JF hii thread msije mkaipoteza maana ni nzuri sana. Nimefurahishwa sana na jinsi watu wananyotambua vizuri tulikotoka. Ni Urithi mzuri sana wa vizazi vijavyo. Kweli kuna mengi sana ya kujifunza, na pia nimeona picha za wakubwa wetu wa nchi wakiwa wadogo. Jamani tumetoka mbali. Heshima sana kwa wote waliochangia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.