Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
NA FEMILI YAKE ...HAKUNA AMBACHO MZAZI ANAWEZA KUMPA MWANAYE ZAIDI YA ELIMU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HOW CAN WE FFORGET MAREHEMU SISTER SHENAZ ...cheki domo hilo...
mara baada ya mapinduzi zanzibar,karume alitoa order,mtu yoyote anayetaka kuoa binti wa kiasia anaruhusiwa hata kwa nguvu (amri ilitoka kwa sababu ya ta bia ya wahindi kujitengatenga) what happened next dunia nzima ili condemn,indian woman rather then get forced into marriage wengine wali commit sucide,hata thabit kombo alipata muhindi.waziri mkuu wa india sikumbuki kama ni gandhi au nehru alimuomba nyerere aingilie kati,to the atonishment of the world,nyerere did not utter a word
Pole sana GT kama huyu dadayo amefariki lol......
Mbaraka Mwinshehe Mwaruka, nani kama yeye East Africa...? R.I.P
Hemed Maneti, "Chiriku"...R.I.P! Huyu enzi hizo alikuwa anaongoza troop la Wana pambamoto moto kweli kweli!... Maskini Vijana Jazz, TOT wakaja kuwapiku kwenye ulaji wa uhamasishaji! CCM bwana, arrgghh!
...wana Sikinde Ngoma ya ukae enzi hizo na Leyland lao, palikuwa 'hapatoshi' hawa jamaa na wana Masantula Ngoma ya Mpwita chini ya Guitar lenye nyuzi dazeni la Ndala Kasheba na King Kikii..
View attachment 2325
...asilimia kubwa ya wasomi wa Tanganyika enzi hizo walipitia Tabora Boys, na Tabora Girls... i.e Spika Sitta na Mkewe, Mzee Bob Makani, mama Migiro etc
View attachment 2326
...halafu wakaendelea na degree zao za kwanza Makerere University, kabla ya kutawanyijka huko na huko duniani kuongeza ujuzi, na wengine wanaendelea kulitumikia taifa mpaka leo...
Akawafundisha Vijana kupiga mtindo unaofanana sana na hao wa-Zaire, akishirikiana na kina Hamza Kalala "Komandoo", Bure Musa, Mwinyipembe na Mafumu Bilali, alianzisha mtindo wa "Kamata Sukuma" na wimbo wake maarufu wa "Nimeruka Ukuta", baadaye akabadili na mtindo wake mpya wa "Koka Koka ni Balaa" na wimbo wake maarufu wa "Operesheni Maduka", ndipo akaja na mtindo mpya tena this time akiwa vyombo vipya kabisa vya aina ya Rangers, akaja na "Heka Heka Takatuka" na wimbo wa "Maria" na "Bujumbura",