Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Simba ilikuwepo kabla ya MO na itaendelea kuwepo baada ya MO, lakini si vibaya tukajimbusha wachezaji waliokuwepo ndani ya simba ambao walikuja kwa mbwembwe lakini ukweli ni kuwa tuliwakusanya kwa kuwa hatukuwa na pesa.
Pierre kwizera_Rwanda
Paul kiongera_Kenya
Lino Musombo_Congo
Daniel Akkufor_Ghana
Pape Ndaw_ Senegal ( sina uhakika sana hapa).
Gervas kago_ Central Africa.
Tujikumbushe wachezaji wengine, waliopita na kuondoka, kipindi cha njaa pale simba.
Pierre kwizera_Rwanda
Paul kiongera_Kenya
Lino Musombo_Congo
Daniel Akkufor_Ghana
Pape Ndaw_ Senegal ( sina uhakika sana hapa).
Gervas kago_ Central Africa.
Tujikumbushe wachezaji wengine, waliopita na kuondoka, kipindi cha njaa pale simba.