Tukubali tukatae Yanga ni Walozi wakubwa

Mmekazana kule SA ile ilikua ni kufukuza pepo wachafu na joto...wale o pirates ni wachawi kuliko utopolo...ndo maana walishinda kwa penati ...ubani ni uchawi? Mbona tunauwasha kanisani na msikitini..
Utopolo ni wachawiii..wanga...matunguli Fc
 
Reactions: Tui
naona juzi wakifanya zindiko uwanja wa KMC baada ya kuukimbia wa azam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…