Wakati kuna madaktari wa marekani wanapinga chanjo,,Tatizo ushauri huu inatakiwa uwafikie watoa maamuzi.
Eti chanjo sio salama! wewe nchi yako imetengeneza chanjo ipi? na umefanya tafiti gani kujua kwamba chanjo sio salama?Wakati kuna madaktari wa marekani wanapinga chanjo,,
Wewe usiyena taaluma zozote za udaktari unapiga chapuo chanjo..
Chanjo bado sio salama .
Mark my words
Mkuu,,fuatilia utakuja kugunduwa..Eti chanjo sio salama! wewe nchi yako imetengeneza chanjo ipi? na umefanya tafiti gani kujua kwamba chanjo sio salama?
Mkuu katika ulimwengu wa tafiti kuna msemo unasema "tafiti inapingwa kwa tafiti"!Mkuu,,fuatilia utakuja kugunduwa..
Huko marekani kuna video inazunguka mitandaoni
Kueleza nguvu kubwa inayotumika kulazimisha watu kuchanja chanjo.
Kuna jopo la madaktari linapinga hizo chanjo..
Wanasema ni makampuni ya kibiashara ndy yana mipango hyo kama ilivyokuwa barakoa.
Tena chanjo zinakufanya uwe tasa au dushe lisisimame kabisa.
Sasa wewe chanja hyo chanjo mabaharia tuje turuke na mkeo.
Mabaharia tutaruka hadi ukuta ,,tena bila vilainishi.***
Mtu usiye na taaluma hata ya kutengeneza pipi ya kijiti,,
Unapingana na jopo la madaktari,,linaloeneza habari za hatari ya chanjo ya corona.
Wewe umefanya tafiti na kuthibitisha kwamba hizo chanjo ni salama?Mkuu katika ulimwengu wa tafiti kuna msemo unasema "tafiti inapingwa kwa tafiti"!
Mimi nikauliza tena kwa wema kabisa, JE UNASEMA CHANJO SIO SALAMA UMEFANYA TAFITI ILI UJUE SIO SALAMA?
Mbona ni swali rahisi sana mkuu?!
Sasa badala ya kujibu umekuja na maneno yasiyo na kichwa wala miguu!
Utafiti wangu hauhitaji hata uwe na digree kichwani.Mkuu katika ulimwengu wa tafiti kuna msemo unasema "tafiti inapingwa kwa tafiti"!
Mimi nikauliza tena kwa wema kabisa, JE UNASEMA CHANJO SIO SALAMA UMEFANYA TAFITI ILI UJUE SIO SALAMA?
Mbona ni swali rahisi sana mkuu?!
Sasa badala ya kujibu umekuja na maneno yasiyo na kichwa wala miguu!
Mkuu ukiona video ya madaktari wa kimarekani,,Nitakuwa wa mwisho kukubali chanjo... Nitachukua tahadhari zote kuhusu huu ugonjwa... LAKINI SIO CHANJO
Acha waendelee kuchoma tu binafsi mm na familia yangu ni marufuku kuchoma chanjo yyte ile...!!!?Wakati kuna madaktari wa marekani wanapinga chanjo,,
Wewe usiyena taaluma zozote za udaktari unapiga chapuo chanjo..
Chanjo bado sio salama .
Mark my words
Mkuu ni hatari tupu ,,Acha waendelee kuchoma tu binafsi mm na familia yangu ni marufuku kuchoma chanjo yyte ile...!!!?
Wabongo bana,hizi takataka mnazitoaga wapi?Mkuu ni hatari tupu ,,
Chanjo inatia utasa,,
Pia ukichanja ukiwa na magonjwa mengine ni safari ya paradiso
mwandende una uhakika lakini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu ni hatari tupu ,,
Chanjo inatia utasa,,
Pia ukichanja ukiwa na magonjwa mengine ni safari ya paradiso
Kama nakuumiza siku ingine nakupaka Vaseline..Wabongo bana,hizi takataka mnazitoaga wapi?
Umeulizwa hapo juu,thibitisha hizo chanjo zina leta utasa na uhanithi
Unaishia kusema kuna video inasambaa....
Kwahio video ndio utafiti?
Mkuu lisemwalo lipo..hiyo video itakufikia tu..mwandende una uhakika lakini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jibu hoja kama mtu mzima,unaleta uchoko wa Fb hapaKama nakuumiza siku ingine nakupaka Vaseline..