Dua la kifaranga cha kuku!!huuu ndio msemo wa weziii wote baaada ya kuuiiiba sanaaa hawana la kusema kwa hio hutoa hoja ya kwamba maskini wapo nchi nyingine.
wezi wakubwa vifo viwe juu yao.
village life in Tanzania
The allmighty GOD,created the world in six days,on day seven,GOD took a rest on day eight GOD created JULIUS KAMBARAGE NYERERE.
SIKU ZOTE PICHA HAIONGOPI...MICHUZI SAFARINI LONDON NA HIVI NDIVYO TAX PAYERS MONEY ZINAVYOFANYA KAZI
Chakaza Mkuu salamFM ES,Sio unafiki pekee bali hata ubazazi na ukosefu wa shukrani wa kiwango cha juu.Katika wote huyu bwana ndio hasaa aliyetakiwa kuonyesha wazi kufuata kwa vitendo aliyoasisi Mwl. Kama wapigakura wengi walidhani kua huyu ni Ken M beki wa Yanga bila mwl kumuuza nani angenunua "hiyo bidhaa?'
Chakaza Mkuu salam
Kwa vile maandishi haya yanakaa katika Histora ni vema kufafanua kuwa bila Mwalimu MKAPA angekuwa bidhaa mbovu mbele ya wapiga kura hata bure Watanzania wasingechukua.
SIKU ZOTE PICHA HAIONGOPI...MICHUZI SAFARINI LONDON NA HIVI NDIVYO TAX PAYERS MONEY ZINAVYOFANYA KAZI
Ni siku ambayo Watanzania tunatakiwa....AGAIN...kuji-assess......kihistoria, tumefanikiwa wapi.
Ni kweli mkuu. Hivi ndivyo viongozi wetu wengi walivyo.Wanapenda tuwaone kana kwamba wana akili nyingi na waheshimiwa saaana ambao bila ya wao kuwepo kwenye madaraka Tanzania haitakuwepo. Walio wengi, wamesahau kutumikia watu, wanataka kwa strategies tuwatumikie wao kwa kulipa kodi, huku wakiilea na kuendeleza rushwa na kufuja mali za umma.Mwalimu you're simply the best, better than all rest the better than anyone. Thanks for your dedication, ethics and love to our beloved country. We wish we had another Mwalimu. Rest in peace Baba yetu wa taifa.
Umetuachia wezi, wala rushwa wanafiki wanaopenda kujilimbikizia mali na kuweka maslahi yao mbele badala ya yale ya Taifa. We wish you were still here with us. Rest in peace our beloved leader and we will always love you.