Tukubali maumivu: Simba kuanzia michuano ya awali CAF champions league!

Tukubali maumivu: Simba kuanzia michuano ya awali CAF champions league!

Labda unamaanisha kaka ya kizungu! Yaani Young brother. Maana ukija kwenye uhalisia, Yanga ndiye kaka wa vilabu vyote vya mpira wa miguu nchini!

Kuanzia umri, na pia wingi wa mataji anayo miliki. Imagine ndiye Bingwa wa kihistoria nchini.
Hapo ndo mnaponichekesha eti mabingwa wa kihistoria wenyewe mnavimbaaa
 
Wewe jamaa mjadala ulishafungwa wiki iliyopita wewe bado unao tuu. Mbona unachelewa sana
 
Ama kweli nyie ni mambumbumbu. Yan tambo mlileta nyie wenyewe mkatunanga wenyewe mnakuja kuumbuka wenyewe sasahivi mnamuangushia matatizo yenu Yanga. Eti Yanga anafurahi hapana sio kufurahi anawacheka hamkua na akiba ya maneno mnaumbuka mnaanza kulia lia. Bebeni aibu yenu tukutane kimataifa huko kila mtu atajua aibu yake ataibebaje.

Kwahili kubalini mumeumbuka then mambo mengine yaendelee. Halafu mbona mambo ya kawaida kuchekana msisahau sisi ni watani bhana
 
Tuliwaambia corona na ndumba zimewabeba mkajifanya wajuaji mavi

Sasa mko wapi 1 st match out
 
Back
Top Bottom