Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Rev. Kishoka, hapo pa Hamis Kinye umemsahau kipa aliyepata kuwa miongoni mwa makipa wazuri Yanga iliyowahi kuwa nao ambaye alikuwa akishindana na Hamisi Kinye...Joseph Fungo!!

BabaDesi,

Unajua Fungo ni mkwe akisikia kuwa nimesahau kuwa alitamba kwenye goalpost ukwe unaweza vunjika!
 
Duh,

Mada hii baaabu kubwa sanaaaa yaani Jamii Forums inabidi kujiweka sawa na kuanzisha kumbukumbu hizi kisha kuzikabidhi Makumbusho!...FMES mkuu wangu hongera sana kwa kutoa hoja hiii...
Ni muhimu sana kwa sababu vijana wengi hawafahamu kabisa tulitoka wapi!...
Hakika miaka ya 70 na 80 Tanzania pamoja na mapungufu yetu kiuchumi lakini jamani tulikuwa - The Giant of Africa....
Kinachinishangaza zaidi ni pale kila shirika la serikali mbali na Ujamaa wetu tulikuwa na bendi, timu za mpira wa miguu na netball, jeshi letu lilikuwa imara ktk kila fani, Ulinzi (National security) yaani hapo ndio hata usigusie, riadha chini ya Sarakikya ilikuwa ktk kiwango cha juu sana..
Ni wapi tulikwenda mrama...

Mkandara,

Nikiwaambia Watanzania Ujamaa ulitupa ka-welfare ka namna fulani, watu wanaukanda!

Umezungumzia vikundi vya utamaduni na michezo katika mashirika, hiyo ilikuwa ni ajira on top of burudani. Just imagine jinsi kila kitu kilivyokuwa institutionalized!

Sasa baada ya kugundua kuwa Corporate Welfare inatuumiza kiuchumi, burudani, nyumba na usafiri bure ukaanza kufutwa, nafikiri tulichokosea ni kutobadilisha mishahara ili watu waanze kukidhi mahitaji ambayo yalikuwa yamepulizwa ukali kwa ile Corporate welfare.

Utagundua pia kufumuka na kuongezeka kwa uhujumu, rushwa na ufisadi kulikuja mara baada ya "hali halisi" kulikumba Taifa na mashirika kuanza kufutu vitengo vya michezo, sanaa, kuacha kuwa na magari na mabai ya wafanyakazi, nyumba za wafanyakazi zikaondolewa na wafanyakazi wakaanza kutozwa ada ya matibabu!
 
Baada ya picha na maelezo mengi mazuri tule pozi kwa kupata historia kwa kifupi..


CHRONOLOGY

1652 - Arabs from Oman invade Zanzibar

1840 - Sultan of Oman transfers his capital to Zanzibar

1885 - Tanganyika declared a German Protectorate

1890 - Zanzibar & Pemba islands become a British Protectorate

1905/6 - Maji Maji rebellion against German rule finally suppressed in South; resultant famine kills between 75,000 - 300,000

1920 - Tanganyika placed under League of Nations Mandate with United Kingdom as the administrating power

1929 - Formation of the Tanganyika African Association (TAA)

1946 - Tanganyika becomes a United Nations Trust Territory, still under British administration

1954 - Julius Nyerere, President of TAA, converts TAA into Tanganyika African National Union (TANU)

9/1958 - 2/1959 - First General Elections; TANU sweeps to victory

5/1960 - Tanganyika achieves internal self-government

9.12.1961 - Tanganyika gains full independence

12/1962 - Tanganyika becomes a Republic; Julius Nyerere becomes first President

12/1963 - Zanzibar becomes an independent Sultanate

1/1964 - Armed uprising in Zanzibar - Sultan overthrown; Zanzibar declared a Republic and Afro-Shirazi Party (ASP) takes power; Abeid Karume becomes Zanzibar's first African leader

4/1964 - Nyerere signs Act of Union with Government of Zanzibar; Zanzibar retains a separate administration; any opposition in Zanzibar ruthlessly suppressed

10/1964 - Union of Tanganyika & Zanzibar re-named United Republic of Tanzania

7/1965 - New Constitution provides for one-party state

9/1965 - Nyerere returned to power in first one-party elections

Early 1967 - TANU accepts programme of socialism & self-reliance known as "Arusha Declaration"; the age of 'Ujamaa' (community) is born

1967/1971 - On Zanzibar, Karume survives two assassination attempts

4/1972 - Karume assassinated; successor Aboud Jumbe reorganises Zanzibar Government; power of ASP extended

1973 - International relations with Burundi and Idi Amin's Uganda deteriorate

6/1975 - Fundamental principles of socialism incorporated into the Constitution

1977 - Collapse of East African Community (EAC) of Tanzania, Kenya & Uganda

2/1977 - TANU & ASP merge to form Chama Cha Mapinduzi (CCM) with Nyerere as Chairman and Jumbe as Vice-Chairman

Late 1978 - Relations with Uganda worsen; fighting on border during 10/1978

1/1979 - Tanzania-based invasion force enters Uganda, leading to overthrow of Ugandan dictator Idi Amin

10/1979 - Zanzibar adopts separate Constitution

2/1982 - Hi-jacking of Air Tanzania flight to United Kingdom

1/1983 - Coup plot uncovered; 20 soldiers & 9 civilians detained

Early 1984 - Political crisis in Zanzibar amidst growing dissatisfaction with the Union; Jumbe & 3 Ministers resign

4/1984 - Ali Hassan Mwinyi elected President of Zanzibar; Mwinyi supports Union and sweeping changes made to Zanzibar Supreme Revolutionary Council

1/1985 - More liberal Constitution adopted in Zanzibar

11/1985 - Nyerere retires and is succeeded by Mwinyi who brings in fundamental changes in economic policy, viewed as a retreat from socialist policies

12/1985 - 9 people receive life imprisonment for their part in the 1983 coup plot (all those convicted receive Presidential pardons in October 1995)

1/1988 - Zanzibar Chief Minister, Seif Sharrif Hamad, dismissed along with 5 others

Late 1988 - Value to Zanzibar of Union increasingly called into question; two dissident movements - Movement for Democratic Alternative (MDA) and smaller religious-based group on Pemba, Bismillah Party - become active even before multipartyism

5/1989 - Hamad arrested for allegedly being in possession of secret Government documents and attending illegal meetings on Pemba

12/1989 - 4,000 troops sent to Zanzibar in response to reports of a coup

Early 1990 - Two opposition parties, Tanzania Democratic Forum - led by Oscar Kambona, and Tanzania Youth Democratic Movement (TYDM) - led by Moussa Membar, one of the 1982 hi-jackers, formed in United Kingdom

10/1990 - Dr Salmin Amour elected President of Zanzibar

2/1991 - An independent forum - led by Abdullah Fundikira - attempts to steer national opinion towards multi-party democratic system

3/1991 - President Mwinyi establishes Presidential Commission to look into electoral reforms

12/1991 - Commission publishes recommendation for establishment of plural political system

2/1992 - Constitutional amendments ratified to make way for multipartyism

1992 - Opposition party on Zanzibar, Kamati Ya Maguezi Huru (Kamahuru) merges with mainland Chama Cha Wanachi to form Civic United Front (CUF)

Mid 1992 - Several political organisations officially register but restrictions on opposition activities remain

7/1992 - 4 members of Democratic Party (DP), including leader Reverend Christopher Mtikila, are arrested and sentenced to 4 months imprisonment for holding illegal meeting

9/1992 - Mtikila and the others have their sentences quashed in High Court

12/1992 - Zanzibar Government arranges for islands to join Organisation of Islamic Conference (OIC), an infringement of the 1964 Articles of the Union

1/1993 - Anti-Asian rhetoric of leader of the unregistered DP, Rev. Mtikila, provokes number of attacks on Asians and their businesses in Dar es Salaam; Mtikila detained for sedition; person killed on Pemba during opposition demonstration

2/1993 - Parliamentary Commission rules Zanzibar action regarding OIC membership unconstitutional

4/1993 - First multi-party by-election won by CCM; young Muslim radicals attack pork butcheries in Dar es Salaam; violent clashes between Islamic fundamentalists and security forces

8/1993 - Zanzibar withdraws from membership of OIC

10/1993 - Failed coup in Burundi prompts waves of refugees to enter Tanzania

2/1994 - High Court rules, in favour of opposition party CHADEMA, that CCM won 3rd by-election of multi-party era unfairly

4/1994 - Civil war in Rwanda results in mass influx of refugees to Tanzania

11/1994 - Foreign donors suspend aid in protest at official connivance in widespread tax evasion

2/1995 - Former CCM Home Minister Augustine Mrema defects to National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi)

3/1995 - Further influx of refugees from Burundi and Rwanda; Tanzania closes border with Burundi

10/1995 - Multi-party Legislative and Presidential elections take place concurrently on both the mainland & Zanzibar; on Zanzibar the result gives CCM 26 seats and CUF 24; CUF refuses to accept results alleging ballot rigging; CUF delegates boycott House of Representatives; Salmin Amour (CCM) becomes President of Zanzibar; on mainland CCM win 186 out of 232 seats in the National Assembly (CUF wins 24, NCCR-Mageuzi 16, CHADEMA 3 & UDP 3)

11/1995 - Benjamin Mkapa (CCM) wins presidential election with 61.8% of vote

Early 1996 - Nyerere mediates peace talks with Burundi

1996 - Foreign donors suspend aid to Zanzibar in protest at alleged human rights abuses

2/1996 - Zanzibar authorities ban CUF demonstrations in south Pemba

3/1996 - East African Community re-established

6/96 - Mkapa elected CCM Chairman

30.6.1996 - Former Director of Intelligence & Security, Lt General Imran Kombe, shot dead after police mistake him for notorious car thief; five officers charged with murder

7/1996 - Economic sanctions imposed on Burundi in protest at overthrow of democratically elected government; relations with Burundi steadily worsen amid allegations that Tanzania supporting Burundi rebels in refugee camps near border

8/1996 - Government establishes Commission of Enquiry, chaired by former Prime Minister Joseph Warioba, to investigate corruption; allegedly corrupt Dar es Salaam City Council disbanded

9/1996 - Minister of Finance Simon Mbilinyi resigns amid allegations of corrupt practices by parliamentary select committee investigating bribery allegations

10/1996 - Former Presidential candidate Augustine Mrema wins by-election in Dar es Salaam

12/1996 - Warioba report on corruption published

1997 - Relations with Burundi worsen; several clashes on border

1/1997 - Mainland CUF recognises legitimacy of Amour's government on Zanzibar

3/1997 - Rev Mtikila joins CHADEMA; Tanzanian asks for international assistance to cope with remaining refugees after food shortages owing to drought

13.3.1997 - Former CCM Secretary General Horace Kolimba dies following intense questioning by CCM Central Committee about his criticism of party ideology

4/1997 - Economic sanctions against Burundi, on certain humanitarian goods, lifted

6/1997 - Police in Arusha charged with torturing 10 women, one of whom had a miscarriage

20.6.1997 - High Court cancels planned opposition party congress, amid fear of disturbances by opposing factions in NCCR-Mageuzi

30.7.1997 - Mkapa sacks officials for corruption in Mtwara region

1.8.1997 - Government investigates opposition groups said to be planning disorder; groups believed to be organised by opposition party leader

11.8.1997 - Government to investigate "abduction" of Zanzibar MP, Swaleh Mbaruk

13.8.1997 - CUF banned from holding public rallies in western Zanzibar

Late 8/1997 - Tensions begin to arise with Burundi; peace talks cancelled as Burundi Government refuses to participate

9.9.1997 - 500 refugees return to DRC (former Zaire)

10.9.1997 - Security tightened in Zanzibar after threats to burn government property

25.9.1997 - Splits emerge in NCCR-Mageuzi

10.11.1997 - President Mkapa opens CCM party congress; Mkapa announces dismissal of 1500 civil servants and employees of parastatals for corruption

12.11.1997 - Tanzanian troops deployed at border with Burundi as tensions rise

14.11.1997 - Mkapa re-elected CCM Chairman

15.11.1997 - Tanzania Union of Journalists launched; given 6 months to register

29.11.1997 - Six senior CUF members arrested on eve of Mkunazini by-election after CUF's final campaign rally

12/1997 - Six detainees die in detention in Morogoro

01.12.1997 - CUF wins Mkunazini by-election

03.12.1997 - Police arrest CUF Deputy Secretary-General

07.12.1997 - CUF holds rally in Zanzibar Town; Juma Haji, winner of by-election, speaks out against police harassment

09.12.1997 - Police detain more CUF officials including Seif Sharrif Hamad's personal assistant

10.12.1997 - Non-resident workers in Tanzania to be issued with ID cards alongside national ID cards to be introduced as Registration & Identification of Persons Act 1996 becomes effective; Mkapa pledges to fight corruption; Zanzibar court awards damages to ZEC Chairman in libel suit

20.12.1997 - 11,406 refugees voluntarily repatriated to DRC

22.12.1997 - 14 CUF members charged with treason; case to go to High Court

1/1998 - Two policemen convicted of a 1996 killing and sentenced to death; nine others convicted of murder in Arusha

10.01.1998 - Mkapa calls on Zanzibar Government and opposition to start dialogue

12.01.1998 - Zanzibar President states no political disagreement in Zanzibar but an external plot to destabilise the country

13.01.1998 - Commonwealth Secretary-General warns of prevailing political crisis in Zanzibar

22.01.1998 - Zanzibar denies reports by a Dar es Salaam journalist that it intends to secede from the Union

03.02.1998 - Three CUF MPs arrested on Zanzibar and charged with threatening to cause trouble

07.02.1998 - Members of CUF suspended from Zanzibar House of Representatives for 20 days after failing to attend House sessions for two consecutive days

2-3/1998 - Rioting outside mosque in Dar es Salaam - vehicles burned and shops looted; 3 killed and 5 seriously injured, over 50 arrests; two policemen dismissed for taking a bribe and improper arrest

4/1998 - Government distributes emergency food rations to overcrowded prisons; an opposition leader in Zanzibar sentenced to six months imprisonment for insulting Zanzibar's President

5/1998 - A prominent judge advises Government to stop intimidating journalists; James Mapalala launches new political party CHAUSTA (Justice & Development Party)

6/1998 - Government bans three newspapers for publishing abusive cartoons; Government issues clarification on how Radio Tanzania programmes may be utilised by all political parties; seven suspects including a policeman arrested in connection with killing of a senior pilot; Parliament suspends opposition MP Augustine Mrema for making allegations that Government was trying to kill him; Chief Justice of Court of Appeal denies Government's appeal against injunction granted to National Women's council, thereby permitting its continued operation

7/1998 - VAT introduced on mainland; High Court annuls result of 1995 Sengerema constituency election, stripping William Shija of his seat; Government forms special committee to gather public opinion on constitutional reform - opposition reform group called KAMAKA condemns the move; Seif Sharrif Hamad questioned in connection with treason investigation of 18 CUF suspects; Sexual Offences Special Provisions Act comes into force; border between Tanzania and Burundi closes

7.8.1998 - Terrorist bomb explodes at US Embassy in Dar es Salaam, minutes after similar explosion in Nairobi - 10 people killed and 70 injured; arrests made in aftermath; explosion linked to Saudi dissident Osama Bin Laden

8/1998 - CUF announces in official statement the end of its boycott of Parliament and recognises Salmin Amour as President of Zanzibar; 'Mtanzania' newspaper banned by Amour on Zanzibar; Minister Hassy Kitine resigns amid allegations of corruption

20/8/1998 - US launches air strike against Bin Laden's camp in Afghanistan and alleged chemical weapons factory in Sudan in retaliation for embassy bombings

10/1998 - William Shija regains Sengerema constituency in by-election; Augustine Mrema returns to parliament; lobby group formed from members of religious, women's and human rights groups to make public more aware of the case for constitutional reform; one of three newspapers banned in June 1998, Chombeza, has its ban lifted

11/1998 - Prosecution in trial of 18 members of CUF for treason given 60 days to complete their investigation; Law Reform Commission recommends formation of compensation fund for victims of sexual and domestic violence; Police ban demonstration by NCCR-Mageuzi

12/1998 - Government re-imposes ban on Chombeza newspaper after it continues to publish allegedly lewd material

1/1999 - Police arrest CUF's deputy director for defence and security, Othman Abdallah. CUF's Secretary-General announces that CUF will not engage in direct confrontation with CCM; High Court rejects appeal by four of the 18 CUF detainees concerning illegal arrest and denial of bail

25.2.1999 - Charges finally read against the 18 CUF detainees in Zanzibar

3.3.1999 - Trial of 18 CUF detainees resumes

25.4.1999 - Augustine Mrema leaves NCCR-Mageuzi to join TLP as its Chairman

9.6.1999 - CCM and CUF sign Commonwealth-brokered reconciliation pact in Zanzibar, ending 4-year political deadlock; CUF ends boycott of Zanzibar parliament; 2 new CUF appointees to Zanzibar parliament; pact aims to ensure elections in 2000 are transparent and credible

8/1999 - Use of child labour in mining industry banned; killings by sungusungu 'traditional guards' reported in Tabora district
 
1985,9 people given life imprisonment for attempted coup plot,hawa walikuwa akina nani? na sasa hivi wako wapi? nilisikia one uncle tom,alitoroka gerezani kwa kutumia presidential motorcade,alaafu nikasikia,katika hawa kulikuwa na commando,ambaye aliuwawa baada ya gunfight kubwa mitaa ya kinondoni.
 
Bomani alikuwa Waziri wa kitu gani wakati huo?

Naamini Bomani, alikuwa waziri wa Ardhi, nyumba na maendeleo mijini.

Mkuu Kichuguu,

1. Heshima tena maana pale kwenye picha ya Orch. Makassy umeniua sana nimewaona wakulu Assosa, na Micky waliotoka bendi ya Orch. Fuka Fuka.

2. Mbombo wa Mbombo-ka, ambaye ndiye baadaye aliyeanzisha bendi ya Safari Sound na mtindo wa "Nyekese Paralysie",

- bendi ambayo baadaye ilivamiwa na mkulu King Kiki, akitokea Marquis na kuigeuza kuwa na mtindo wa "Masantula Ngoma Ya Mpwita" na kina dada Friday na Ngalula Chandanda, na kibao chake cha kwanza kilikuwa "Mimi msafiri bado niko njiani",

- Bendi hii later on ilikuja vamiwa tena na mukulu Freddy Ndala Kasheba "Supreme" (RIP), na sasa ikapiga mtindo wa "Chunusi" na vibao vya "Marashi ya Pemba" na "Tatu Said Mwita".

3. Halafu pia nimemuona Malik Star, aliyeimba ule wimbo wa "Mwanadamu hatosheki".

4. Pia nimemuona Mosesengo Fan Fan, aliyeimba ule wimbo wa "Yoke na linga ka" au kwa kiswahili (Mimi ninapneda sana) kama unakumbuka ndio ulikuwa wimbo wake wa kwanza baada ya kutoka kwa Lwambo na kuja Dar kujiunga na Makassy, na sidhani kama bendi ile iliwahi kupiga a better song zaidi ya hii song.

5. Pia kuna Ilunga Lubanza "Mchafu", aliyetokea Marquis,

Mzee Makassy, alikuwa na enzi yake katika historia ya muziki wetu, na ni yeye na Nkashama Nkoy, ndio hasa waliotuletea changamoto ya vyombo vipya nchini, maana kwa mara ya kwanza Lwambo alipokuja pale Uwanja Wa Taifa, alikuwa akitumia vyombo saafi sana na vipya vya aina ya Rangers,

Sasa unaja enzi hizo tena wapenda muziki wengi tukaamini kuwa vile vyombo ni babu kubwa mnoo, sio rahisi kwa bendi local kama zetu kuweza kuwa navyo, lakini hawa wa-Zaire, Makassy na Nkanshama Nkoy nao wakaja navyo tena vile vile Rangers, ndio kwa mara ya kwanza bendi yetu local ya Vijana Jazz, chini ya Hemed "Chiriku" Maneti (RIP) na Komandoo Hamza Kalala wakaenda wakaletewa vyombo hivyo vya Rangers na CCM wakaja na mtindo wa "Heka Heka Takatuka", nafikri unakumbuka kbao chao cha kwanza na vile vyombo "....Kwa kweli jama nimenasa sina ujanja, nilivyomuhusudu mtoto Mary..." kwa kweli kwa mara ya kwanza bendi karibu zote local zikaweza kwenda nje kutafuta vyombo vya kisasa na kuubadili kabisa mzuiki wetu nao ukaanza kuvutia.

Mzeee Makassy, siku hizi kama wanamuziki wengine wa zamani Remmy Ongara, na Cosmas Chidumule, wamekuwa ni waimbaji wa kwaya za kanisani, na pia wamekuwa walokole, lakini Makassy atakumbukwa sana kwenye historia ya muziki wetu nchini na pia anazo santuri kama nne, ambazo zinauzwa sana majuu.

Again ahsante, Mkuu Kichuguu na hii picha.
 
1.
1985,9 people given life imprisonment for attempted coup plot,hawa walikuwa akina nani? na sasa hivi wako wapi? nilisikia one uncle tom,alitoroka gerezani kwa kutumia presidential motorcade,

Kama ninakumbuka vizuri hawa walikuwa kina Mzee Ngaiza, Uncle Tom Lugakingira, kina the Mcghee ndugu wawili kutoka Jeshi la Kikosi Cha Anga, pia Mkulu wangu Bob Bayona, halafu kulikuwa na Mwanajeshi mmoja wa cheo cha Liutenant ambaye ndiye hasa aliyekuwa chanzo cha kushikwa kwao, walimshikia kwenye magorofa ya Ubungo, wengine siwakumbuki,

- Nikweli Uncle Tom, alitoroka Jella ya Ukonga na kwenda London, ni mistery ambayo mpaka leo haijawahi kuwa-explained na serikali, lakini nasikia tu kuwa pia kulikuwa na M-Israeli mmoja kati yao ambaye siku walipompeleka Ukonga, aliwaambia wazi kuwa by kesho atakuwa ameondoka maana ile jella was nothing kwake, na ni kweli aliondoka usiku ule na Uncle Tom.


2.
alaafu nikasikia,katika hawa kulikuwa na commando,ambaye aliuwawa baada ya gunfight kubwa mitaa ya kinondoni.

Hii kitu ninaikumbuka pia ingawa ni siku nyingi sana, kwa sababu kuna siku huyu bwana alihisiwa kuonekana ndani ya Hotel ya New African Hotel, ile sehemu yote ikazibwa, wananchi tukawa tumezunguka kutka kujua kinachoendelea,

Kwa jina la mtaaani alikuwa akijulikana kama "Nyau", sikumbuki jina lake kamili kwa sababu halikuwa likitajwa kabisaa, alikuwa mkazi wa Kionondoni ni kweli siku moja alikutana uso kwa uso na maa-agent, na kuwapa a good piece of history ya namna ya kutumia bunduki kwenye maeneo ya Kinondoni karibu na pale kwenye kituo kikubwa cha mabasi zamani pakiitwa Muslim Schoool, by the time ameanguka chini kulikuwa na maa-agent kama watano aliowapumzisha chini,

Exactly who was "Nyau", mpaka leo sina uhakika kama kweli alikuwa Comandoo, au Jambazi tu aliyejihusisha na the so called wahaini ambao baadaye wote waliachiwa huru.
 
...enzi hizo, kuangalia sinema bubu, nje ya uzio wa ukuta wa Drive inn Cinema, (sasa hivi ubalozi wa marekani!!!), enzi hizo movie ya "saturday nite fever" foleni ya magari kuingia drive inn ilianzia 9mchana!, vipi na ile sinema ya wakenya, "mlevi"... 😀
View attachment 2190

...enzi hizo "jumapili kama leo" majumba ya cinema yanayofurika watu ni Empire, ikifuatiwa na Empress, New Chox, Odeon,... Bruce Lee na fists of fury zake...
 
...enzi hizo, kuangalia sinema bubu, nje ya uzio wa ukuta wa Drive inn Cinema, (sasa hivi ubalozi wa marekani!!!), enzi hizo movie ya "saturday nite fever" foleni ya magari kuingia drive inn ilianzia 9mchana!, vipi na ile sinema ya wakenya, "mlevi"... 😀
View attachment 2190

...enzi hizo "jumapili kama leo" majumba ya cinema yanayofurika watu ni Empire, ikifuatiwa na Empress, New Chox, Odeon,... Bruce Lee na fists of fury zake...


kamanda ..old good days my friend ...hapo jumapili kutembeza pegeot lazima uwe nazo nyekundu...au uwe na kibali cha mafuta ...au uwe agent...siunakumbuka curf ya kutembeza magari jumapili lakini.........utamaduni wa kwenda movie unarudi kidogo kidogo....baada ya mzee mustapha sabodo kujitoa mhanga na kufungua NEW WORLD THEATRE kwa heshima ya mwalimu nyerere,NA PIA AMEFUNGUA THEATRE PALE MLIMANI CITY.anaziendesha mwanae ISLAM...but the pace is slow ........watu walipapatikia video but lazima tujue hivi vitu..mihimu kwa ustaarabu..
 
Mkuu Icadon,

Shukrani kwa hii history, ngoja tuiweke inavyotakiwa:-


CHRONOLOGY

1652 - Arabs from Oman invade Zanzibar

1840 - Sultan of Oman transfers his capital to Zanzibar

1885 - Tanganyika declared a German Protectorate

1890 - Zanzibar & Pemba islands become a British Protectorate

1905/6 - Maji Maji rebellion against German rule finally suppressed in South; resultant famine kills between 75,000 - 300,000

1920 - Tanganyika placed under League of Nations Mandate with United Kingdom as the administrating power

1929 - Formation of the Tanganyika African Association (TAA)

1946 - Tanganyika becomes a United Nations Trust Territory, still under British administration

1954 - Julius Nyerere, President of TAA, converts TAA into Tanganyika African National Union (TANU)

9/1958 - 2/1959 - First General Elections; TANU sweeps to victory

5/1960 - Tanganyika achieves internal self-government

9.12.1961 - Tanganyika gains full independence

12/1962 - Tanganyika becomes a Republic; Julius Nyerere becomes first President
 
12/1963 - Zanzibar becomes an independent Sultanate

1/1964 - Armed uprising in Zanzibar - Sultan overthrown; Zanzibar declared a Republic and Afro-Shirazi Party (ASP) takes power; Abeid Karume becomes Zanzibar's first African leader

4/1964 - Nyerere signs Act of Union with Government of Zanzibar; Zanzibar retains a separate administration; any opposition in Zanzibar ruthlessly suppressed

10/1964 - Union of Tanganyika & Zanzibar re-named United Republic of Tanzania
 
7/1965 - New Constitution provides for one-party state

9/1965 - Nyerere returned to power in first one-party elections

Early 1967 - TANU accepts programme of socialism & self-reliance known as "Arusha Declaration"; the age of 'Ujamaa' (community) is born

1967/1971 - On Zanzibar, Karume survives two assassination attempts

4/1972 - Karume assassinated; successor Aboud Jumbe reorganises Zanzibar Government; power of ASP extended
 
1973 - International relations with Burundi and Idi Amin's Uganda deteriorate

6/1975 - Fundamental principles of socialism incorporated into the Constitution

1977 - Collapse of East African Community (EAC) of Tanzania, Kenya & Uganda

2/1977 - TANU & ASP merge to form Chama Cha Mapinduzi (CCM) with Nyerere as Chairman and Jumbe as Vice-Chairman

Late 1978 - Relations with Uganda worsen; fighting on border during 10/1978

1/1979 - Tanzania-based invasion force enters Uganda, leading to overthrow of Ugandan dictator Idi Amin

10/1979 - Zanzibar adopts separate Constitution
 
2/1982 - Hi-jacking of Air Tanzania flight to United Kingdom

1/1983 - Coup plot uncovered; 20 soldiers & 9 civilians detained

Early 1984 - Political crisis in Zanzibar amidst growing dissatisfaction with the Union; Jumbe & 3 Ministers resign

4/1984 - Ali Hassan Mwinyi elected President of Zanzibar; Mwinyi supports Union and sweeping changes made to Zanzibar Supreme Revolutionary Council

1/1985 - More liberal Constitution adopted in Zanzibar

11/1985 - Nyerere retires and is succeeded by Mwinyi who brings in fundamental changes in economic policy, viewed as a retreat from socialist policies

12/1985 - 9 people receive life imprisonment for their part in the 1983 coup plot (all those convicted receive Presidential pardons in October 1995)

1/1988 - Zanzibar Chief Minister, Seif Sharrif Hamad, dismissed along with 5 others

Late 1988 - Value to Zanzibar of Union increasingly called into question; two dissident movements - Movement for Democratic Alternative (MDA) and smaller religious-based group on Pemba, Bismillah Party - become active even before multipartyism

5/1989 - Hamad arrested for allegedly being in possession of secret Government documents and attending illegal meetings on Pemba

12/1989 - 4,000 troops sent to Zanzibar in response to reports of a coup
 
Late 1988 - Value to Zanzibar of Union increasingly called into question; two dissident movements - Movement for Democratic Alternative (MDA) and smaller religious-based group on Pemba, Bismillah Party - become active even before multipartyism

5/1989 - Hamad arrested for allegedly being in possession of secret Government documents and attending illegal meetings on Pemba

12/1989 - 4,000 troops sent to Zanzibar in response to reports of a coup

Early 1990 - Two opposition parties, Tanzania Democratic Forum - led by Oscar Kambona, and Tanzania Youth Democratic Movement (TYDM) - led by Moussa Membar, one of the 1982 hi-jackers, formed in United Kingdom

10/1990 - Dr Salmin Amour elected President of Zanzibar

2/1991 - An independent forum - led by Abdullah Fundikira - attempts to steer national opinion towards multi-party democratic system

3/1991 - President Mwinyi establishes Presidential Commission to look into electoral reforms

12/1991 - Commission publishes recommendation for establishment of plural political system

2/1992 - Constitutional amendments ratified to make way for multipartyism
 
Cooper Motors na Tanganyika Motors ndio walokuwa na kibali enzi hizo cha kuingiza magari(?)
magari ya enzi hizo ni kama Ford Escort, Cortina, Zephyr, mini Cooper classic, Vw beetle...etc hakukuwa na 2nd hand Cars toka Japan/Dubai!!!
...magari ya heshima enzi hizo, mfano Vauxhal Viva...


View attachment 2193

...Enzi hizo, Zulli Rhemtulla, na Bert Shackland walikuwa "wanatuburudisha na vumbi" kwenye East African Safari rally, japo (kama kawaida yao) kuna kipindi serikali ilipiga marufuku rally kupitia Tanzania...
View attachment 2194

Peugeot 504, "nguruwe",... mabaharia waliyaingiza kwa mbwembwe magari haya. Nakumbuka hata Balozi Opanga alikuwa nalo lake moja la nguvu!
 
1992 - Opposition party on Zanzibar, Kamati Ya Maguezi Huru (Kamahuru) merges with mainland Chama Cha Wanachi to form Civic United Front (CUF)

Mid 1992 - Several political organisations officially register but restrictions on opposition activities remain

7/1992 - 4 members of Democratic Party (DP), including leader Reverend Christopher Mtikila, are arrested and sentenced to 4 months imprisonment for holding illegal meeting

9/1992 - Mtikila and the others have their sentences quashed in High Court

12/1992 - Zanzibar Government arranges for islands to join Organisation of Islamic Conference (OIC), an infringement of the 1964 Articles of the Union

1/1993 - Anti-Asian rhetoric of leader of the unregistered DP, Rev. Mtikila, provokes number of attacks on Asians and their businesses in Dar es Salaam; Mtikila detained for sedition; person killed on Pemba during opposition demonstration

2/1993 - Parliamentary Commission rules Zanzibar action regarding OIC membership unconstitutional

4/1993 - First multi-party by-election won by CCM; young Muslim radicals attack pork butcheries in Dar es Salaam; violent clashes between Islamic fundamentalists and security forces

8/1993 - Zanzibar withdraws from membership of OIC

10/1993 - Failed coup in Burundi prompts waves of refugees to enter Tanzania

2/1994 - High Court rules, in favour of opposition party CHADEMA, that CCM won 3rd by-election of multi-party era unfairly

4/1994 - Civil war in Rwanda results in mass influx of refugees to Tanzania

11/1994 - Foreign donors suspend aid in protest at official connivance in widespread tax evasion

2/1995 - Former CCM Home Minister Augustine Mrema defects to National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi)

3/1995 - Further influx of refugees from Burundi and Rwanda; Tanzania closes border with Burundi

10/1995 - Multi-party Legislative and Presidential elections take place concurrently on both the mainland & Zanzibar; on Zanzibar the result gives CCM 26 seats and CUF 24; CUF refuses to accept results alleging ballot rigging; CUF delegates boycott House of Representatives; Salmin Amour (CCM) becomes President of Zanzibar; on mainland CCM win 186 out of 232 seats in the National Assembly (CUF wins 24, NCCR-Mageuzi 16, CHADEMA 3 & UDP 3)
 
Nadhani kiboko zaidi ni pale Nyerere alipokula chati na hasidi wake mkuu Amin

attachment.php

From 1977 to 1979, Amin titled himself as "His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor[2] Idi Amin Dada, VC,[3] DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular
 
1. 2.

Hii kitu ninaikumbuka pia ingawa ni siku nyingi sana, kwa sababu kuna siku huyu bwana alihisiwa kuonekana ndani ya Hotel ya New African Hotel, ile sehemu yote ikazibwa, wananchi tukawa tumezunguka kutka kujua kinachoendelea,

Kwa jina la mtaaani alikuwa akijulikana kama "Nyau", sikumbuki jina lake kamili kwa sababu halikuwa likitajwa kabisaa, alikuwa mkazi wa Kionondoni ni kweli siku moja alikutana uso kwa uso na maa-agent, na kuwapa a good piece of history ya namna ya kutumia bunduki kwenye maeneo ya Kinondoni karibu na pale kwenye kituo kikubwa cha mabasi zamani pakiitwa Muslim Schoool, by the time ameanguka chini kulikuwa na maa-agent kama watano aliowapumzisha chini,

Exactly who was "Nyau", mpaka leo sina uhakika kama kweli alikuwa Comandoo, au Jambazi tu aliyejihusisha na the so called wahaini ambao baadaye wote waliachiwa huru.

Hamisi Musa, maarufu kama Nyau, alikuwa jambazi ambaye alikuwa katika kundi la majambazi 15 kama sikosei ambao walitoroka Ukonga. Majambazi hawa walikuwa ni hatari sanana Nyau alikuwa akisifika kwa ushirikina na kudaiwa kuwa alikuwa akigeuka kuwa paka,na ndio kisa cha kuitwa Nyau.

Tukirudi kwenye kesi ya uhaini, kulikuwa na Hatibu Ghandi maarufu kama Hatty McGhee, Pius Lugangira maarufu kama Father Tom,, Caption Cris Kadego, Metusela Kamando, Ramadhani Otto (mkwe mwenza Kitwana Kondo), Bayona, Zacharia Hans Pope na nduguye, Banyikwa, na wenginewe ambao siwakumbuki.

Kwenye msanga huu wa uhaini ambao jamaa waliwakilishwa na Hussen Muccadam na nafikri Murtaza Lakham (huyu alipotea ghafla baada ya hiyo kesi na kutokomea), kulikuwa na wafanyabiashara kadhaa waliowekwa ndani. Nakumbuka wazee wakihindi fulani ambao walikuwa wafanyabiashara maarufu, Mzee Rajani, Abdul Haji na wenginewe waliwekwa jela kwa muda wa kutosha.
 
...enzi hizo, kuangalia sinema bubu, nje ya uzio wa ukuta wa Drive inn Cinema, (sasa hivi ubalozi wa marekani!!!), enzi hizo movie ya "saturday nite fever" foleni ya magari kuingia drive inn ilianzia 9mchana!, vipi na ile sinema ya wakenya, "mlevi"... 😀
View attachment 2190

...enzi hizo "jumapili kama leo" majumba ya cinema yanayofurika watu ni Empire, ikifuatiwa na Empress, New Chox, Odeon,... Bruce Lee na fists of fury zake...

That was a classic movie my friend, ongezea Fimbo ya Mnyonge na Yombayomba!
 
Back
Top Bottom