Tukubaliane: Wanaohubiri kwenye mabasi, masokoni na njiani ni Omba omba kama ombaomba wengine

Tukubaliane: Wanaohubiri kwenye mabasi, masokoni na njiani ni Omba omba kama ombaomba wengine

Mcqueenen

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,843
Reaction score
11,702
Bila kupepesa macho au kumung’unya mung’unya maneno lets keep it one thousand.

Hawa watu wanaohubiri kwa maspika, kwa makelele iwe masokoni,njiani au kwenye mabasi au wale wanaoimba gospel barabarani kisha kuweka bakuli au kuomba sadaka ni omba omba tu kama omba omba wengine.

Na Wala hawapo class juu ya ombaomba. Wapo class moja na ombaomba, ni sawa kabisa na wale wanaoomba kwenye magari yakiwa kwenye Jam au wale wanaojitega kwenye madaraja ya mwendokasi au wale wanaotembea kwenye masoko wakioneshea vidonda vyao au ulemavu wao wakiomba hela.

Wote ni ombaomba, Wanatofautiana mbinu tu za kuombaomba.
 
Unajua pale anapohubiri kwenye kituo cha daladala au kwenye daladala ndani ..wengi wanakuwa na ujumbe mzuri sana..sio lazima wote wamwelewe hata mmoja akibarikiwa inatosha..mimi huwa nawapa sadaka..na naichukulia mtu kama yule amechagua hiyo kazi ya kuhubiri na kuacha shughuli zingine.. mimi kwa jicho langu huwa siwaoni omba omba au etc...
 
Ukiona mtu anahubiri kwenye daladala au barabarani sikia neno la Mungu ikikupendeza toa sadaka yako suala la ombaomba kila ntu omba omba maisha ya binadamu riziki tunapata kwa watu tunaishi nao Mungu anapitisha kwani wamekulazimisha sadaka kwasisi ambao tunaimani tutatoa sadaka usikufuru mzes unataka kusema wewe umejikamilisha sio Ombaomba maana mimi mwenyewe nikikwama naanza kuomba watu wanisaidie

Injili ya Bwana usipoisikia kanisani uataisikia kwenye daladala au barabarani hata rafiki yako wa karibu ndio injili itaenea na yote jina la bwana lihimidiwe maana uwezi kujua anaetoa ilo neno ametumwa na nini Mungu ulisikie ilo neno

Siku maisha yamekuwa magumu sana muda hatuna tunawaza hela kila muda sasa kuna muda Mungu anawatuma binadamu kulisikia nebo lake ndipo narudi kwenye point yangu ya kwanza nadhani ajakulazimisha utoe sadaka ukipenda utatoa usipopenda acha iyo ni kazi Mungu unakuta ntu anafamilia ana shughuli yoyote anategemea azubguke atoe neno la Mungu ili nae ajipatie riziki maisha yaende ili neno liwafikie wengi unashindwa kusaidia acha roho mbaya
Tumeagizwa tupendane usipende kuwaita wenzako omba omba wakati wana hubiri neno la Mungu wewe unaweza kufanya vile ile pia ni karama Mungu amemuekea
 
Oya kama Mungu amekubaliki kipato kiwe kikubwa au kidogo usidharau kazi ya mtu, ingali bado una afya na unapumua ipo siku Utahitaji msaada kwa hao hao unawaita omba omba acha dharau mzee unaemdharau leo ujui kesho yake ipoje
Well said👏

Binadamu tunajisahau sana kwa kujiona bora kuliko wengine
 
Oya kama Mungu amekubaliki kipato kiwe kikubwa au kidogo usidharau kazi ya mtu, ingali bado una afya na unapumua ipo siku Utahitaji msaada kwa hao hao unawaita omba omba acha dharau mzee unaemdharau leo ujui kesho yake ipoje
Kwamba mtu akiwa ombaomba tusiseme? Kwanza inatakiwa mpigwe makofi sababu mnatupigia kelele kwenye safari.
 
Huku kwetu kuna mmoja anapita nyumba Kwa nyumba ati anatufanyia maombi, baada ya hapo Kama ni Muda wa msosi tunakula naye ( sio mbaya), harafu anaomba sadaka anaenda nyumba nyingine maisha kama kama kawa.
 
Bila kupepesa macho au kumung’unya mung’unya maneno lets keep it one thousand.

Hawa watu wanaohubiri kwa maspika, kwa makelele iwe masokoni,njiani au kwenye mabasi au wale wanaoimba gospel barabarani kisha kuweka bakuli au kuomba sadaka ni omba omba tu kama omba omba wengine.

Na Wala hawapo class juu ya ombaomba. Wapo class moja na ombaomba, ni sawa kabisa na wale wanaoomba kwenye magari yakiwa kwenye Jam au wale wanaojitega kwenye madaraja ya mwendokasi au wale wanaotembea kwenye masoko wakioneshea vidonda vyao au ulemavu wao wakiomba hela.

Wote ni ombaomba, Wanatofautiana mbinu tu za kuombaomba.
Hii ni wazi. Ni utafutaji wa fedha.
 
Oya kama Mungu amekubaliki kipato kiwe kikubwa au kidogo usidharau kazi ya mtu, ingali bado una afya na unapumua ipo siku Utahitaji msaada kwa hao hao unawaita omba omba acha dharau mzee unaemdharau leo ujui kesho yake ipoje
Hakuna kazi ya kutangatanga kwenye magari ''kuombea'' watu. Neno kuombea nimeweka kwenye ''-'' kwa sababu hawa hawaombei watu bali wanaomba watu.
 
Mimi wale huwa nawapa sadaka kuliko wachungaji wa makanisani, Yohana mwenyewe alikuwa anapaza sauti nyikani , Yesu alitembea kule na kule kuhubiri , wachungaji wa makanisani wamekalisha matambi Yao kusubiri sadaka Ila hawa wa mtaani yawezakuwa Wana lengo Lao la kujikimu lakini walau wanatimiza agizo la nendeni ulimwenguni mkahubiri injili .... Kama wanadhubutu kufika eneo lenye mkusanyiko hawa sadaka mi nawapaaaa
 
Bila kupepesa macho au kumung’unya mung’unya maneno lets keep it one thousand.

Hawa watu wanaohubiri kwa maspika, kwa makelele iwe masokoni,njiani au kwenye mabasi au wale wanaoimba gospel barabarani kisha kuweka bakuli au kuomba sadaka ni omba omba tu kama omba omba wengine.

Na Wala hawapo class juu ya ombaomba. Wapo class moja na ombaomba, ni sawa kabisa na wale wanaoomba kwenye magari yakiwa kwenye Jam au wale wanaojitega kwenye madaraja ya mwendokasi au wale wanaotembea kwenye masoko wakioneshea vidonda vyao au ulemavu wao wakiomba hela.

Wote ni ombaomba, Wanatofautiana mbinu tu za kuombaomba.
Watu wanapata injili nankuokoka, sasa kutoa sadaka ni uamuzi tofauti na wale wanapka milangoni mwa miskiti ni kama lazma kuwachangia.
 
Back
Top Bottom