LexPaulsen
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 316
- 609
Chanjo ya COVID inafika lini bongo mi nikajidunge, kma serikali haitaki waruhusu hata private hospitals wanunue kutoka ubeberuni tunaotaka kuchanjwa tuchanjwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuwa wa mwisho kukubali chanjo... Nitachukua tahadhari zote kuhusu huu ugonjwa... LAKINI SIO CHANJO
Pitia Namanga ukachajwe we panya 1000!Chanjo ya COVID inafika lini bongo mi nikajidunge, kma serikali haitaki waruhusu hata private hospitals wanunue kutoka ubeberuni tunaotaka kuchanjwa tuchanjwe.
Na hao madaktari wa marekani walio kataa chanjo kwaiyo ww umewazidi akili kibarakaEti chanjo sio salama! wewe nchi yako imetengeneza chanjo ipi? na umefanya tafiti gani kujua kwamba chanjo sio salama?
Na ww thibitisha chanjo ni salamaWabongo bana,hizi takataka mnazitoaga wapi?
Umeulizwa hapo juu,thibitisha hizo chanjo zina leta utasa na uhanithi
Unaishia kusema kuna video inasambaa....
Kwahio video ndio utafiti?
wakitumaliza kwenye ARVs watamuuzia Nani? Au unazdhani zinatolewa bure zile.Chanjo muhimu sana haikwepeki,wazungu watuue tuna nini cha maana? kama wanataka kutuua si bado wanaweza wakatumaliza kwenye ARVs na chanjo nyingine? Tunamtegemea mzungu kila sehemu.
Nani kapoteza muda na pesa dunia iwe salama wakat Corona yenyewe Ni man made!Jibu hoja kama mtu mzima,unaleta uchoko wa Fb hapa
Thibitisha shutuma zako kuwa hizo chanjo zinaleta utasa tahira wewe?
Watu wanakufa halafu unaleta jokes za kijinga kwa watu wanaopoteza mda na pesa zao kufanya dunia iwe salama
Sweden na Denmark wameigomea piaNi uoga wako tu, ila chanjo haina madhara yyte mze