Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Simba aliwahi kutembeza gari kinyumenyume!
Azam waliwaroga nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam waliwaroga nini
naona juzi wakifanya zindiko uwanja wa KMC baada ya kuukimbia wa azamHapo juzi kulitoka Taarifa kwa Umma kwamba Yanga wamehama Chamazi kuja KMC Complex , hiyo ni baada ya Baadhi ya Video zao za Ulozi nje ya Uwanja kusambaa, na hata Zile Bomba za Sindano pia kusambazwa kwa Wingi.
Unajua kwanini naamini kwamba Yanga ni Walozi, mechi za Simba Lazima aje kitofauti, hawezi kupita Lango kuu, kuja Uwanjani atakuja na Haice, Makomandoo wake wanakuwa wakali kinoma.
Asipopita Geti Dogo hashindi huwa hatujiulizi? Mwenye Fact ajibu haya ila Yanga ni Walozi wa kimpira ukiwadhibiti wanakuchukia 😀😀😀