Wat a w'ful thread, am enjoyin an learnin alot on this thread.. God Bless U All.
Tuonesheni na nyerere alipokua anavalishwa suruali na waislam ili aonekane kama wastaarabu wengine
LOL! Kumbe enzi hizo Malecela kuna wakati alikuwa anamshikia Mwalimu kifimbo chake? 🙂 Imenifurahisha sana picha hiyo. Wakati ule Tanzania kulikuwa hakuna mafisadi siyo kama siku hizi hata Rais wa nchi anaamua kufanya ufisadi dhidi ya nchi yake!
Kuna viumbe wengine wanafurahia sana kufanya uchokozi; dawa yao ni kuwapuuza tu; teh!!!!!! teh!!!!!! teh!!!!!! teh!!!!!!
mosque street,dar es salaam,1937
hiki kichwa unakiona hata kilivyopose kuwa kilikuwa serious hakuna tabasamu za uongo uongo kuwaibia watu.
mosque street,dar es salaam,1937