Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Hawa ni Viongozi wa Mapinduzi Zanzibar, Waliokaa katikati ni Field Marshal John Okello, Absalom Anwi Ingen, (Kushoto) na Saidi Washoto (kulia).

Waliosimama kutoka kushoto ni Insp.Edington Kisasi, Sheikh Abeid Amani Karume,
Mohamed Kaujore, Abdurahman Mohamed Babu,Hamisi Darwesh, Abdallah Mfaranyaki, Col. Abdala Saidi Natepe, Col. Seif Bakari na Kassim Hanga. Source ya majina ni kwa hisani ya mtandao wa 'Halihalisi'.
 
Pasco, hakuna Karume, Hanga wala Babu kwenye picha hiyo.

Mwenye kofia ndiye Okello, aliyekaa kushoto ni Ramadhani Haji
Waliosimama: wanne kushoto ni Jimmy Ringo (Juma Maulidi) if I am mot mistaken

Hapa wapo Absalom Ingen, Mfaranyaki, Khamis Darwesh, Kaujore, Pili Khamisi lakini siwezi kuunganisha sura zao na majina. Picha hii imetumika sana kwenye vitabu vinavoeleza historia ya mapinduzi ya Zanzibar. Hata kwenye kitabu cha Okello mwenyewe ametumia picha hii, bahati mbaya nilimuazima jamaa na hakurejesha tena
 
Kiongozi wa Mapinduzi ya Zanzibar ya 1964 alikuwa ni Field Marshal John Okello (katikati aliyekaa).

Hakuna Sheikh Karume hapo. Hakuwepo.
 
Pasco, hakuna Karume, Hanga wala Babu kwenye picha hiyo.

Mwenye kofia ndiye Okello, aliyekaa kushoto ni Ramadhani Haji
Waliosimama: wanne kushoto ni Jimmy Ringo (Juma Maulidi) if I am mot mistaken

Hapa wapo Absalom Ingen, Mfaranyaki, Khamis Darwesh, Kaujore, Pili Khamisi lakini siwezi kuunganisha sura zao na majina. Picha hii imetumika sana kwenye vitabu vinavoeleza historia ya mapinduzi ya Zanzibar. Hata kwenye kitabu cha Okello mwenyewe ametumia picha hii, bahati mbaya nilimuazima jamaa na hakurejesha tena
Asante sana biti mkongwe, nimeonyesha nilipoyapata majina, wewe unaonekana ndiye mkweli, mimi ni mpenzi wa dhati wa historia,
Naomba ufafanuzi hapo kwenye bold maana ni tungo tata.

1. 'Hata kwenye kitabu cha Okello mwenyewe ametumia picha hii, bahati mbaya nilimuazima jamaa na hakurejeshatena' inamaanisha Okello ametumia picha hiyo. Jee ulimuazima Jamaa Okello hakuirejesha tena?
2.'Hata kwenye kitabu cha Okello mwenyewe ametumia picha hii, bahati mbaya nilimuazima jamaa na hakurejeshatena' inamaanisha Jee ulimuazima Jamaa Kitabu cha Okello hakukirejesha tena?
3 'Hata kwenye kitabu cha Okello mwenyewe ametumia picha hii, bahati mbaya nilimuazima jamaa na hakurejeshatena' inamaanisha Okello ametumia picha hiyo. Jee unamaanisha picha hiyo ni yako, ulimuazima Okello akaitumia kwenye kitabu chake, halafu ulimuaziman jamaa mwingine, hakuirejesha tena?
 
Kawawa.jpg


Rashidi Mfaume Kawawa
Rashidi Mfaume Kawawa (born 1929), Tanzanian political leader, devoted his career to policies designed to increase his fellow citizens' standard of living.
The son of an elephant hunter and the eldest of eight children, Rashidi Mfaume Kawawa was born in the Songea district of Tanganyika (now Tanzania) in eastern Africa. After primary schooling in Dar es Salaam, he finished his formal education at Tabora Government Secondary School (1951-1956), the alma mater of Julius Nyerere, leader in the fight for Tanganyika's independence.



Kawawa refused the opportunity to continue his education at Uganda's Makerere College, thus enabling his father to use the family's limited resources to educate his siblings.
Early Career

Kawawa's first job was as a Public Works Department accounts clerk. This was a most difficult period for the young man. With the death of his father, he assumed the responsibility of supporting his younger brothers and sisters. In 1951 Kawawa realized a long-standing dream of becoming a social worker. He had actually inaugurated this career by organizing a literacy campaign for adults while a student in Dar es Salaam.


On his new job Kawawa joined a mobile film unit engaged in government literacy programs. When it was decided to use the unit for educational filming, he was chosen as the only Tanzanian leading actor. He also served as a scriptwriter and a producer. Perhaps the most important aspect of Kawawa's social worker career occurred when he was sent to central Tanzania (1953) to work among Kikuyu detainees held because of the Kenyan Mau Mau movement. He later described his successful work there as the "greatest challenge of my life."
Government Service

Kawawa joined the Tanganyika African Government Services Association, becoming its assistant general secretary in 1951 and its president in 1955. His main task was securing rights for government employees due them under Tanganyika's laws. Realizing the advantages of a nationwide organization, Kawawa helped found the Tanganyika Federation of Labor (TFL) and was elected its first general secretary in 1955.


The Tanganyikan independence movement was then underway, directed by Julius Nyerere of the Tanganyika African National Union (TANU). Kawawa's government employment prevented him from political participation, but his commitment to use the unions to further independence led to his resignation in February 1956 to devote his time and talents to labor and political organization. Joining TANU, he became a central committee member (1957) and vice president (1960). In the meantime Kawawa had been appointed to the Legislative Council (1957), remaining a member until 1960. In September 1960, following his first appointment to Cabinet rank, he resigned from the TFL to concentrate on politics.


When Prime Minister Nyerere of the now independent Tanganyika resigned for a brief period in 1962, Kawawa replaced him until his return to office. After 1964 Kawawa held the office of second vice president of Tanzania (formed from the union of Tanganyika and the island republic of Zanzibar), serving as Nyerere's principal assistant for mainland affairs and as leader of the National Assembly.


Nyerere resigned as Tanzania's president in 1985, and Kawawa left government service as well. However, he was seen once more in the political spotlight when he attended the seventy-fifth birthday celebration of former president Nyerere in early 1997.


Kawawa died last week on Dec 31, 2009.

Respect.


FMEs!
 


Dr. L. Gama RIP.


Written by LUDOVICK KAZOKA,
18th December 2009


HUNDREDS of mourners led by Zanzibar’s Chief Minister Mr Shamsi Vuai Nahodha today paid their last respect to former Intelligence Service chief, Dr Lawrence Gama at St. Gasper Roman church, Mbezi Beach area in Dar es Salaam.

In his eulogy, Mr Nahodha said that the nation had lost a valuable figure. “It is a tragedy to the nation. The late Gama served in various capacities as a leader who recorded a lot of achievements,” said Mr Nahodha.

Member of Parliament and veteran politician Mr Kingunge Ngombale-Mwiru said the late Gama played a key role in the establishment of the National Service. He was the first chief of the National Service.

“He has done great things to the nation as well as the ruling party ,” said Mr Ngombale-Mwiru. The Executive Director of Mwalimu Nyerere Foundation, Mr Joseph Butiku, said the nation has lost a hero who committed himself to building the nation.

Minister of State, President’s Office, Good Governance, Ms Sophia Simba said the late Gama was a role model in Tanzanian politics.

He was amicable and charming person. Meanwhile, the former Prime Minister, Mr Rashid Kawawa, said in a statement that Dr Gama’s death had left a wide gap. Dr Gama died at the Aga Khan Hospital in Dar es Salaam last Wednesday where he was admitted.

The body has been flown to Songea and would be laid to rest on Sunday at Amani Makolo village.


Respect.


FMEs!
 
Mama Maria Nyerere mke wa Mwalimu Nyerere na Mama Mwinyi Sitti, mke wa Rais wa zamani Mwinyi.





Mzee Songambele ndio wazee wetu wa kwanza kushiriki na Mwalimu katika kutafuta uhuru na baadaye alikuwa RC wa Dar au mkoa wa pwani, na kushoto kwake ni mtoto wa marehemu Mzee Kawawa, aliyefariki wiki iliyopita tarehe 12/31/09.


Respect.

FMEs!
 
Doctors: Mwaisela - Alileta mapinduzi katika sekta ya afya ya kikoloni
Economist/Industrialist: Rweyemamu - alianzisha Kituo cha Ubunifu cha IPI
Mathematicians: Shayo - alianzisha Kijiji cha Teknolojia
Physicst: Njau - alivumbua njia mbadala ya kutabiri hali ya hewa
Biologist: Mshigeni -alivumbua aina fulani ya mimea
Bankers: Msuya - alianzisha benki maarufu ya watu wa Mwanga
Lawyers: Nyalali- aliongoza tume iliyoyeta mabadiliko ya kisiasa nchini
Engineers: Kinjeketile - alivumbua mtambo wa kugeuza risasi kuwa maji

Kwa upande wa mabenki nadhani hatutatenda haki tusipomtaja AMON
NSEKELA, mchango wake katika sector ya fedha ni wa kutukuka!!

Literature: Shaaban Robert, Saadan Kandoro, Sheikh Kaluta Amri Abeid.
 
- Mkuu hayo ni mawazo yako tu na hii ni demokrasia unasikilizwa na tunaendelea na kukata ishus, kama wewe humuheshimu kiongozi yoyote wa taifa letu ni wewe na unaowawakilisha tu, lakini haina maana shughuli zetu hapa JF zitasimama kwa sababu ya mawazo yako wewe mtu mmoja huo ni uselfish na ubainfsi wa hali ya juu sana kwamba wewe usipotaka something, basi taifa zima tukufuate wewe, hapana mkuu kama Malecela kwako ni less than Chakubanga good for you ila sisi wananchama wa CCM kwetu ni kiongozi na mzee wa kutusaidia busara

tunapokuwa na matatizo ndani ya chama chetu kama sasa.

- Otherwise, nimekusikia mawazo yako na ndio demokrasia makini inavyotakiwa kuwa yaani kuheshimu mawazo ya wengine ambayo sio sawa na yako, lakini kumbuka kuwa Malecela pamoja unafiki wake hajagombea uwanja wa umeme Singida na Rostam, au kuwekeza kwenye kampuni ya Mwakyembe, vipi safari hii uliwekeza kwa Mwandosya nini kuwa rais?.

Ahsante Mkuu na Thread itaendelea kama kawaida maana tuna tani kibao za picha za siasa na wananchi maarufuu wa Tanzania. Bwa! ha! ha! ha! ha!

Wazee wa sauti ya umeme FMES!


Kweli Malecela John hakugombea uwanja wa umeme na Rostam Singida, lakini inasemekana alikula fedha yetu ya EPA toka kwa Jeetu na ndio maana harusi ilikuwa ya kukata na shoka tayari kwa urais!!!
 
President Jakaya Kikwete yesterday failed to hold back his tears as he led the nation to pay last respects to the former Prime Minister and Vice-President, Mzee Rashidi Mfaume Kawawa.

President Kikwete was apparently moved by the late Mzee Kawawa�s relatives who were sobbing uncontrollably when the body arrived at the Karimjee grounds at 02:10 pm for a public funeral.

Shortly after the vehicle had arrived, President Kikwete was seen wiping tears with a handkerchief. But he immediately regained his composure and continued to follow the prayers.

The body, which arrived eight minutes after the President had arrived at the grounds, was carried on the military jeep, escorted by six brigadier generals, three standing on each side of the coffin. At this time the late Kawawa's family members cried, prompting Dar es Salaam Regional Commissioner William Lukuvi to calm them down and allow things to carry on as programmed.

The late Kawawa was seen off by former and present prominent government leaders at the Karimjee grounds, marking the passing of a great man, who served the country from its infancy. President Kikwete led government officials, diplomats, politicians and thousands of Tanzanians at the Karimjee grounds to pay their last respectS to the former leader.

The Karimjee grounds were enveloped in sombre mood with some mourners, including retired President Ali Hassan Mwinyi, faIling to hold back their tears. Some people later lined the Bagamoyo, Kawawa and Morogoro roads to pay their last respects to one of the respected leaders.

About 50 CCM youth wing members mounting motorcycles joined the motorcade from Lugalo Military Hospital to Karimjee grounds. President Kikwete was flanked by Vice-President Ali Mohamed Shein, Prime Minister Mizengo Pinda and Zanzibar Chief Minister Shamsi Nahodha.

Speaking after paying his last respects, Mr John Malecela, a former Prime Minister, said the country had lost one of the great people who contributed much to the country development.

"He was hard working and sacrificed a lot for his country, we will always remember his contribution,� said Mr Pius Msekwa, the CCM deputy chairman (Mainland). Mr Msekwa praised Kawawa's leadership, saying he was real �Simba wa Vita [Great Warrior]."

The presence of former and present prominent government leaders at the Karimjee grounds to bid farewell to him, marked Kawawa's death as a truly nation�s big loss and the end of an era as Tanzania.
The funeral ceremony was attended the top brass of the Tanzania People's Defence Forces (TPDF) and the Police Force who wore black armbands.


Kawawa presided over the creation of the current army and police force after the mutiny of 1964. He was appointed the Defence Minister and Second Vice-President in charge of rebuilding the forces in the wake of the mutiny. The Karimjee grounds were covered by thousands of white chairs and white tents stripped with Tanzanian national flags. At around 10 am the chairs looked like they could not be filled but at around noon there was hardly any chair left as people slowly but steadily continued to flock the grounds.

Speaking to the Citizen in tears after bidding farewell the chairman of the ruling party CCM Board of Trustees, Mr Peter Kisumo, said he knew Kawawa before independence as his leader in trade unions. "I am a trade unionist like him, he left us behind as our leader and joined the government and Tanu, I came to work with him again as my boss when I joined the government in 1963 as the regional commissioner and later a minister," he said. Mr Kisumo who succeeded Kawawa as the chairman of the Board of Trustees of CCM said under Kawawa�s leadership, an attempt by the then chairman of the Tanganyika African Railways Union, Ambassador Christopher Kasanga Tumbo to mobilise workers not to support Tanu was foiled.

For his part, Speaker of the House, Mr Samuel Sitta, said there is no better time to die but certainly this is the worst time for Tanzania to have lost a leader like Kawawa. "This is the time when the nation is marred by deep misunderstanding and divisions amongst its leaders, there is a high degree of greed for political power and selfishness within the upper echelons of power, a man like him could have helped us to go through all these things safely," said Mr Sitta.

Dr Salim Ahmed Salim said Kawawa was a man of punctuality, who worked tirelessly in fighting for the rights of the oppressed. Despite the unforgiving heat the ceremony was attended by thousands of people from both the ruling party and the opposition.

- Ni kweli kabisa hii ilikuwa ni siku ya huzuni sana kwa taifa letu, kumzika Mzee Kawawa, Simba wa Vita na Muhogo Mchungu, May God bless his soul!

Respect.


FMEs!
 
Kweli Malecela John hakugombea uwanja wa umeme na Rostam Singida, lakini inasemekana alikula fedha yetu ya EPA toka kwa Jeetu na ndio maana harusi ilikuwa ya kukata na shoka tayari kwa urais!!!

- "Lakini inasemekana" ahsante sana kwa hii Great Thinking! Mr. Great Thinker!

Respect.


FMEs!
 


Moja ya picha za mwisho mwisho wa uhai wake, marehemu Kawawa. Mungu amlaze pema peponi.

Respect.


FMEs!
 
Viongozi wa genocide iliyoua watu 20,000 Wazanzibari wenye asili ya kiarabu na kihindi.
 
- "Lakini inasemekana" ahsante sana kwa hii Great Thinking! Mr. Great Thinker!

Respect.

FMEs!

Tatizo la kuwa crony wa mtu ndio hilo, wahusika hawajakana shutuma na pengine huko mahakamani ndiko vitatolewa vielelezo kuthibitisha ulaji wa hizo pesa za EPA kwani aliyewatuhumu inasemekana anaushahidi!! At that point these will not be allegations any more!! Remember wametuhumiwa na boss wa makachero!!

POLE SANA kwa kukwazwa.
 
Back
Top Bottom