MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,202
- 1,228
inapatikana wapi mkuu...!!!??IPO mkuu ila ina jina tofauti , niijaribu mwezi 1 uliopita ila sii kama Andrews
nimecheka sana......You made ma day......maduka makubwa ya wapi?Maduka makubwa mkuu
Na kuna hii pia inaitwa calamine lotion kwa tetekuwanga...hili jina sijui nani aliligundua
"tetekuwanga"...
Blog yako oilinagase haipo?Na kuna hii pia inaitwa calamine lotion kwa tetekuwanga...hili jina sijui nani aliligundua
"tetekuwanga"...
Kapata chanjo...yuko salama...ilifanyikia shule au hospital....kulikuwa na magari ya serikali yenye namba GT......???anyway yote ni kheri tu.Mbona kama mwanangu, 2014 alipata chanjo inayoacha alama ya ndui
ha ha ha umetisha mkuuππππππππππRANGI MBILI
jina la kitaalamu sijui
MB?Kuna Dawa ilikuwa inaitwa MB
Tetracyclin(e)RANGI MBILI
jina la kitaalamu sijui
Mpendwa nimebadili jina pamoja na maudhui ya blog. Ila kama unataka kuhabarika kuhusu oilinagesi bado makala zake zipo. Tumia link hii na utazipataBlog yako oilinagase haipo?
Hii ukichomwa lazima ukae mguu wote unakufa ganzi ni wachache sana walioweza kuchomwa na kuondoka bila kutweta kwanza.Cristapen