Tukubali au tukatae, wake zetu huliwa nje ya ndoa

Alikuwa na nyege. Nyege mbaya sana zikishazidi. Unaweza fanya ngono msikitini au kanisani.
 
laabek
 
Kama mnataka hali itulie kidogo jueni mnafanyaje sisi ambao tumegoma kuoa tuoe maana wakati ninyi mnachakaa na majukumu sisi tupo Gym, Saloon na kujiboresha kiuchumi na kiafya sasa mnategemea wake zenu wakikutana na watu kama hao wataacha kuwacheat kweli!!!?
 
pole mkuu, ila kugongewa ni tangu zamani, na mara nyingi sababu za wanawake kuchepuka hazielewekagi... hata wazee wa zamani walisema "kuchapiwa ni siri ya ndani"
 
pole mkuu, ila kugongewa ni tangu zamani, na mara nyingi sababu za wanawake kuchepuka hazielewekagi... hata wazee wa zamani walisema "kuchapiwa ni siri ya ndani"
Na ndio sababu wazee wa zamani kabla hajaingia ndani anatangulia kwanza kujiongelesha huko nje weeeee, atajiimbisha nyimbo weeeee, kwa dakika kadhaa, mpaka huko ndani kwake wajue mwenye nyumba kafika, ndipo anaingia ndani. Sababu ilikuwa ni kwamba, kama kuna jamaa anajimwambafai huko ndani apate muda wa kusepa kabla mambo hayajawa mambo. Sisi wa leo ndio kwanza tunapanga mafumanizi, mwisho tunaishia kufa ama kuua wenza wetu. Sio kwamba walikuwa wajinga, walikuwa wanaepusha baadhi ya mambo.
 
Wake za watu a.k.a wake zetu wengi wao hutoka nje ya ndoa kwa sababu ya sisi wanaume na wachache hutoka sababu ni malaya sugu
 
Usioe kama huna ujasiri wa kukabiliana na kuchapiwa mke.
 
Kuwa makini na mchicha mzuri uliostawi jalalani ... Angalia na nyumba unayokwenda , mama na dada zake wanatabia gani .. tafuta bodaboda wa huo mtaa anakupa A-Z kabla ya kwenda Rasmi
Haina formula hiyo
 
Cheat on her first before she cheats on you,hii itakupunguzia gender based violence utakapogundua mkeo analiwa nje. usisamehe muache aende tu😉.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…