Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Boti iliyoitwa "mimi" - huo ni mwaka 1914 wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia. Hao ni Waingereza baada ya kuwapa kipigo Wajerumani pwani ya Ziwa Tanganyika. Anayetaka kusoma zaidi angalia - A History of Africa, Chapter 8


