Tukubaliane: Chama sio mchezaji wa mechi kubwa

Tukubaliane: Chama sio mchezaji wa mechi kubwa

Screenshot_20230429-002758_Gallery.jpg

Kula chuma hicho
 
Siku tukifikia muafaka kuwa Chama sio mchezaji wa mechi ndipo Simba tutatoboa Nusu fainali michuano ya CAF.

HUYU JAMAA NI MCHEZAJI WA KU-SHINE dhidi ya Ihefu FC na Ruvu Shooting.

Yaani inakuwaje Pro Player unakosa penati katika decisive stage kama ile.

Ipo siku Simba tutashiriki nusu fainali, lakini katika hiko kikosi hapatakuwa na CHAMA.
View attachment 2603162
Aibu yake
 
Chama kukosa penalty si jambo la kumshusha labda uzungumzie matukio mengine ya uwanjani, hizo kitu hata kina Messi zinawakataa muda mwingine
 
Siku tukifikia muafaka kuwa Chama sio mchezaji wa mechi ndipo Simba tutatoboa Nusu fainali michuano ya CAF.

HUYU JAMAA NI MCHEZAJI WA KU-SHINE dhidi ya Ihefu FC na Ruvu Shooting.

Yaani inakuwaje Pro Player unakosa penati katika decisive stage kama ile.

Ipo siku Simba tutashiriki nusu fainali, lakini katika hiko kikosi hapatakuwa na CHAMA.
View attachment 2603162
shida ni mentality yake
 
Siku tukifikia muafaka kuwa Chama sio mchezaji wa mechi ndipo Simba tutatoboa Nusu fainali michuano ya CAF.

HUYU JAMAA NI MCHEZAJI WA KU-SHINE dhidi ya Ihefu FC na Ruvu Shooting.

Yaani inakuwaje Pro Player unakosa penati katika decisive stage kama ile.

Ipo siku Simba tutashiriki nusu fainali, lakini katika hiko kikosi hapatakuwa na CHAMA.
View attachment 2603162
Chama jana kawa chama cha kucheza faulo uwanjani🤣🤣
 
Petani hazina ufundi mkuu, hata Messi na Ronaldo wamekosa sana.

Simba wametoka kiume, hatua ya penalties ni bahati nasibu, msianze kushikana uchawi huko msimbazi.

Hongereni watani, mmejitahidi
Kunywa kwanza maji upunguze hasira mkuu, petani ndio kitu gani ndugu yetu, najua kufungwa kunauma.
 
Kukosa penalty kawaida Sana hata Messi na Ronaldo wamekosa Sana

Lakini chama ni mchezaji wa game ndogo upo sahihi game zote mbili amezengua ndani ya uwanja simba game ya kwanza angeshinda hata bao 3 leo angekuwa nusu fainali!!!
Ni kweli kabisa wanakosa ila jamaa alipiga kama yosso anacheza ligi daraja 4 bora shomari alikaza mguu sijui alijikuta Pirlo.
 
Kunywa kwanza maji upunguze hasira mkuu, petani ndio kitu gani ndugu yetu, najua kufungwa kunauma.
Hiyo ni typing error tu mkuu 😅😅😅

Alaf wewe ndio unatakiwa unywe maji kutuliza kichwa, kwa kudhani Mimi ni kolo mwenzio 😅😅
 
Daah, sema tulikosea kutotumia uwanja wa nyumbani vema.
Hili ndo la kuongelea. Mechi ya Jana kuna Wachezaji zaidi ya Chama àmbao hajawasema lakini wapo. Mbali ya madhaifu ya Saidoo tangu dakika ya 10 lkn alivumiliwa aje apige penati.
 
Back
Top Bottom