Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

DAR ES SALAAM 1914
785px-Bundesarchiv_Bild_105-DOA0179%2C_Deutsch-Ostafrika%2C_Daressalam%2C_%22Unter_den_Akazien%22.jpg
 
Nimeipenda picha ya Mwl na mkewe. Mkapa, Koffi Annan na MWL. Nyerere. Ahsante kwa picha
 
JF hii thread msije mkaipoteza maana ni nzuri sana. Nimefurahishwa sana na jinsi watu wananyotambua vizuri tulikotoka. Ni Urithi mzuri sana wa vizazi vijavyo. Kweli kuna mengi sana ya kujifunza, na pia nimeona picha za wakubwa wetu wa nchi wakiwa wadogo. Jamani tumetoka mbali. Heshima sana kwa wote waliochangia.
 
Back
Top Bottom