KANUNI NI MOJA,
KAMA ULIMKUTA KATUMIKA, BASI JUA ATAENDELA KUTUMIKA.
NA KWA NAMNA HII HII
WENGI WAMEOA WAKE ZA WENZAO.
 
Kizuri kula na nduguyo,hainaga makombo mhimu isafishwe tu baada ya matumizi,
Ni sawa na sahani ya mama ntilie inatumika na kila mtu ni ila baada ya matumizi inasafishwa na wewe unatumia,
Hutaki kula na nduguyo ila ukiona cha nduguyo unataka ule na ukipewa unakula kweli!!
Acha ujinga na ubinafsi kizuri kula na nduguyo
 
Kamwe usijidanganye kuwa mkeo apigwi nje. Akili yako ijue hivyo itakusaidia. La sivyo utaua ama kujiua
 
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wake zetu wanaliwa nje ya ndoa. Hii tukubali au tukatae, ni ukweli usiopingika. Wake zetu ama watatembea nje ya ndoa kwa kutaka kuonja utamu wa nje, ama ni kwa kutafuta watoto, ama kwa ajili ya kupata pesa, ama kwa tabia zao tu za umalaya.

Wengine ni kwa kushawishiwa na marafiki zao jinsi wanavyoelezea ngono za staili mpya mpya, wengine ni kwa ajili ya magomvi na waume zao, wengine huliwa na viongozi wa dini, zipo sababu ambazo sisi wanaume tunasababisha, tunachangia na zingine ni kwa ukware wa wake zetu, al mradi sababu ni nyingi mno.

Wake zetu wanaliwa sana, tena sana hasa sisi ambao hujigamba kuwa tuna wake wenye heshima ndio hao hao wanaliwa kwa mpalange. Basi busara tukae kimya, tuache kujigamba kwamba wake zetu ni waaminifu, sio kweli.



Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh...aisee umenikumbusha juzi nili take risk moja mbaya sana na kama UKIMWI ningeukwaa siku hiyo kwa uzembe wangu.

December mwishoni 2023 nilisafiri kwenda mkoani (mkoa X) kwa ajili ya sikukuu na kuwaona wazee.

Kwa sababu ni mbali na Dar, hivyo nilitumia masaa kama 15 hivi kufika huko, nikawa nimefika kama saa mbili hivi usiku na nikaamua kufikia lodge.

Hiyo lodge imepewa jina la YERUSALEM na nilivyo ulizia kwanini imepewa hilo jina, nikaambiwa mmiliki wake ni mcha Mungu sana na hataki mambo ya "show time" yeye huwa analaza wageni wanao safiri tu.

Basi bhan yule mhudumu alikuwa wa kike akanipokea vizuri akabeba mabegi yangu na kunikabidhi chumba.

Kabla hajaondoka akanambia "pole sana na safari na ingekuwa vizuri kama ningekupa huge ili utoe uchovu wa safari"

Nikamwambia hamna shida ni huge tu, aisee yule mhudumu badala ya kuni-huge si akananikumbatia mazima tena kwa kunibana (kwa nguvu), nikajifanya kama naanguka kitandani na yeye akaangukia juu yangu.

Badae akanambia ngoja kwanza nifunge mlango, akabana mlango lock akaja then ghafla nikaona anavua nguo.

Aisee sikujiuliza mara mbili mbili na mimi nikatupa suruali kule nikamfua yule mhudumu kimoja cha chap tena peku peku.

Then akanambia kaoge kwanza nije nikumalizie kukutoa uchovu vizuri kabla sijaenda nyumbani.

Aisee nilienda kuoga alafu ndo akili zikanirudia na kujiambia kimoyo moyo "hivi kumbe ndiyo watu wanapataga ukimwi kirahisi hivo, yaani mtu simjui hanijui alafu ananipa peku peku".

Wakati nawaza hivo saa tatu hivi nikaskia mlango unagongwa (kumbe ni mwenyewe mhudumu).

Nikafungua tu kanirukia mara maro-mance nikamfua tena cha pili peku peku hivo hivo (sema nilitumia mda sana mpaka akaanza kunambia humalizi tu wateja wataanza kuniita😆😆😆) maana nilitumia kama more than 40 minutes hivi.

Mambo yakaisha akanambia saa nne mimi naondoka kwenda kwangu, nikamwambia si tulale tu hapa na mimi.

Akajibu "Nimeolewa nna mume na watoto watatu" aisee yule muhudumu aliniacha katika hali ya mshangao sana.

Then hakuniomba hata hela japo zilikuwepo japo mezani anaziona kwenye wallet, akaondoka hivi hivi.

Sema asubuhi mi mwenyewe niliona aibu alivyokuja kazini nikachukua 20,000/= nikampa maana niliona amenifanyia wema japo kwa risk.

Badae nilikuja kumuuliza hivi huogopi hata ukimwi umenipa peku peku na hatujuani ndo mara ya kwanza tunaonana.

Akanjibu kifupi kwamba "nilivyokuona tu kabla hata sijakuongelesha nilikuamini.

Then ni mkubwa kwangu kidogo mimi nna 29 years age na yeye ana miaka 35 years age.

Kwa hiyo hawa wake za watu sometime wanaliwa tu bila hata sababu za msingi, mfano : sikuona sababu ya msingi ya huyu mwanamke kunipa K, maana issue haikuwa pesa wala nini ni yeye tu kaamua kunipa bure na wala sikumtongoza.
 
Back
Top Bottom