Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Tuliitwa kila jina la hovyo daah.Kabla ya mo
Jerry Muro ndio alikuwa msemaji hodari nchini
Manara alikuwa analialia tu
Dan serunkumaSimba ilikuwepo kabla ya MO na itaendelea kuwepo baada ya MO, lakini si vibaya tukajimbusha wachezaji waliokuwepo ndani ya simba ambao walikuja kwa mbwembwe lakini ukweli ni kuwa tuliwakusanya kwa kuwa hatukuwa na pesa.
Pierre kwizera_Rwanda
Paul kiongera_Kenya
Lino Musombo_Congo
Daniel Akkufor_Ghana
Pape Ndaw_ Senegal ( sina uhakika sana hapa).
Gervas kago_ Central Africa.
Tujikumbushe wachezaji wengine, waliopita na kuondoka, kipindi cha njaa pale simba.
Huyo huyoooHuyu Papa Ndaw ndie alionekanaga Taifa akiwa na kiatu kilichohanika!?
Always life LINACHANGE. Vp baada ya MO life likojeKabla ya mo
Jerry Muro ndio alikuwa msemaji hodari nchini
Manara alikuwa analialia tu
Ndio mkuuHuyu Papa Ndaw ndie alionekanaga Taifa akiwa na kiatu kilichohanika!?
Vibiriti vilikuwa vipo kwenye team ya Simba...?Mo ni Tapeli ,Vibiriti vyake ni vya hovyo ,ukiweka sehemu yenye hewa kesho yake unakuta vibichi na haviwezi kufanya ignition ila anadanganya watu kuweka njiti kwenye maji na kufanya ignition...Mo ni Muongo na tapeli.
Walikuwa sserenkuma wawili...Dan serunkuma
Dani na saimoniWalikuwa sserenkuma wawili...
Kweli Simba ilikuwa maskini balaa... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo huyooo
Vile vile alionekana mbeya uwanja wa sokoine akiwa na 'power bank'.Huyu Papa Ndaw ndie alionekanaga Taifa akiwa na kiatu kilichohanika!?
Kiongozi umesahau kumtaja Danny Serrunkuma.Simba ilikuwepo kabla ya MO na itaendelea kuwepo baada ya MO, lakini si vibaya tukajimbusha wachezaji waliokuwepo ndani ya simba ambao walikuja kwa mbwembwe lakini ukweli ni kuwa tuliwakusanya kwa kuwa hatukuwa na pesa.
Pierre kwizera_Rwanda
Paul kiongera_Kenya
Lino Musombo_Congo
Daniel Akkufor_Ghana
Pape Ndaw_ Senegal ( sina uhakika sana hapa).
Gervas kago_ Central Africa.
Tujikumbushe wachezaji wengine, waliopita na kuondoka, kipindi cha njaa pale simba.
Unaweza kuongelea 1993 hukatazwi.Wakati tunacheza fainali 1993 huyo mtu wenu alikuwepo?
jibu ni simple sana sponsor alikuwepo uncle wake Mo dewji anaitwa AZAM DEWJI kipindi hicho Mo alikuwa marekani anasoma chuo ,familia yao imeiaidia simba for years toka enzi watu wanavaa jezi zimeandikwa taifa soapUnaweza kuongelea 1993 hukatazwi.