Tukubali tukatae, CHADEMA haikuzichanga vema karata zake wakati wa kushughulikia usaliti wa Wabunge 19

Ni muhimu kujenga taifa la watu wamoja na wanaoaminiana.
Vyama vya siasa ni vikundi vidogo tu vinavyotafuta kuchaguliwa kuongoza taifa kwa mujibu wa katiba.
Kushabikia kuvunjwa kwa sheria na katiba kwa sababu ya uanachama wako ni kukosa uzalendo.
Uzalendo ni kuunganisha wananchi kwa kufuata katiba, sheria, kanuni na haki.
 
Wananchi kuunganishwa ni rahisi Sana,Ila Kwa hivi Vyama vinavyoisaka Ikulu ndio chanzo cha kuparaganisha jamii, Kwa sababu havitakaa vipatane
 
Wananchi kuunganishwa ni rahisi Sana,Ila Kwa hivi Vyama vinavyoisaka Ikulu ndio chanzo cha kuparaganisha jamii, Kwa sababu havitakaa vipatane
Chama chochote cha siasa kina lengo la kushika madaraka.
Kusaka ikulu ndiyo lengo lenyewe la kuanzisha mfumo wa vyama vingi.
Adui mkubwa wa taifa ni watumishi wa uma na taasisi zinazotakiwa kusimamia mfumo wa vyama vingi kuonesha upendeleo wa wazi.
Hali hii husababishwa na ujinga ambao huzalisha kutojiamini na mwisho fikra za kipuuzi za kwamba upinzani ni uadui.
Mimi ni mwana CCM ninayependa ushindani wa kutumia akili na tuoneshe haki na ustaarabu vimetendeka kwa mustakabali mwema wa taifa.
We have to be smart. Ubabe na matumizi ya nguvu umepitwa na wakati. Siku hizi wanatumika smiling killers.
 
Itajulikana tu, Nani ni Nani?

Tuliwaambia hamkuelewa, Chama kikiwa kimebebwa na mtu na sio watu, matokeo yake ndio haya
kama KORONA ilivyoshikiliwa na MEKO wenu nanyi mnaburuzwa mnakubali KORONA hakuna TANZANIA jifanyeni hamjui
 
Kwa nini unadhani kwamba, Vyama vinatakiwa vitendewe haki?

Kama mtazamo wako huo unadhani ndio sahihi, bado tunasafari ndefu Sana kama taifa
 
kama KORONA ilivyoshikiliwa na MEKO wenu nanyi mnaburuzwa mnakubali KORONA hakuna TANZANIA jifanyeni hamjui
Mufanye Mungu kuwa wimbo wa sifa mdomoni mwako, Korona ni Nani hata aabudiwe?
 
Mmojammoja wanajiunga CCM. Na CCM ndiyo imeimaliza Chadema kwa kuwapata visu vyao. Chama Kubwa na akili Kubwa.
 
Hii kesi imeshakwisha kitambo sana kwa kuwa CCM imepora mamlaka ya Serikali, Bunge, Mahakama na Msajiri wa Vyama. Tugange yajayo tu maana 2025 sio mbali sana.

Kwa trend ya sasa ambapo wapenda mageuzi na wapinzani "wanalialia tu" kwenye social media bila kuwa na solution inayoeleweka, CCM na Serikali yake watafanya waliyoyafanya October 2020 bila woga wowote maana wanajua watu watasusa na maisha yataenda.

Mwisho wa siku inabaki case ya "if you can't fight them, join them". Sintoshangaa sana kusikia kwamba baadhi ya viongozi ndani ya CHADEMA walishiriki kwa njia moja ama nyingine kusaidia wale wamama kuingia Bungeni.
 
Umenifikisha Sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…