Tukubaliane: Chama sio mchezaji wa mechi kubwa

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Siku tukifikia muafaka kuwa Chama sio mchezaji wa mechi ndipo Simba tutatoboa Nusu fainali michuano ya CAF.

HUYU JAMAA NI MCHEZAJI WA KU-SHINE dhidi ya Ihefu FC na Ruvu Shooting.

Yaani inakuwaje Pro Player unakosa penati katika decisive stage kama ile.

Ipo siku Simba tutashiriki nusu fainali, lakini katika hiko kikosi hapatakuwa na CHAMA.
View attachment 2603162
 
Ukubaliane na nani?
 
Embu nitajie mchezaji alicheza vizuri kuliko chama, binafsi leo naona wachezaji wote walikuwa sawa tu
 
Kukosa penalty kawaida Sana hata mesi na ronaldo wamekosa Sana

Lakini chama ni mchezaji wa game ndogo upo sahihi game zote mbili amezengua ndani ya uwanja simba game ya kwanza aneshinda hata bao 3 leo angekuwa nusu fainali!!!
Hao ulio wataja hawakosi penati ktk decisive moments.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…