Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Nimeipenda picha ya Mwl na mkewe. Mkapa, Koffi Annan na MWL. Nyerere. Ahsante kwa picha
 
JF hii thread msije mkaipoteza maana ni nzuri sana. Nimefurahishwa sana na jinsi watu wananyotambua vizuri tulikotoka. Ni Urithi mzuri sana wa vizazi vijavyo. Kweli kuna mengi sana ya kujifunza, na pia nimeona picha za wakubwa wetu wa nchi wakiwa wadogo. Jamani tumetoka mbali. Heshima sana kwa wote waliochangia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…