Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,715
Mtakumbuka mengi kwani hata maiti hukumbukwa na ikiwa kunahitajika uchunguzi wakaenda kufukuliwa. Na Uchunguzi kufanyika na ushahidi kukubaliwa.Na haki kutendeka.
Naona karibu mtaiona miti yote inateleza.
jamani naamini wengi wetu tumekaa vijiweni/maskani,ambavyo in one way or another vilishape destiny zetu.mimi ni mwana HARLEM,kijiwe shule ya msingi muhimbili,tulikuwa na football team vilevile,me i was only a cheerleader.ujana unasumbua kwa hiyo vitu kama wee ilikuwa kama kazi,nakumbuka tukielekea madebeni mbowe tulipitia MISSISSIPI(nyuma ya library)kwa mzee musa.Those were the days,unfortunately washikaji wengi,with time,they just fell off the rails
Tafadhali wasiliana na mimi firechief365@hotmail.com