mpaka leo ipogo ila ile vix ya kupaka ndo huwa siion siku hiziCofta dawa ya kifua
Hutuliza haraka zaidi, imeshinda nyingine zote, cafenol ni dawa bam bam cafenol ni dawa namba one cafenol cafenol bam baMMMHahahaha du kumbe wazee wengi,
Hawa jamaa walikuwa mbali kwa kutangaza biashara.
Nakumbuka walikuwa wanazunguka nchi nzima wanauza madawa na sinema ya bure.
Nakumbuka those old days
[emoji2] [emoji2] walahi nimecheka sana kwa hiyo bam bam cafenol cafenolHutuliza haraka zaidi, imeshinda nyingine zote, cafenol ni dawa bam bam cafenol ni dawa namba one cafenol cafenol bam baMMM
Inawezekana alikaza misuli ya kukalia.Au alikaza pa kuchomea sindano
Siku tukipewa shuleni tunashinda tunavichefu chefu we acha tu. Mwezi ukifika unaona hilo gari la sijui wapi ST linakuja na waganga wakati huo nipo la pili nilikuwa naombea niwe zamu ya kuja mchana lakini bahati nbaya kila wakija nipo asubuhi. 1966 wakati huo afya ilikuwa kitu cha kwanza na elimu. Bila chakula husomi inabidi ukaguliwe kama umekuja na chakula shule.Mafuta ya samaki...box linapicha ya mtu kabeba samaki mkubwa mgongoni.
Umeleta picha halisi ya miaka hiyo.....magari yao yalikuwa na namba za GT..madereva watu wazima na walikuwa na sharubu..Siku tukipewa shuleni tunashinda tunavichefu chefu we acha tu. Mwezi ukifika unaona hilo gari la sijui wapi ST linakuja na waganga wakati huo nipo la pili nilikuwa naombea niwe zamu ya kuja mchana lakini bahati nbaya kila wakija nipo asubuhi. 1966 wakati huo afya ilikuwa kitu cha kwanza na elimu. Bila chakula husomi inabidi ukaguliwe kama umekuja na chakula shule.
Kweli nilichanganya mahesabu. GT hizo zikija wee harufu inanukia kabla hujanywa hayo mafuta. Je chanjo ile ya kwenye mkono mpaka leo ni kitambulisho cha sixtees. Ilikuwa ya TB au Missiles mimi sijui wala tulikuwa hatuulizi ila kitambulisho ninacho kwenye mkono.Umeleta picha halisi ya miaka hiyo.....magari yao yalikuwa na namba za GT..madereva watu wazima na walikuwa na sharubu..
Wewe ni wa umri wangu tumshukuru Mwenyezimungu bado tuko hai.Kweli nilichanganya mahesabu. GT hizo zikija wee harufu inanukia kabla hujanywa hayo mafuta. Je chanjo ile ya kwenye mkono mpaka leo ni kitambulisho cha sixtees. Ilikuwa ya TB au Missiles mimi sijui wala tulikuwa hatuulizi ila kitambulisho ninacho kwenye mkono.
Inaitwa MESMkojo wa punda...ya kikohozi