Tukubali tukatae Yanga ni Walozi wakubwa

Tukubali tukatae Yanga ni Walozi wakubwa

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Hapo juzi kulitoka Taarifa kwa Umma kwamba Yanga wamehama Chamazi kuja KMC Complex , hiyo ni baada ya Baadhi ya Video zao za Ulozi nje ya Uwanja kusambaa, na hata Zile Bomba za Sindano pia kusambazwa kwa Wingi.

Unajua kwanini naamini kwamba Yanga ni Walozi, mechi za Simba Lazima aje kitofauti, hawezi kupita Lango kuu, kuja Uwanjani atakuja na Haice, Makomandoo wake wanakuwa wakali kinoma.

Asipopita Geti Dogo hashindi huwa hatujiulizi? Mwenye Fact ajibu haya ila Yanga ni Walozi wa kimpira ukiwadhibiti wanakuchukia 😀😀😀
 
Hapo juzi kulitoka Taarifa kwa Umma kwamba Yanga wamehama Chamazi kuja KMC Complex , hiyo ni baada ya Baadhi ya Video zao za Ulozi nje ya Uwanja kusambaa, na hata Zile Bomba za Sindano pia kusambazwa kwa Wingi.

Unajua kwanini naamini kwamba Yanga ni Walozi, mechi za Simba Lazima aje kitofauti, hawezi kupita Lango kuu, kuja Uwanjani atakuja na Haice, Makomandoo wake wanakuwa wakali kinoma..

Asipopita Geti Dogo hashindi huwa hatujiulizi? Mwenye Fact ajibu haya ila Yanga ni Walozi wa kimpira ukiwadhibiti wanakuchukia 😀😀😀
Unajua mkuu, kwenye soka hutakiwi kuamini uchawi unafanya kazi.

Yaani kama unaamini wakipita geti dogo lazima washinde ujue tayari umeingia vita ya kichawi ni kwamba umezidiwa tu nguvu na ni suala la muda utatafuta uchawi wako maana umeshaamini unafungwa si sababu ya kuzidiwa kimbinu ila sababu wenzio wameloga.
 
Timu pekee inayo fahamika hadi FIFA kwa uchawi ni Simba Sports Club. Hakuna timu iliyovunja hiyo record Africa mashariki.

Wazee wa kimila wakiongozwa na Mzamiru waliwasha moto uwanjani na kuongea maneno ya kichawi ya kiarabu japo walichezea kichapo.
Na bado wakafungwa
 
Hapo juzi kulitoka Taarifa kwa Umma kwamba Yanga wamehama Chamazi kuja KMC Complex , hiyo ni baada ya Baadhi ya Video zao za Ulozi nje ya Uwanja kusambaa, na hata Zile Bomba za Sindano pia kusambazwa kwa Wingi.

Unajua kwanini naamini kwamba Yanga ni Walozi, mechi za Simba Lazima aje kitofauti, hawezi kupita Lango kuu, kuja Uwanjani atakuja na Haice, Makomandoo wake wanakuwa wakali kinoma..

Asipopita Geti Dogo hashindi huwa hatujiulizi? Mwenye Fact ajibu haya ila Yanga ni Walozi wa kimpira ukiwadhibiti wanakuchukia 😀😀😀
Ila hatujawafikia nyie walozi wakimataifa mmevuka mpaka boda.
images (100).jpeg
 
Kuna mazee fulani yanga mmoja ni marehemu, wale wazee sijui huwa wana kazi gani yanga kama si walozi?
 
Hapo juzi kulitoka Taarifa kwa Umma kwamba Yanga wamehama Chamazi kuja KMC Complex , hiyo ni baada ya Baadhi ya Video zao za Ulozi nje ya Uwanja kusambaa, na hata Zile Bomba za Sindano pia kusambazwa kwa Wingi.

Unajua kwanini naamini kwamba Yanga ni Walozi, mechi za Simba Lazima aje kitofauti, hawezi kupita Lango kuu, kuja Uwanjani atakuja na Haice, Makomandoo wake wanakuwa wakali kinoma..

Asipopita Geti Dogo hashindi huwa hatujiulizi? Mwenye Fact ajibu haya ila Yanga ni Walozi wa kimpira ukiwadhibiti wanakuchukia 😀😀😀

View: https://youtu.be/UPwRfL-PTqc?si=NX7LYwVSJQFUXyYO nitajie timu 2 zilizowahi kuwasha moto ktk pitch
 
Hapo juzi kulitoka Taarifa kwa Umma kwamba Yanga wamehama Chamazi kuja KMC Complex , hiyo ni baada ya Baadhi ya Video zao za Ulozi nje ya Uwanja kusambaa, na hata Zile Bomba za Sindano pia kusambazwa kwa Wingi.

Unajua kwanini naamini kwamba Yanga ni Walozi, mechi za Simba Lazima aje kitofauti, hawezi kupita Lango kuu, kuja Uwanjani atakuja na Haice, Makomandoo wake wanakuwa wakali kinoma.

Asipopita Geti Dogo hashindi huwa hatujiulizi? Mwenye Fact ajibu haya ila Yanga ni Walozi wa kimpira ukiwadhibiti wanakuchukia 😀😀😀
Kuna mambo ya kumuharibu mtu kisaikolojia, uchawi ungekuwa unafanya kazi kwenye mpira wa miguu basi kuna nchi zingekuwa zinabeba makombe ya dunia. Au kule Sumbawanga wangekuwa na timu inayotisha kwa kubeba mataji.
 
Hapo juzi kulitoka Taarifa kwa Umma kwamba Yanga wamehama Chamazi kuja KMC Complex , hiyo ni baada ya Baadhi ya Video zao za Ulozi nje ya Uwanja kusambaa, na hata Zile Bomba za Sindano pia kusambazwa kwa Wingi.

Unajua kwanini naamini kwamba Yanga ni Walozi, mechi za Simba Lazima aje kitofauti, hawezi kupita Lango kuu, kuja Uwanjani atakuja na Haice, Makomandoo wake wanakuwa wakali kinoma.

Asipopita Geti Dogo hashindi huwa hatujiulizi? Mwenye Fact ajibu haya ila Yanga ni Walozi wa kimpira ukiwadhibiti wanakuchukia 😀😀😀
Sasa kama Simba wanaroga getini kwa nini mlazimishe Yanga apitie geti kuu?
 
Hapo juzi kulitoka Taarifa kwa Umma kwamba Yanga wamehama Chamazi kuja KMC Complex , hiyo ni baada ya Baadhi ya Video zao za Ulozi nje ya Uwanja kusambaa, na hata Zile Bomba za Sindano pia kusambazwa kwa Wingi.

Unajua kwanini naamini kwamba Yanga ni Walozi, mechi za Simba Lazima aje kitofauti, hawezi kupita Lango kuu, kuja Uwanjani atakuja na Haice, Makomandoo wake wanakuwa wakali kinoma.

Asipopita Geti Dogo hashindi huwa hatujiulizi? Mwenye Fact ajibu haya ila Yanga ni Walozi wa kimpira ukiwadhibiti wanakuchukia 😀😀😀
Kwakua umetaka fact na si porojo, Hii ndio fact sasa
p
 
Hapo juzi kulitoka Taarifa kwa Umma kwamba Yanga wamehama Chamazi kuja KMC Complex , hiyo ni baada ya Baadhi ya Video zao za Ulozi nje ya Uwanja kusambaa, na hata Zile Bomba za Sindano pia kusambazwa kwa Wingi.

Unajua kwanini naamini kwamba Yanga ni Walozi, mechi za Simba Lazima aje kitofauti, hawezi kupita Lango kuu, kuja Uwanjani atakuja na Haice, Makomandoo wake wanakuwa wakali kinoma.

Asipopita Geti Dogo hashindi huwa hatujiulizi? Mwenye Fact ajibu haya ila Yanga ni Walozi wa kimpira ukiwadhibiti wanakuchukia 😀😀😀
Timu wachawi
 

Attachments

  • VID-20241111-WA0011.mp4
    3.8 MB
  • VID-20241111-WA0010.mp4
    3.1 MB
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom