Tukumbuke: Komredi Polepole ameweka rekodi ya kuipa CCM Ushindi wa 84% kwa Rais wa JMT na 98% kwa Wabunge wa Kuchaguliwa 2020!

Tukumbuke: Komredi Polepole ameweka rekodi ya kuipa CCM Ushindi wa 84% kwa Rais wa JMT na 98% kwa Wabunge wa Kuchaguliwa 2020!

Makonda ana mapungufu yake kama binadamu lakini alikuwa na uwezo mkubwa wa kuifanya CCM ishinde kwa kishindo 2025

Chama kiliamka kwa nguvu hasa .Tatizo wazee wanaojiona bado wako relevant kwenye generation ya sasa wanakosa kumvumilia kwa vitu vidogo vidogo ambavyo ni immaterial ndio maana wamerudisha vikongwe Makala na Nchimbi washike chama

Chama kinaingia generation mpya sio ile ya wazee akina Nchimbi na Makalla .Makonda ndie alikuwa anaonyesha kuiweza hii generation ya sasa kwenye amsha amsha ya chama.Hawa wazee wawili Nchimbi na Makalla kwa kweli hizo nafasi wanapwaya kama huyo mwenezi Makalla ndio kabisaaaaaaa hamna kitu
Kumvumilia muuaji ni dhambi kubwa sana.
 
Ripoti ya sensa ya watu inaonyesha asilimia kubwa inayoongoza kwa wingi Tanzania ni vijana sio wazee .Uenezi unahitaji mtu anayeweza kwendana na ujana wao na mambo yao ya ujana .Vijana wana vituko wazee hawana .Makonda alikuwa anawawezea akifanya vituko wanafurahi na wanamsubiri kwa hamu na mikutano inafurika watu wengi vijana hadi basi.Na misafara yake vijana wanakuwa naye kwa wingi wakimsindikiza kapanda panda nk Hizo sarakasi hawa wazee hawawezi Makala na uzee wake ule aweza panda hata huyo punda?

Vituko vya kuvutia vijana ambao ndio wengi na wanavikubali kwa sasa yeye hawezi .

Yuko misplaced.Mwenezi lazima awe kijana sio kikongwe ili afikie generation yake

Makonda alikuwa chaguo sahihi la Mama Samia tena sahihi sana kwa ile nafasi ya uenezi na ingeipa kazi ndogo sana CCM kampeni 2025
Wapiga kura ni Wanawake na Wazee

Makala atawamudu vizuri tu

Vijana Wengi hawapigi kura na wale wachache wanaopiga wanapenda Swaga za Chadema
 
Wapiga kura ni Wanawake na Wazee

Makala atawamudu vizuri tu

Vijana Wengi hawapigi kura na wale wachache wanaopiga wanapenda Swaga za Chadema
Sio kweli angalia uchaguzi wa 2015 ulivyosumbua Chadema nusura ichukue nchi sababu ili mobilise vijana na vijana walipigia sana Chadema sababu walikiona ndio chama Chao

CCM vijana kushindwa kujitokeza sababu mojawapo ni kujaza vizee vikongwe vya kike na kiume nafasi zote kugombea ndio maana huzira kuwa nendeni mkapigiane kura vikongwe kwa vikongwe wenyewe ndio maana vizee ndio hufurika kupigia kura vizee vyenzao

Makonda alianza kubadili upepo vijana wawe kundi active ndani ya CCM alitakiwa aachwe halafu 2025 vijana wengi wangejitokeza kugombea na Chama kwa kuona move wangeidhinisha vijana wengi kuwa wagombea na hilo lingepelekea vijana wengi kuhamasika kwenda kupiga kura kupigia vijana wenzao.

Kuweka Makalla mwenezi sio rahisi kuweza kupenya hisia za vijana.Yuko too official tofauti na Makonda
 
Sio kweli angalia uchaguzi wa 2015 ulivyosumbua Chadema nusura ichukue nchi sababu ili mobilise vijana na vijana walipigia sana Chadema sababu walikiona ndio chama Chao

CCM vijana kushindwa kujitokeza sababu mojawapo ni kujaza vizee vikongwe vya kike na kiume nafasi zote kugombea ndio maana huzira kuwa nendeni mkapigiane kura vikongwe kwa vikongwe wenyewe ndio maana vizee ndio hufurika kupigia kura vizee vyenzao

Makonda alianza kubadili upepo vijana wawe kundi active ndani ya CCM alitakiwa aachwe halafu 2025 vijana wengi wangejitokeza kugombea na Chama kwa kuona move wangeidhinisha vijana wengi kuwa wagombea na hilo lingepelekea vijana wengi kuhamasika kwenda kupiga kura kupigia vijana wenzao.

Kuweka Makalla mwenezi sio rahisi kuweza kupenya hisia za vijana.Yuko too official tofauti na Makonda
Hata Makonda ushawishi wake ni kwa Wazee na akina mama siyo vijana kwa Sababu vijana wa CCM Wana Fikra za Kizee

Vijana halisi wako Chadema kutokana na kile chama kilivyosukwa na Freeman

Kidogo Lowasa alikuwa na ushawishi kwa vijana kwa Sababu ya Fikra zake za Kibepari
 
Hiyo ndio rekodi inayotamba CCM tangu Mfumo wa Vyama Vingi uanze

Kwa Chadema rekodi bado inashikiliwa na hayati Ngombale Mwiru aliyewezesha kupata 39% ya kura za Rais na Wabunge Zaidi ya 50 mwaka 2015 alipokuwa Mwenezi wa Lowassa

Komredi Makala tuna Imani Kubwa kwako 2025

Ahsanteni Sana 😄😄
Hizo sifa ungewapa watumishi wa umma(walimu,watendaji,polisi and their auxiliaries,TISS & other abracadabras and cadavas) ningekuelewa.
 
Si kweli video za mikutano yake makonda akiwa mwenexi zimo YouTube mwenye macho haambiwi tazama
Bwashee kwenye siasa za Kisasa duniani Ujana ni Fikra siyo namba ya miaka uliyoishi duniani

Ndio Sababu vijana wa US wanamwita Trump ni mwenzao

Mrisho Gambo: Vijana wa UVCCM wakizeeka wanakuwa Wachawi
 
Hiyo ndio rekodi inayotamba CCM tangu Mfumo wa Vyama Vingi uanze

Kwa Chadema rekodi bado inashikiliwa na hayati Ngombale Mwiru aliyewezesha kupata 39% ya kura za Rais na Wabunge Zaidi ya 50 mwaka 2015 alipokuwa Mwenezi wa Lowassa

Komredi Makala tuna Imani Kubwa kwako 2025

Ahsanteni Sana 😄😄
Baada ya kuingia madarakani mkiwa wenyewe tu, kipi mnachojivunia kwenye utawala wenu huu?
 
Hiyo ndio rekodi inayotamba CCM tangu Mfumo wa Vyama Vingi uanze

Kwa Chadema rekodi bado inashikiliwa na hayati Ngombale Mwiru aliyewezesha kupata 39% ya kura za Rais na Wabunge Zaidi ya 50 mwaka 2015 alipokuwa Mwenezi wa Lowassa

Komredi Makala tuna Imani Kubwa kwako 2025

Ahsanteni Sana 😄😄
Kwa mara ya kwanza tangu nimekufautilia Leo umeposti UJINGA umetumia makalio kufikiri.Leo umeingia kwenye Kundi la WANASIASA MALAYA.
 
Hiyo ndio rekodi inayotamba CCM tangu Mfumo wa Vyama Vingi uanze

Kwa Chadema rekodi bado inashikiliwa na hayati Ngombale Mwiru aliyewezesha kupata 39% ya kura za Rais na Wabunge Zaidi ya 50 mwaka 2015 alipokuwa Mwenezi wa Lowassa

Komredi Makala tuna Imani Kubwa kwako 2025

Ahsanteni Sana 😄😄
Aliipa au walipora uchaguzi na dhalimu magu.
 
Basi muite Humphrey 😂😂
😂😂 Tatizo la Humphrey hata haijulikani kazaliwa Mzee au Kijana, maana tokea mimi namjua ana sura yake ya uzee tu na nywele hana, all my years sijajua ni species gani, maana mimi ni rafiki yangu ila siwezi muambia face to face, ni mzee au kijana sijui, namuona hivyo alivyo, so hata hilo jina hapana
 
Back
Top Bottom